Thursday, 16 March 2023

Divine Intervention for 30 and above people

 14 DAYS SPECIAL PROGRAM – PRAYER & FASTING FOR MARITAL BREAKTHROUGH - @mlokolebinti

Naelewa marital delay is frustrating, umefanya almost everything, umehama mtumishi kwa mtumishikanisa kwakanisa yote ni katika kumtafuta Mungu zaidi katika Hilo eneo. Ni maombi yangu kwa Mungu safari hii Mungu ajifunue kwakokatika Hilo eneo la mahusiano Na ndoaMaana iko yanasemaukiutafuta uso wangu kwa bidiii utauonaMungu akayaoneshemahusiano yako uso wale in the mighty name of Jesus.


Nilipromise simple and light program. Lakini Roho Mtakatifuameniongoza inabidi KUFUNGA! Siku 14

Leo Na kesho tutaweka tu misingi


SILAHA ANAZOTUMIA SHETANI KUKUFELISHA KWENYE HII SAFARI


1. Anakukumbusha PAST FAILURES. Trust me day 5 kwenda mbele atakupa FLASH BACK za kukwambiahuendi popote mbona nyuma ulifeli. MKEMEEEE! Nyumaulishindwa sababu ulimsikilizaUkimsikiza tena utafelitenaMpaka lini

Sara alikuwa hana mtoto mpaka uzeenianapoambiwaatapata mtoto mwanzo Anaona Yale yale tu. Lakini anajuaMungu ni muaminifuanfanya maamuzi Magumu yakumuamini. Na Mungu anamfanyia kicheko. Na weweukimuamini Mungu ukafanya maamuzi magumu hakikaMungu atakufanyia kicheko Na watakao sikia watachekaNa wewe.

2. Shetty Ana Tabia ya kukuletea matokeo ya ghafla kwamuda kukuvruga. Kuna mtu nimeongea nae jioniananiambia baba watoto karudi LEO after 3 years za kumtelekeza tangu ajufungue. Yote hio asifanye hiiprogram. Shetty atakujaribu juu chini katikatiTumekubalina hii ni LAST GROUP YA SINGLE UNAJIOIN. So lazima uwe committed kukamilisha. Shetty mda mwingine haji kinegative anakuja kipostive. Ila kwamda mradi tu akuvuruge

Keep focused hizi 14 days like never beforeVitokeeevizuri au vibaya mapambano lazima yaendelee. For once lazima ukamilishe hizo 14 days

3. Kuna tabia ya kusikia uchungu na kukata tamaaaKatikati. You just feel like giving up. Unaweza sikia kuliaaaa. Lia lakini endelea Na mpambanoHii Hali dawa yake niKUIKEMEA. Ikemeee kweli kweli Utaona inaisha Na stamina yako inarudiUsijiendekeze hata kidogoJiambieumejiendekeza Mara ngapi kwenye huo uchungu Na hukufika popote.

SILAHA 3 ZA KIROHO KUKUWEZEHSA KUMALIZA PROGRAM


1. Mungu ni muaminifu sana ukijiaminisha kwake. You just need to pull through hii program. Mungu atamaliza ulipopwayaMungu ni muaminifu ataziona bidiii zako naatakupa kusudi la moyo wako lazimaTimotheo 4:9 Jitahidi kuja kwangu upesi

2. Hakuna lisilo wezekana kwa Mungu.

Mwanzo 18:14 Je, kuna jambo lolote lisilowezekana kwaMwenyezi-MunguNitakurudia wakati uliopangwawakatikama huu mwakanina Sara atakuwa na mtoto wa kiume.”

Linalokushumbua kichwa wewe kwa Mungu ni dogomnoooo

 

 

3. Mungu anakuwazia mambo mema Sanaa. Na anatakauolewe na kuwa na familia yako.

Yeremia 29:11 Maana nayajua mawazo ninayowawazianinyiasema BWANA, ni mawazo ya amani wala si yamabayakuwapa ninyi tumaini siku zenu za baadaye.


Lolote linalokuja akilini kwako kwamba Mungu hakutakiiimema ni Shetty tu huyoMkemeee


Hivo vitu vi 3 vipenyeze kwenye akili yako vikae Na kutulia


SABABU KUBWA KWANINI NYUMA HUKUPATA MATOKEO


Methali 3:5-8 Mtumaini Mwenyezi-Mungu kwa moyo wakowotewala usitegemee akili zako mwenyeweUmtambueMungu katika kila ufanyalonaye atazinyosha njia zakoUsijione wewe mwenyewe kuwa mwenye hekimamcheMwenyezi-Mungu na kujiepusha na uovuHiyo itakuwa dawamwilini mwakona kiburudisho mifupani mwako.


Proverbs 3:5-8

5 Trust in the Lord with all your heart and lean not on your own understanding.

6 in all your ways submit to him, and he will make your paths straight.

7 Do not be wise in your own eyes, fear the Lord and shun evil.

8 This will bring health to your body and nourishment to your bones.


MUAMINI MUNGU KWA MOYO WAKO WOTEEEEEE WALA USITEGEMEE AKILI ZAKO MWENYEWE


HAPAAAAA HAPAAAA NDO BALAAA LILIPO

MPO 50/50 HUKU UNAOMBA MUNGU HUKU UNAJIPAMBANIA MWENYEWE

UMTAMBUE MUNGU KATIKA KILA UFANYALO NAE ATAZINYOOSHA NJIA ZAKO

KUBALI KWAMBA MPAKA UMRI HUO KAMA NJIA ZAKO UNETUMIA ZA KILA AINA NA MATOKEO UNAYAJUA. THIS TIME MTUMAINI MUNGU PEKEEE KWA HABARI YA NDOA YAKO!  MUACHIE PENI SIO KILA MDA UNAPORA PENI UNATAKA KUFANYA AKILI ZAKO ZINAVOKUTUMA

USICHOSHE AKILI YAKO KUJARIBU KUELEWA COMPLEX ISSUES KWAMBA KWANINI HUJAOLEWA NA UMEOKOKA, HUNA MAHUSIANO ZAIDI YA MIAKA MI 5 NA BADO NDOMA NGUMU, UMEMALIZA WACHUNGAJI ETC! USITEGEMEEE AKILI NA UELEWA WAKO!  WEWE MTAMBUE MUNGU KWAMBA ANAWEZA KUFANYA MABADILIKO YA HIO SAFARI

LEO TUNAISHIA HAPA! UTAFAKARI HUO MSINGI


Kesho ndo tunaanza kufungaKufunga ni muhimu maanaunapokea majibu haraka Zaidi. Usipofunga utapata majibu ilaitachukua mdaUkifunga unakuwa focused! Hata majaribuyanapungua. Si mnamjua shettyUkijifanya unakula na kuombaataleta nyege hujawahi jisikiaUtazini siku 8! Na mchezoutaishia hapo. Shetty sio wa kumu underestimate. Ukifungahuwezi hisi nyege zozote hata ukutane Na Romeo. Pia utaepukadhambi nyingi nyingi na kufanya mfungo wako uwe strong.

 

 

Fomart itakuwa Sala 3 kwa siku.

➢ Ya kwanza ni saa 6 mpaka 9 usiku
➢ ya 2 saa 9 mchana  
➢ ya 3 saa 12 jioniAlafu ndo unafuturu.
➢ Hio ya saa 6-9 usiku ndo backbone

Program Ita-deal na maombi yafatayo


1. Maombi ya kufuta disappointment zinazojirudia na kuombabreakthrough
2. Maombi ya kufuta laana za kutokuolewaAlama za kipepokuchelewa kwa ndoa na yatafungua lango lako la ndoanandoa ije mapema isikawie
3. Maombi ya kujitenga na roho laana na tabia ambukizi za kiukoo (unakuta ukoo wenu ni wa kuzalia nyumbani) Na kifamilialaana na maagano ya mababu Na ukooKuvunjahaya mambo ni long process. Unajutenga tu Na kuwaachiawenyewe
4. Maombi ya kupindua  nguvu za giza  Na mashmbulio yakiroho dhidi ya mahusiano yako. (Hapa sasa sio kwenyefamilia wala ukoo. Wale ulio wakeraaawanakuendea kwamganga kuhkikisha huvuki. Au wenyewe wachawiwanakupiga tu maskadi)
5. Maombi ya kudai haki yako ya maombi uliofanya iliocheleweshwa
6. Maombi ya kujitoa kwenye mahusiano Na toxic partners Na kuweza ku moveon after heart shattering breakup
7. Maombi ya kufungua lango lako la ndoa Na mahusiano
8. Maombi ya kufungua milango ya unusual favors and angelic intervation kwenye eneo lako la mahusiano.
9. Maombi ya kuongeza confidence, kujielewaumilikinanew beginning
10. Maombi ya complete breakthrough

MUNGU ANATAKA AKUPE MUME WAKO, AKUPE NYUMBA YAKO NA FAMILIA YAKO HIZI WEEK 2 BUT UNAHITAJI KUMUHAKIKISHIA UPO TAYARI KAMILI GADO! KWA KUONESHA JUHUDI YAKO YA KUMCHAGUA MUNGU DHIDI YA MADHABAU ZA UKOO NA FAMILIA (UNAVOZIPELEKEA MOTO BAADA MUDA WOTE HUU MANAKE UNAFANYA CHOICE YA KUSIMAMA NA MUNGU) UNAMUONESHA MUNGU YOU ARE WORTHY AND READY FOR BLESSING! MUNGU AKIZIONA JUHUDI ZAKO! MAMBO YANAFUNGUKA MPAKA WATU WATASHANGAA MBONA GHAFLA HIVO! HAWATAJUA UMEENDA KUZIMU KUPORA FUNGUO NA KURUDI


ANZA TOBA LEO NA ZABURI YA 51


SAA 6 USIKU TUNAANZA MAOMBI YA DAY 1


Kabla ya kuanza jambo moja ni muhimu sanaaa uelewe

Ndoa inatoka kwa Mungu na kwa juhudi zakowala si kwanguvu zako, Wala manuva manuva

Mithali 19:14 Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwababaye; Bali mke mwenye busaramtu hupewa na BWANA.

Mungu ndo humpa mtu mke. So Mungu ndo atakupeleka kwamume wako

Unaweza shangaaa mbona umepambania kombe mpaka basiumepambanaaa kweli kweliLakini bila bilaWengine mpakammejaribu kuoa bila mafanikioUnamuhudumia kijana kilakituunampa mpaka unakuwa mjinga lakini bado hataki kukuoa. Game plan yako ilikuwa wrong. Na mkakati wako haukuwamadhubuti.

Principle ndo hio MKE MWEMA ANATOKA KWA MUNGU - ALL YOU NEED TO DO NI KUMSHAWISHI MUNGU WEWE NI MKE MWEMA ATAKUPELEKA KWA MUMEO


Methali 3:5-8 Mtumaini Mwenyezi-Mungu kwa moyo wakowotewala usitegemee akili zako mwenyeweUmtambueMungu katika kila ufanyalonaye atazinyosha njia zakoUsijione wewe mwenyewe kuwa mwenye hekimamcheMwenyezi-Mungu na kujiepusha na uovuHiyo itakuwa dawamwilini mwakona kiburudisho mifupani mwako.


MAOMBI YATAKUSAIDIA NINI KWENYE SUALA ZIMA LA KUFIKIA NDOA??


1. Maombi yatakubadilishaYatakupa kujielewakuwa vile mwenzio anavotegemeaSio mtu wa hasiraaaa, drama, power games. Tabia zote za kipepo zitaondoka. Kuna mdaunafanya mambo mpaka mwenyewe unasema kweli Nina pepo. Maombi yataondoa kiburiiiMatusi, vile vituvinavosababisha uonekane hufai kuwa mkeUtaanza kujuawapi unakosea na kurekebisha

2. Maombi yatakusaidia kujua kama mtu ni sahihi au siosahihiYatakusaidia kuisikia sauti ya Roho mtakatifu ujueuseme nini kwa wakati gani kugain confidence ya mwenziokwamba wewe ndo mtu sahihi.

3. Yatakuongoza sehemu sahihi ya kukutana Na mwenzioMwenzio yupo humu humu duniani ni kwamba tuhamjakutana bado. Na shetani Ana hakikisha hamkutaningooo. So maombi yatakusaidia kuwa sehemu sahihiambayo na yeye yupo na mkutaneNamba za simumbadilishane

4. Yanaondoa mitego na vikwazo vya kiroho vinavozuia ndoa yako

5. Yanakupa UfahamuUfanye nini kwa wakati gani kupatamatokeo mazuriWengi mshakwua Na mahusiano ilamliofanya humo Mungu tu ndo anajuaLawama zote kwashetaniSasa utapata busara isijirudie

Maombi ya Usiku yana pande 2Masomo Na maombi

Pitia haya maandiko yanayokuhakikishia ni mpango waMungu uolewe.


Mwanzo 1:27-28 BasiMungu akaumba mtu kwa mfanowake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumbaAliwaumba mwanamume na mwanamkeMungu akawabarikina kuwaambia, “Zaeni muongezekemkaijaze nchi nakuimilikimuwatawale samaki wa baharinindege wa anganina kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”


Tangu mwanzo Mungu alipanga kila mwanamke aoleweaijaze dunia. Ni Mandingo ndingo ya shetani tu yamefanyauwe bado hujafanikisha. Na Mungu akisha andika hageukigeuki maandiko yake. Na imeandikwa tayariUpate mumemzae Na kuijaza dunia. So Mungu Kama Mungu ni furahayake ukitimiza maandiko yake.

Mhubiri 4:9-12 Ni afadhali kuwa wawili kuliko mtu kuwapeke yake. Kwa sababu wawili watapata tuzo la kazi yaoIkijatokea mmoja akaangukahuyo mwenzake atamwinuaLakini ole wake aliye peke yake akiangukaHuyo hatakuwana mtu wa kumwinua! Hali kadhalikawawili wakilalapamoja watapata jotolakini mtu akiwa peke yake atajipatiajejotoMtu akiwa peke yake aweza kushindwa na aduilakiniwakiwa wawili watamkabili na kumshinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki kwa urahisi.


Mwanzo 2:24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yakena mama yake naye ataambatana na mkewenao watakuwamwili mmoja.


NDOA NI MPANGO WA MUNGU JUU YAKO! Sasaunawezaje kuona Mungu anakuhujumu na hataki uoleweMungu ni muaminifu mpaka ameandika kwenye maandikoyakekwamba wewe kuolewa ndo haswaaaa jambo litalompendeza Na kumfurahisha.

Marko 10:9 Basialichounganisha Mungubinadamuasitenganishe.”


Waefeso 5:21-33 Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababuya heshima mliyo nayo kwa Kristo. Wake wawatii waume zaokama kumtii Bwana. Maana mume anayo mamlaka juu yamkewekama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisanaye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisamwili wake. Kama vile kanisa linavyomtii Kristovivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote. Nanyi waumewapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisaakajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yakeAlifanya hivyo ilikwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungubaada yakulifanya safi kwa kuliosha katika majikusudi ajipatie kanisalililo takatifu na safi kabisakanisa lisilo na doakasoro au chochote cha namna hiyoBasiwaume wanapaswakuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. (Hakuna mtuyeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukiahuulisha na kuuvikaNdivyo naye Kristo anavyolitunzakanisamaana sisi ni viungo vya mwili wake). “Kwa sababuhiyomwanamume atamwacha baba yake na mama yakeataungana na mkewenao wawili watakuwa mwili mmoja.” Kuna ukweli uliofichika katika maneno hayanami naonakwamba yamhusu Kristo na kanisa lake. Lakini yanawahusunyinyi pia: Kila mume lazima ampende mkewe kama nafsiyake mwenyewenaye mke anapaswa kumstahi mumewe.


LEO UMEJUA UKWELI, ADUI YAKO ALIEKUCHUKUA MATEKA NI SHAITWAN!!!! SI MWINGINEEEE! NA UKICHEKA NAE HUNA BAHATI!


Unatakiwa ukasirike kweli kweli maana amekuibia ndotozako za kuwa biharusi mdogo mdogomzuriiiikuolewa Na kuwa na familia yako Na kuishi HAPPILY EVER AFTER! Ameichukua hio ndoto ameikanyaga kanyaga Na kukugeuzakitu cha ajabuUmekuwa mwanamke wa wanaumekupasianaumezalishwa na mtu asiekutakaumekataliwa bilasababuhuna jemaumekuwa Aibu kwa familiaUmekuwamfano wa kutokuigwaKituko mbele ya jamiii. Once you were that little happy girl! Then Akaja Yule muovu Na maovuyake kakuachia makovu. YOU SHOUL BE AGRY! Really really angryTunavoenda kusali kumbuka kabala ya Yule muovu ulikuwa Na ndoto gani! Then washaaaa motoooomsituuuu kweli kweliiii! Moto wa nuclear!

 

 

DAY 1 

Tunaanza maombi day 1 saa sita usiku kwa kuwa ndio mudaamabo siku mpya inaanza.

Yakobo 4:7 Basi mtiini MunguMpingeni Shetaninayeatawakimbia.


MAOMBI

Baba yetu ulie Mbinguninakushukuru kwa taasisi ya ndoanaNina kiri Ndoa hutoka kwako tu na si vingine. Baba yangunaomba muongozo wako na uelekeo wa kupata mwenza, Nina uhakika baba utanifanyia njia pasipo Na njianajua utaniongozavyema. Baba natanguliza shukrani zangu.


Imeandikwa Mithali 16:9-10 

Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali BWANA huziongozahatua zake. Baba ninakushukuru maana najua utaziongoza hatuazangu kufukia ndoasitapotea njia katika jina la Yesu.


Leo na declare mbele ya Mbingu na hii dunia, Mungu aliwekataasisi ya ndoa kwa wema na sio ubayaNdoa sio idea yanguwala binadamu yoyote ila Mungu tu. Nakiri hili toka chini yaMungu wangu Na sitasahau kamwe kwa Jina la Yesu.


Mungu wangu kwa moyo mmoja na declare utiiii kamilifu juuya mipango yako ya ndoa yanguKupitia Roho Mtakatifunifundishe kuwa tayari, Na jinsi ya kumvutia mwenza sahihi wamaisha yangu katika Jina la Yesu.


I declare in the mighty name of Jesus Ndoa yangu itafanyikabaraka.


Mungu baba sawa sawa na 1 Petro 5:6-7 

Basinyenyekeeni chini ya mkono wa enzi wa Munguiliawainue wakati ufaaoMwekeeni matatizo yenu yote, maanayeye anawatunzeni.


Baba naweka mbele zako mashaka Na mzigo wote wakuchelewa kuolewanajua unanijali Na upo kazini juu ya hatmayangu ya ndoaMipango yako juuu yangu itafanyika in the mighty name of Jesus.


Kama Daudi alivosalina Mimi nasaliwasiwasi ukinijiamoyowangu ukizimia na nikianza kukata tamaa kuhusu ndoa nitulizebaba Na kunifanyia tumaini jipya Na furahaRuhusu amaniyako ipitayo amani zote, Na uelewa viongoze moyo wangu in the mighty name of Jesus.


Mungu nivikie kujiaminiimani Na supernatural joy inayotambua kwamba wewe Baba ndo umeshika control mdawote in the mighty name of Jesus (Zaburi 94:19)


I declare saWa na 2 Wakorinto 4:17 Taabu tunayopata ni kidogotena ya muda tulakini itatupatia utukufu upitao matazamioyote, utukufu ambao hauna mwisho.  


Tabu hii ya kuchelewa ndoa Ni tabu ndogo Sanaa kwako baba, Na utaitatua

Najitamkia kuanzia sasa nitapumzika kwa Mungu na ahadi zakeHatoniangusha Na kuruhus nivunjwe moyo tena

Nakemea mapepo yote ya wasiwasi Na mashaka mashakakutoka maishani kwangu Na kutokurudi milele

Natangaza urejesho kamili juu ya mahusiano yanguafyauchumi Na familiaNadai urejesho kwenye maeneo yote yamaisha yangu.

 

Nadai kutokea halisi kwa ndoa yangu, in the mighty name of Jesus.


Baba nasiki vitu vingi vibaya juu ya taasisi ya ndoa , Leo hiibaba natamka  huo sio mpango wako na Hilo halitakuwa fungulangu in the mighty name of Jesus.


Baba najua umebariki taasisi ya ndoa kutimiza mpango wakokuijaza dunia, Leo hii naikabidhi ndoa yangu mikononi mwakomawazo yangumatamanio yangu, idea zangu zote juu ya ndoanazikabidhi kwako na ninaomba uziweke sambamba na mapenziyako juu ya ndoa yangu in the Mighty name of Jesus.


Imeandikwa kila zawadi nzuri inatoka kwa Mungukila zawadinjema inatoka kwakesababu ni baba wa Mwanga Na hakuna mabadiliko wala kivuli cha kugeuka ndani yakekwa hio nadeclare kwamba MUNGU BABA ATAMLETA MWENZA WA MAISHA YANGU. ZAWADI NJEMA TOKA KWAKE KUJA KWANGU IN THE MIGHTY NAME OF JESUS


RUDIA RUDIA HAYA MAOMBI HATA MARA 20 MPAKA MOYO WAKO UPATE AMANI NA YAKUINGIE.


SO HII PART 1 LALA NAYO NA UTASHINDA NAYOikifika saa sita kamili mcha utasali kwa nafasi then utaendelea MPAKA SAA 9 Alasiri ukiwa unasubiri maombiya saa9

 

DAY 1 - MAOMBI YA SAA 9 MCHANA

MAANDIKO

Yohana 9:1-25

Mtu aliyezaliwa kipofu apata kuona

Na alipokuwa akipita alimwona mtukipofu tangu kuzaliwa
Wanafunzi wake wakamwuliza wakisema, Rabi, ni yupialiyetenda dhambimtu huyu au wazazi wake, hata azaliwekipofu
Yesu akajibuHuyu hakutenda dhambiwala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake
Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenituma maadamuni mchanausiku waja asipoweza mtu kufanya kazi
Muda nilipo ulimwengunimimi ni nuru ya ulimwengu
Alipokwisha kusema hayoalitema mate chiniakafanyatope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope machoni 
akamwambiaNenda ukanawe katika bwawa la Siloamu, (maana yakeAliyetumwa). Basi akaenda na kunawaakarudi akiwa anaona
Basi jirani zakena wale waliomwona zamani kuwa nimwombajiwakasema, Je! Huyu siye yule aliyekuwaakiketi na kuomba
Wengine wakasemaNdiyeWengine wakasema, La, lakiniamefanana nayeYeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye. 1
10 Basi wakamwambia, Macho yako yalifumbuliwaje? 1
11 Yeye akajibuMtu yule aitwaye Yesu alifanya tope, akanipaka macho akaniambiaNenda Siloamu ukanawebasi nikaenda na kunawanikapata kuona
12 2Wakamwambia, Yuko wapi huyoAkasema, Mimi sijui.

Mafarisayo wauchunguza uponyaji

13 Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofuzamani
14 Nayo ilikuwa sabatohapo Yesu alipofanya zile tope nakumfumbua macho. 
15 Basi Mafarisayo nao wakamwuliza tena jinsi ganialivyopata kuonaAkawaambiaAlinitia tope juu yamacho, nami nikanawana sasa naona.
16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakasemaMtu huyo hakutokakwa Mungukwa sababu haishiki sabatoWenginewakasemaAwezaje mtu mwenye dhambi kufanya isharakama hizoKukawa na utengano kati yao
17 Basi wakamwambia yule kipofu mara ya pili, Wewewasemaje kuhusu habari zake kwa vile alivyokufumbuamacho? Akasema, Ni nabii
18 Basi Wayahudi hawakuamini habari zakeya kuwaalikuwa kipofukisha akapata kuonahadi walipowaitawazazi wake yule aliyepata kuona
19 Wakawauliza wakisemaHuyu ndiye mwana wenuambaye mnasema kwamba alizaliwa kipofuAmepatajebasikuona sasa
20 Wazazi wake wakawajibuwakasemaTunajua ya kuwahuyu ndiye mwana wetutena ya kuwa alizaliwa kipofu;
21 lakini jinsi aonavyo sasa hatujuiwala hatujui ni nanialiyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyeweyeye nimtu mzimaatajisemea mwenyewe.
22 Wazazi wake waliyasema hayo kwa sababu waliwaogopaWayahudikwa maana Wayahudi walikuwa wamekwishakukubaliana kwamba mtu akimkiri kuwa ni Kristoatatengwa na sinagogi. 
23 Ndiyo sababu wale wazazi wake walisema, Ni mtu mzimamwulizeni yeye.
24 Basi mara ya pili wakamwita yule mtu aliyekuwa kipofuwakamwambiaMpe Mungu utukufu. Sisi tunajua ya kuwamtu huyo ni mwenye dhambi.
25 Basi yule mtu akajibuKwamba yeye ni mwenye dhambisijuiNajua neno mojakuwa mimi nilikuwa kipofu na sasanaona.

[Wanafunzi waliuliza swali la msingi ambalo hata weweunajiuliza mda mwengineKwanini safari yako ya mahusianoimekuwa hivo? Je ni wewe ulitenda dhambi Sanaa au ni wazaziau bibi zako ndo waliokucost?

YESU anajibu kwamba baadhi yenu sio dhambi zenu walaza wazazi wenu ila unapitia hayo ili KAZI YA MUNGU IZIHIRISHWE KUPITIA WEWE. MUNGU ANATAKA KUJITUKUZA KUPITIA WEWE

Yoel 2:21-27 Usiogope, ewe nchi,bali furahi nakushangilia,maana Mwenyezi-Mungu ametenda makuu.

22. Msiogopeenyi wanyama.malisho ya nyikani yamekuwamazuri,miti inazaa matunda yake,mizabibu na mitini zinazaakwa wingi.

 

23. “Furahinienyi watu wa Siyoni,shangilieni kwa sababu yaMwenyezi-MunguMungu wenu,maana amewapeni mvua za masika,amewapeni mvua ya kutosha:Mvua za masika na mvuaza vuli kama hapo awali.

24. Mahali pa kupuria patajaa nafaka,mashinikizo yatafurikadivai na mafuta.

25. Nitawarudishia miaka ile iliyoliwa na nzige,kila kitukilicholiwa na tunutuparare na matumatu,hilo jeshi kubwanililowaletea!

26. Mtapata chakula kingi na kutosheka;mtalisifu jina la Mwenyezi-MunguMungu wenu,aliyewatendea mambo yaajabu.Watu wangukamwe hawatadharauliwa tena.

27. Mtatambua kwamba mimi nimo miongoni mwenu,enyiWaisraeli;kwamba mimi Mwenyezi-Mungu,ndimi Mungu wenuwala hakuna mwingine.Watu wangukamwe hawatadharauliwatena.


Mungu ameahidi mkielewana kukurudishia miaka ileiliyoliwa Na nzige Na kila kilicholiwa kwake ni jambo dogoHUJACHELEWA CHOCHOTE NI WEWE TU KUWA TAYARI ANAKURUDISHIA VYOTE


ZABURI 42,86,30


MAOMBI

Mungu baba nakuja mbele zako leo hii kuleta suala langu la ndoa mbele yakonaingia kupitia sifa Na kuabudu kwenyembingu zako tukufunikijifunika kwa damu takatifu ya YesuNajibatiza kwa moto wa roho mtakatifunafunika anga lote Na moto wa Mungu


Nateka kila mamlaka , nguvu za gizanguvu zinazotawala eneo, Na kila falme na tawala zisizo zako MunguNaziangusha chiniNa kuazizuia zisiinuke tena dhidi yangu wala dhidi yamahusiano yangu wala Safari yangu ya ndoa in the mighty name of Jesus Christ. Nina maisha ya Kiungu ndani yangu kwa Jina la Yesu.


Kwa jina la Yesu lipitalo majina yote natubu dhambi zangu zoteLeo hii, Na ninaomba rehema Na msamaha wako baba. Kwa moyo wangu wote nawasamehe Na kuwaachilia wale wotewalionikosea kwa jina la Yesu sitaweka kinyongo dhidi Yao. Naililia damu ya Yesu juu ya dhambi zangu za mababu zangu.


Navunja maagano yote ya kipepomakibalianobiasharamikataba yote isiyo ya Mungu iliofanyika juu ya maisha yangu ,roho yangu , mwili wangu Na mazingira yangu kwa Damu yaYesuKatika jina la Yesu nafutaaaa yoteee sasaNamiminadamu ya Yesu kubatilisha hayo yote in the mighty name of Jesus.


Navunja kila uhalali wa shetani kunishikilia kwa damu ya Yesu, Yule mshitaki wa wenye haki asiwe Na lolote dhidi yanguninapokuja mbele zako baba katika Jina la Yesu

Shetani hatoweza kukwamisha wala kuchelewesha maombiyangu sababu najua mimi ni Nani. Mimi ni mtoto wa Munguaketie mahali pa juu. Mimi ni mtoto wa ufalme. Mimi nimtumishi wa bwana nilie okolewa toka makucha ya shetani kwadamu ya Yesu.


Na declare madhabahu zote za shetanifalme za giza,  milki za kipepomamlaka ya kipeponguvu za giza, wat swala wait gizanimalkia wa bahariwachawi Na washirikinawagangamajinimizimuvibwengo Na washirika wote wa shetaniHAMTAKUWA NA NGUVU TENA JUU YA MAISHA YANGU! MAHUSIANO YANGU, WALA SAFARI YANGU YA NDOA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS! NATANGAZAAA SHETANI WALA WASHIRIKA WAKO HAMTANINYANYASA TENAAAAA!


Leo hii napokea divine intervention ya kuweza kuombaSitaomba bila majibuSitaomba vibayaMaombi yanguyatapokea majibu Na matokeo nayokusudia.  Naamuruchemchem ya maombi kufunguka sasa Na kukbubujikamaishani kwanguNaamuru Malaika wa kivita wa Mungu aliejuu washuke na kunipigania hii vita ya mahusiano Na safari yangu ya ndoa. Kila mdakila dakika kila sekunde nayotumiakwenye maombiitavuta Divine intervention. NatangazaMbingu zilizo wazi kwa maombi yanguMungu wa Mbingu Na dunia atashuhulika Na swala langu.


Maombi yangu ya Leo yatazigusa mbingu kutenda kwa niabayangu kuleta shuhuda kubwamatokeo makubwamiujizaaaa ,uponyajiurejeshoishara,  mpenyo, Na maajabu yatafuatia hayamaombi Na maisha yangu hayatakuwa yalivokuwa in the mighty name of Jesus

Mungu Nina kushukuru kwa kuwa baba yangu Na rafiki yangu,  nshukuru kwa kukufahamu na kufahamu nguvu ya ufufuko waKristo Yesu mwanaonakushukur kwa kuwa na Mimi kilawakati hata pale napokosa shukraniNakushukuru kwa mambo makubwa unayofanya kwenye maisha yangu. AMEN


OMBA KWA KURUDIA RUDIA KADRI UTAVOJAALIWA


DAY 1 – MAOMBI YA SAA 12 JIONI

Isaya 42:13 Mwenyezi-Mungu ajitokeza kama shujaakamaaskari vitani ajikakamua kupiganaAnapaza sauti kubwa ya vita, na kujionesha mwenye nguvu dhidi ya maadui zake.


MAOMBI

Nguvu zozote zinazosimama kinyume Na mahusiano yangu Na ndoa yangu shindwa kwa jina la YesuBusara nayotakiwakuonesha kabla ya ndoa ijitokezeee kwangu kwa jina la Yesu.


Kila Mali ya shetani kwenye maisha yangu inayozuia mpangowa ndoa yanguShika moto  kwa jina la Yesu.

Kila kikwazo cha shetani kilichowekwa kwenye mahusianoyangu kuzuia ndoa yangu tokaaaa sasaaaa na unica hoe hurukwa jina la Yesu. Baba naomba unisaidie nipate kilanachotakiwa kupata kufanikiwa kuolewa kwa jina la Yesu. Kila silaha inayozuia mahusiano Na ndoa yangu yeyuka kwa moto in the mighty name of Jesus. Kila tatizo lililowekwa kunivurugaNa kunifanya kitukonakukataaaa kwa jina la Yesu.


Navunja Na kujitenga Na kila mpango wa ndoa za kipepo namizimu katika Jina la YesuNakataaa kila ofa ya shetanikuolewa Na mtu ambae sio sahihi katika Jina la Yesu.


Baba naomba  utayari katika maeneo yote ya maisha yangukabla ya ndoa yangu.

Damu ya Yesu nena kwa habari ya ndoa yangu Na mwenzawangu katika Jina la Yesu


Kila adui wa mpango wa Mungu juu ya ndoa yangu aibika sasakwa jina la YesuMungu naomba uchumi utaonifanikishakwenye ndoa kwa jina la Yesu.

Mpango wa Mungu juu ya ndoa yangu toa matokeo halisi naonekana. Baba nifanye nitambue utukufu wako kabla ya ndoayangu katika jina la Yesu


Baba naomba tukaendane Na mwenzangu Na kuelewana kwajina la Yesu,  Mungu nipe chaguo lako sahihi kwangu ambaeatanikamilisha Na kuniletea furaha katika jina la Yesu.Babandoa yangu ikafanyike baraka maishani mwangu katika jina la Yesu.


AMEN

 

DAY 2- KUBADILISHA MTAZAMO WAKO

(Kama kawaida masomo & maombi ya siku mpya tunaanzasaa 6 usiku)


Mithali 23:7 Maana aonavyo nafsini mwakendivyo alivyo.

Unachowaza nafsini wako ndio utachokuwa au kukipataUkiwaza siwezi kuolewasio mzuriii, Nina laananimelogwasina Bahati ndo hivo hivo utavokuwa

Ukiwaza wao waolewe wana nini Na Mimi nibaki Nina kasoroganiHuu mwaka lazima niolewe sisikiii la muazini wala mnadiswala nishaamua. Mimi mwenzenu afe kipa afe Beki lazimanioleweNdivo hivo hivo itavokuwa


Ayubu 3:25 Lile nililokuwa naliogopa limenijialile nililokuwaninalihofia limenipata.


ONDOA HOFU NA MASHAKAAA KABISAAA! YASIJE KUKUTA YA AYUBU! MUNGU BADO YUKO ENZINI WASIWASI WAKO NI NINI? UNAJIWAZIA MAMBO MABAAAAYAAA! KWANINI?


Past experiences zinakatisha tamaa sanaaa, Na wanasemaukishangatwa Na Nyoka hata ukiguswa Na majani utastukaHuwezi kurudi nyuma kubadili yaliyotokea ila unawezakupambania future yako

Shetani Ana penda Sanaa kukushikilia kwenye past yakoYaaani hakupi nafasiii. Usipo HEAL from the past huwezikufaulu kwenye future yakoInatakiwa ukae utibu majerahayakoyasifumuke huko mbeleniBila hivo hata ukipata mtumzuri lazima utamtafuta ubayaaa tu. Si unajua ukitoka vitanilazima vita inabaki kichwani kwakoAsipopokea simu kosaaa la jinaiAkifanya kosa dogo unalipuka Na kumblock. Past ndoinasababisha uonekane haupo tayari kwa ndoaInakufanyaunakuwa unalipuka lipuka Na kuonekana haupo matured.Mungu ndo anaweza kukutibu majeraha yako yakaponakabisaaa mpaka ukajisikia kweli nimekuwa mpyaMunguanaweza kukuumbia moyo mpya kureplace huo uliojaa majerahaNa makovu.


Kumbukumbu la Torati 31:8 Naye BWANA, yeye ndiyeatakayekutanguliaatakuwa pamoja nawehatakupungukia walakukuachausiogope wala usifadhaike.


Mithali 29:25 Kuwaogopa wanadamu huleta mtego; Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama

Isaya 43:1-7 Mwenyezi-Mungu aliyewaumba enyi watu waYakoboyeye aliyewafanya enyi watu wa Israeli, asema: “Msiogopemaana mimi nimewakomboanimewaita kwa jinananyi ni wanguMkipita katika mafurikomimi nitakuwapamoja nanyimkipita katika mitohaitawashinda nguvuMkitembea katika moto, hamtaunguzwamwali wa moto hautawaunguzaMaana mimi ndimi Mwenyezi-MunguMunguwenuMungu Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wenu


Nitaitoa nchi ya Misri iwe fidia yenunitaitoa Kushi na Seba ilimwachwe huru. Kwa vile mna thamani mbele yangukwa kuwanimewapa hadhi na kuwapendamimi nawaacha watu kusudiniwapate nyinyinayaachilia mataifa badala ya maisha yenu


Msiogope maana mimi nipo pamoja nanyi. “Nitawarudishawazawa wenu toka masharikinitawakusanyeni kutokamagharibiNitaiambia kaskazini, ‘Waache waondoke’, nakusini, ‘Usiwazuie’! Warudisheni watu kutoka mbalikutokakila mahali duniani. Kila mmoja hujulikana kwa jina languniliwaumba wote na kuwafanya kwa ajili ya utukufu wangu.”


Isaya 41:10 usiogopekwa maana mimi ni pamoja naweusifadhaikekwa maana mimi ni Mungu wakonitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wahaki yangu.


Warumi 8:15 Hamkupewa Roho anayewafanya kuwa tenawatumwa wa hofuLakini mmepokea Roho anayewafanya kuwawana. Na kwa Roho huyo tunaweza kumwita Mungu, “Abba! Baba!”


Timotheo 1:7 Maana Mungu hakutupa roho ya wogabali yanguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.


MAOMBI

Baba nashukuru kwa kunipa roho ya upendonguvu Na uelewaNashukuru kwa kuniweka huru kupitia Kristo Yesuna kuniokoakwenye roho ya hofu Na mashaka.

Mungu najua Siku zote uko Na Mimi, Na hutaniacha kamwenadeclare kuanzia Leo hii sitaogopa chochoteSitaki was na hofuya kutokuolewa tena wala kuolewa Na mtu atakaenitesa kwajina la Yesu.


Kuanzia Leo natangaza ushindi dhidi ya kukata tamaakuvunjika moyo,  huzuni, Na msongo wa mawazo katika Jina la Yesu.


Na funga roho zote za woga Na mashaka ya kutokuolewa Na kuzitupa nje ya maisha yangu kwa Jina la Yesu.


Najitoa kwenye mitego yote niliyoingia sababu ya kupanic nawoga kwa Jina la Yesu.

Na declare kuweka imani Na tumaini langu kwa Mungunitakuwa salama chini ya mbawa zako baba dhidi ya makuchaNa hatari zote.


NDOA YANGU ITAFUNGWA NA UTUKUFU WOTE UTARUDI KWA MUNGU BABA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS. AMEN!


Omba kwa kurudia rudia mpaka upate amani, Na uchungundani yako uishe

 

DAY 2 – SAA 9 Alasiri

Tumia maombi na masomo hayo hayo ya saa 6 usiku

 

DAY 2 – SAA 12 JIONI

Habakuki 1:5 Mungu akasema: “Yaangalie mataifauoneUtastaajabu na kushangaaMaana ninatenda kitu ukiwa badounaishikitu ambacho ungeambiwa hungesadiki.


Soma ZABURI 19,29,30,75,78


MAOMBI

Baba Leo nimekuja kwenye uwepo wakokuleta maombi namahitaji yangu yajulikane kwakoSitazuiwaaa walakucheleweshwamaana najua nafasi yangu kwako baba. Mimi nimwana wa ufalmenimezaliwa upya katika roho, Na kuokolewana damu takatifu ya Yesu KristoNatembea katika mamlaka Na naishi bila wasiwasi kwa kuwa nimepewa nguvu na mamlaka sawasawa na andiko la Luka 9:1


Leo naposali katika uwepo wako baba, najifunika kwa damu yaYesu, Na najivika ngao takatifu ya Mungu ya Kivita Na nainukadhidi ya wafalme wa kiajemi wanaozuia Na kucheleweshamajibu yangu,  nawateka kwa nguvu iliopo kwenye damu yaYesu KristoNawafunga Na kuwatuma kwenye shimo la kuzimumsizuie wala kuchelewesha majibu yangu kwa jina la Yesu.


Nainuka dhidi ya  mamlaka Na nguvu za giza zinazopambanakukwamisha maombi yangu , naziteka Leo hiii kwa nguvu iliopokwenye damu ya Yesu . Nazifunga Na kuzitupa kuzimu katikajina la YesuNainuka dhidi ya watawala wa nguvu za giza ,dhidi ya maajenti wa juu wa shetani Na ushurika waonawatekawote kwa nguvu iliopo kwenye jina la Yesu Na nawafunga Na kuwatupa kuzimuNainuka dhidi ya hofu Na udhaifu wakibinadamu,  nawafunga Na kuwatupa kuzimu kwa Jina la YesuNawatokomeza toka kwenye maisha yangu in the mighty name of Jesus. Nainuka dhidi ya roho zote za kutanga tanga kwawanaume na kukosa nyumba yangudhidi ya roho za uharibifukufanya mambo yangu yaharibikenakuteka Leo kwa nguvuzilizopo kwenye jina la Yesunakufunga Na kuwatupa kuzimuin the mighty name of Jesus.


Leo napokea upako wa kuomba Na kupata matokeo yangumajibu yangu hayatazuiwa wa kucheleweshwa sababu Yesu niBwana wangunitaomba leo Na kupata matokeo nayotaka Na kutegemeaNaatamia Mbingu zilizo wazi kwa maombi yangunajibatiza katika moto wa Roho Mtakatifu hivo basi nitakuwawa kuunguza kwa adui zangu kuthubutu kunigusa tena,Maombiyangu leo yatavuta Mbingu kuingilia Kati kila sekta ya maishayangu Na kunisaidia kupata ndoaIshara Na maajabu yatafatabaada ya maombi hayashuhuda kubwa zimetengenezwa Leo kwa maombi hayasifa na utukufu zitarudi kwa Mungu peke yake in the mighty name of Jesus


Nafunika maombi yangu kwa damu ya Yesu sawasawa Na nenola Mungunimeomba Na nitapokeaNimebisha Na nitafunguliwanimetafuta Na nitapata in the mighty name of Jesus."

Imeandikwa uta decree kitu Na kitafanyika. Kama nilivoongeakwenye maombi yangu itakuwa hivoMaombi yangu yataletamiujiza inayo tarajiwaMaombi yangu yataleta shuhuda zinazotarajiwa katika Jina la Yesu.


Roho za mahali nilipo Na nguvu za anga hili hazitaweza kuzuiawala kuchelewesha maombi hayaDhambi za mwili hazitawezakuzuia maombi hayaImefanyikaaaImepigwa muhuri wa damuya Yesu Na nimekabidhiwa matokeo yangu katika Jina la Yesu. Amen.

 

DAY 3 – WAKATI WA MUNGU (Masomo na maombi - Kuanzia saa 6 usiku)


Isaya 40:31 Lakini wote wanaomtumainia Mwenyezi-Munguwatapata nguvu mpyaWatapanda juu kwa mabawa kama tai; watakimbia bila kuchokawatatembea bila kulegea.

➢ Kama binadamu tuna time frame zetumfano uweumeolewa by 25, by 30 umeshajenga ghorofa Na unaishikwakoWewe tanaaa!! Matokeo yake unaona kama Mungukachelewa, Kama Mungu kafanya makosa vile, Kama Mungu haelewi elewi mambo yanavotakiwa kwenda nakibaya zaidi unajaribu mpaka kumpangia MunguMunguby August. Mungu by September. Njia za Mungu sio njiazako dear.

MUNGU HAKAWIII WALA HACHELEWI! ANAKUJA WAKATI MUAFAKA.


Wafilipi 4:6 Msijisumbue kwa neno lolotebali katika kila nenokwa kusali na kuombapamoja na kushukuruhaja zenu nazijulikane na Mungu.

➢ Kununaaaakuziraaaakufanya kisirani haita harakishamambo. Kaaa kwa kutuliaaaMungu ndo master Planner.

Warumi 12:1-2 Basindugu zangunawasihikwa huruma zakeMunguitoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo haitakatifuyakumpendeza Mungundiyo ibada yenu yenye maana. Wala msifuate kanuni za dunia hiibali mgeuzwe kwa kufanywa upyania zenumpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo memaya kumpendezana ukamilifu.


Wakorintho 13:4-5 Upendo huvumiliaupendo hufadhiliupendo hauna wivu au majivuno. Upendo hauna kiburi nahaukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsihaukasiriki upesihauweki orodha ya mabaya.


Zaburi 37:7-9 Tulia mbele ya Mwenyezi-Mungumngojee kwasaburiusihangaike juu ya wale wanaofanikiwawatuwanaofaulu katika mipango yao mibayaEpuka hasira walausiwe na ghadhabuusihangaike maana hiyo huzidisha ubayaWatu watendao mabaya wataangamizwabali wanaomtumainiMwenyezi-Mungu wataimiliki nchi.


Waebrania 10:35-36 Basimsipoteze uhodari wenumaanautawapatia tuzo kubwaMnahitaji kuwa na uvumilivu ilimuweze kutimiza matakwa ya Mungu na kupokea kilealichoahidi.


KAMA UNAONA UPO TAYARI MSIHI MUNGU KWAMBA NIPO TAYARI. WAKATI WAKO BABA ULIOSUBIRI NIWE TAYARI NI SASA. NA MUNGU HADANGANYIKI MPAKA AJIRIDHISHE UKO TAYARI KWELIINSTEAD YA KUPAPARIKA LINI LINI MBONA HAIFIKI HAIFIKINITUMIE CHUPLI CHUPLI GANI WEWE FANYA YANAYOTAKIWA KUWA TAYARI MUNGU AKIONA UPO TAYARI ATATENDA! MOJA YA SABABU HATENDI NI HAUPO TAYARI ANAKUPA MDA WA KUJITAYARISHATAKE TIME TO REFLECT ENEO GANI HAUPO TAYARI! MUOMBE ROHO WA MUNGU AKUONGOZE ENEO GANI BADO LINAHITAJI KAZI! AZUNGUMZE NA WEWE KWA LUGHA RAHISI SANAAA!


MAOMBI

Baba Leo naombakwa nguvu yako tukufu zuia mimi kujishikaNa mtu atakaenitumia bila malengo sababu ya desparationNisaidie nisiingie kwenye mahusiano nisiyopendwa Bali kutumika tu. Mahusiano ya mazoea,  wala toxic relationships, wala mahusiano ya bora liende kwa Jina la Yesu.

Baba kwa moto wa roho mtakatifu simamisha mahusiano yote ambayo ni mitego itakayonipotezea mda Na kuchelewesha mimikukutana Na Mume wangu katika Jina la Yesu.


Imeandikwa Yakobo 1:5-7,8 Lakini kama mmoja wenuametindikiwa hekimabasianapaswa kumwomba Munguambaye atampatiakwani Mungu huwapa wote kwa wingi nakwa ukarimuLakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashakayoyote

Baba naomba hio hekima Na nguvu ya kuachilia mizigo Na majeraha yote ya mahusiano ya nyuma. Baba nitayarishe kwaajili ya Mume ulie nichagulieaEneo lolote ambalo Sipo tayarinijulishe na nitayarishe katika jina la Yesu.


Baba nisaidie kuondoa papara Na malengo yasiyo endana Na mpango wako yatayonisababishia disappointment. Niwezeshekukubaliana tu Na matakwa yako tu yatayonifikishakwenye ndoa yangu

Ngoa kila mawazo Na fantasies yasiyo sahihi toka kwenye akiliyangufanya mawazo yangu yajae unyenyekevu Na kuiamininjia yako Na wakati wako kwa Jina la Yesu.

Leo naongea na ngome za uovu, fantasies, insecurities, lust, ubinafsi, Na mihemuko iliyo pandwa kuharibu maisha yangu Na kuleta uharibufu ivunjike kwa Jina la Yesu.


Nakabidhi mategemeo yangu kuhusu Mumeboresha mawazoyanguniwezeshe kukubaliana Na mipango yako katika Jina la Yesu.

Baba najikabidhi kwenye kazi za Roho Mtakatifu , nakuombaRoho mwemanibatizeee na utulivuOndoa papara zote za ndoaaaNipe furaha nikingoja wakati wa Mungu kwenye jambolangu la Mume.

Nadeclare kuanzia leo sitapaparika kuhusu ndoa wala MumemtarajiwaSitakwazika wengine wakiolewa kwa sababu wotehatma zetu ni tofauti


Mungu baba naomba neema ya kupenda kwa vigezo vyakokuweza kusamehe, Na kuwa mnyenyekevu kusubiria wakatiwako ulioamuru

Nijalie kuwa na furaha na mkarimu kwa wengine nikisubiriwakati wako ulio amriwa ambapo ndoa yangu itakuwa halisi in the mighty name of Jesus.


AMEN


KUMBUKA MIPANGO YA MUNGU NI MIZURI KULIKO YAKO


DAY 3 – SAA 9 ALASIRI


1 SAMWELI 30 Daudi alipiza kuharibiwa kwa Siklagi

Ikawa, Daudi na watu wake walipokuwa wamefika Siklagi siku ya tatu, hao Waamaleki walikuwa wameshambulia NegebunaSiklaginao wameupiga Siklagina kuuchoma moto; 2 naowamewachukua mateka wanawake waliokuwamo wakubwa kwawadogohawakuwaua wowoteila wakawachukuawakaendazao. 3Basi Daudi na watu wake walipoufikia mjitazamaulikuwa umechomwa moto; na wake zaona watoto waowanaume kwa wanawakewamechukuliwa mateka. 4 NdipoDaudi na watu waliokuwa pamoja naye wakapaza sauti zao nakuliahadi walipokuwa hawana nguvu za kulia tena. 5 Na haowake wawili wa Daudi walikuwa wamechukuliwa matekaAhinoamu wa Yezreelina Abigailialiyekuwa mkewe Nabaliwa Karmeli. 6 Naye Daudi akafadhaika sanakwa sababu watuwalikuwa wakisema kwamba apigwe kwa mawekwa maanahao watu wote walisononekakila mtu kwa ajili ya wanawe nabinti zakelakini Daudi alijitia nguvu katika BWANA, Munguwake.

7 Kisha Daudi akamwambia Abiatharikuhanimwana waAhimelekiTafadhali niletee hapa hiyo naiveraNaye Abiathariakamletea Daudi naivera huko. 8 Daudi akauliza kwa BWANA, akasema, Je! Nikiwafuata jeshi hilinitawapataNaye akamjibuFuatakwa kuwa hakika utawapatanawe hukosi utawapokonyawote. 9Basi Daudi akaendayeye na wale watu mia sitawaliokuwa pamoja nayenao wakakifikia kijito Besoriambapowale walioachwa nyuma walikaa. 10Lakini Daudi akaendeleakuwafuatiliayeye na watu mia nnekwa maana watu mia mbiliwalikaa nyumaambao walitaka kuzimia hata hawakuwezakukivuka hicho kijito Besori. 11 Nao wakamkuta Mmisrinyikani wakamleta kwa Daudi, na kumpa chakulanaye akala; nao wakampa maji ya kunywa; 12 kisha wakampa kipande cha mkate wa tinina vishada viwili vya zabibunaye akiisha kula roho yake ikamrudiakwa maana hakuwa amekula chakula walakunywa maji, siku tatu mchana na usiku. 13Ndipo Daudi akamwulizaWewe ni mtu wa nanina umetoka wapiNayeakasema, Mimi ni kijana wa Misrimtumishi wa Mwamalekimmoja; bwana wangu aliniachakwa sababu tangu siku hizi tatu nilishikwa na ugonjwa. 14 Sisi tulishambulia Negebu yaWakerethina ya milki ya Yudana Negebu ya Kalebuna huomji wa Siklagi tukauchoma moto. 15Daudi akamwambia, Je! Wewe utaniongoza chini hadi nilifikie jeshi hiloNaye akasemaUniapie kwa Munguya kwamba hutaniuawala kunitiamikononi mwa huyo bwana wangunami nitakuongoza chinihata kulifikia jeshi hilo. 16 Na hapo alipokuwa amewaongozachinitazamahao walikuwa wametawanyika juu ya nchi yote, wakila na kunywana kufanya karamu, kwa sababu ya hizonyara kubwa walizochukua katika nchi ya Wafilistina katikanchi ya Yuda. 17 Naye Daudi akawapiga tangu ukungu wa jionihadi jioni ya siku ya pili; hakuna aliyeokokaila vijana mia nnewaliopanda ngamia na kukimbia. 18 Daudi akawapokonya wotewaliokuwa wamechukuliwa na Waamalekinaye Daudi akawaokoa wakeze wawili. 19Wala hawakupotewa na kitumdogo wala mkubwawana wala bintinyara wala chochotewalichojitwalia hao; Daudi akavirudisha vyote. 20Naye Daudi akatwaa makundi yote ya kondoo na ng'ombeambaowaliwatanguliza mbele ya wanyama wale wenginewakasema, Hao ndio nyara za Daudi.

21 Kisha Daudi aliwafikia wale watu mia mbiliwaliokuwawametaka kuzimiahata wasiweze kumfuata Daudi, wale waliowaacha wakae karibu na kijito cha Besorinao wakatokanje ili kumlaki Daudi, na kuwalaki hao watu waliokuwa pamojanayenaye Daudi alipowakaribia hao watualiwasalimu. 22 Ndipo watu waovu wote na wale wasiofaamiongoni mwa haowaliokwenda pamoja na Daudi, wakasema, Kwa kuwa watuhawa hawakuenda pamoja na sisihatutawapa kitu chochotekatika hizo nyara tulizozitwaa tenaisipokuwa kila mtu atapewamkewe na watoto wake, wawachukue na kwenda zao. 23Ndipo Daudi akasema, La, ndugu zangumsitende hivyo katika hizonyara alizotupa BWANA, ambaye ndiye aliyetuhifadhiakalitiamikononi mwetu lile jeshi lililokuja kinyume chetu. 24 Tena ninani atakayewasikiliza ninyi katika jambo hili? Kwa kuwa kamalilivyo fungu lake yeye ashukaye vitanindivyo litakavyokuwana fungu lake huyo akaaye karibu na vyombowatagawiwasawasawa. 25Basi ikawa hivyo tangu siku ile na baadayeakaiweka iwe amri na agizo la Israeli hata leo.

26Basi Daudi alipofika Siklagialiwapelekea wazee wa Yudarafiki zakesehemu ya nyaraakasemaAngalienizawadi yenukatika nyara za adui za BWANA; 27 yaanikwa hao wa Bethelina kwa hao wa Ramoth-Negebuna kwa hao wa Yatiri; 28 nakwa hao wa Aroerina kwa hao wa Sifmothina kwa hao waEshtemoa; 29 na kwa hao wa Rakali, na kwa hao wa miji yaWayerameelina kwa hao wa miji ya Wakeni; 30 na kwa hao waHormana kwa hao wa Korashanina kwa hao wa Athaki; 31 nakwa hao wa Hebronina kwa hao wa kila mahali alipotembeleaDaudi mwenyewe na watu wake.


Leo neno refuuu ila HAKIKISHA UNASOMA ANDIKO LOTE NENO KWA NENO

Session hii focus kusoma Hilo neno tu


DAY 3 – SAA 12 JIONI

Neno Hilo la Daudi inatakiwa ulitafakari kwa kina. Daudi alikuwa kipenzi cha MunguKipenzi haswaaa haswaaaLakinihaikuzuia yeye kupigwa Na adui tena alipigwa kwenye mshonoManake wake zake kabisaaa wa 2 walitekwa. Na mji ambao ndomakazi pendwa ya Daudi wanao kaaa wakeze ukatiwa kiberiti

Kana kwamba haitoshi wake na mabinti wa wananchi wake wakatekwa vile vile Na mali za watu zikatekwa nyaraLawamakila Kona. 


Daudi anasikitika lakini humskiii hata mara moja Ana mlalamikia Mungu mbona hivi? Mimi best yako lakini kwaniniumeruhusu hiliHaingiiii kwenye panic Na pity party yakujilaani Na kumlaani Mungu kwanini imetokea vile, kwaniniwewekwanini kila kitu Na kila mda.

Mimi nasali baba kila Siku. Natoa sadaka sanasikuibiii baba, nimemfanyia mtumishi flani kitu flaniNimefanya kitu flanikwenye hudumaNimepanda mbegu kwa binti mlokole mbonahaya kunipataUnajimalizaaa kweli kweli


Juzi niliwaambia Shetty ameruhusiwa kutujaribu na Hana kazimbovuAnakujaribu pale pale kwenye mshonoAnagongakwenye mfupa

Alimajaribu Mtumishi wa Mungu Ayubu mpaka akapanicItakuwa wewe?

As long as unamtafuta Mungu Shetty ataendelea kuwa anakujana majaribu kwenye mshono na kupyaSitaki kuwadanganyaYesu alipotoka kufunga 40 kavu alikutana Na Shetani Na akamjaribu


Wengi hapa ndo mnakata tamaa, Na kisususa au kujikatiatamaaa na kusikia kufaaa kufaaa au kudata. Na kinachokuumaunemeshinda njaaaumejitoaaaYaaani

Kwa hio muelewe majaribu ya shetty hayahusiani Na ibada yakoNa Mungu wala kwamba wewe ni muovu Sanaa au una gunduau Mungu hakupendi. Ni shetty tu katika ushetani wake. Na akijua usiminywe kidogooo ume react atakuwa anakuminyaminya Kama ndizi MbivuMpaka uwe mkomavuuuNdomajaribu yatapungua Na kuacha kabisaaa.


LA KUZINGATIA BAADA YA MAJANGA DAUDI ANAFANYA NINI

Kwanza watu wanataka apigwe mawemfalme gani wake zakewanatekwa. Ni Kama watu wanavokupiga mawe nonstop kwanini umechelewa kuolewakwanini hujazaaa mpaka umrihuoyani nyumbani maweofisini mawemtandaoni mawehadikanisani maweUkiinama jiwe ukiinuka jiweMpaka unashindaunatafakari DHAMBI GANI KUBWA ULIOFANYA ISIYO SAMEHEKA! Unaletewa moto moto kweli

Neno linasema giza lilipokolea ogopa watu wameliaaa mpakahawana nguvu ya kulia tena. Daudi anafanya nini?  DAUDI ANAJITIA NGUVU KATIKA BWANA!

Kama kulia umeliaaaa sanaaagodoro ramani tupu za machoziKilichobaki jitie tu nguvu katika Bwana.


KWENYE MAIN POIT YA HABARI

Daudi anamuita kuhani wajadilianeAlete kwanza Niveraukisoma bible ya Kingereza inaitwa Ephod uki google utajua niVazi la kikuhaniYaani alimwambia kuhani aje rasmi Na mavaziyake manake Kuna kikao rasmi baina Yao Na Mungu

Kikao cha dharura. Na anapofika kwenye uwepo haanzi Na lawama wala sononeko wala hata kwanini inekuwa hivo baba. Anakuwa staregic Na kwenda direct to the point. BABA NIKIWAFATIA HAWA WATU NITAWAPATA AU SIWAPATI?


Mda mwingine hupokei majibu sababu you keep asking wrong questions. Unamuuliza Mungu sana ila una muuliza maswaliyasiyo Na msingi. Ni Kama Sasa unatakiwa kuuliza MUME NITAPATA AU SIPATI?

Au unaauliza NI MUME AU TAPELI? Sio unaanza Vizuri je nisahihi kabla hujajibiwa unaanza Kama sio  sahihi mbona alikujanilivofunga mtu sahihi? Na Kama ni sahihi mbona haelewekiUnauliza na kujijibu

Mungu alikuwa brief tu Na specific. Fata na kwa hakikautawapata na kuwapokonyaKivipi hakuweka wazi. Ila Daudi Hilo jibu tu linamtosha.


Ni Kama uneomba ishara Kama ndie apige simuAnapiga. Ila mjaribu ya shetty yanakushinda nguvu

Safarini wanaibuka wavivu, Daudi anakuwa focused na missonyake Ana wabwaga njiani


Niwatie nguvu KOMAENI HII SAFARI MFIKE MWISHO MAANA MUNGU AMESHAJIBU KWA HAKIKA UKIWAFATIA ADUI ZAKO UTAKOMBOA NDOA YAKO NA NYARA ZOTE ULIZOPORWA MIAKA YOTE HII

UKIPORWA KITU USIKAE UNAJISKITIKIA, UNADEKA, UNAJILIZA LIZA NI KUTAFUTA MTUMISHI STRONG ANE JITOA KWAKO, NIKO HAPA NA NIVERA NISHAIVAAA WIKI HIZI 2 NA KUWAFATIA ADUI ZAKO UKOMBOE VYAKO UISHI HAPPILY EVER AFTER

 

DAY 4 – KUVUNJA VIZUIZI VYA KIFAMILIA NA UKOO


Masomo & Maombi ya Saa sita usiku

Kuna Muda ukiwaza sanaaa kiukweliii hakuna ulilofanya baba sanaaa kustahili unayopitiaHuoniii sababu. Na kweli sababu siolewi.


Kuna makosa wanafanya wahenga yana gharimu vizazi 4 mbelena Zaidi. Mfalme Hezekia anafanya mistake ya kupokea wagenikutoka utawala wa mwingine Na unavojua tena wanamletazawadiBaadae anaambiwa Na nabiii kwamba Munguhajafurahi kabisaaa Na wale wageni watakuja kuvamia Na kubeba kila kitu hamna kitachosalia. Na watu Pia watebebwavile vile wakawe watumwa huko Babylon. Balaaa zito. Guess Hezekia Ana lipi la kusema juu ya blander yakeKabla aliuguaakaambiwa atakufa Na nabii isayaweka mambo vizuri mdaumefikaakamsihi sana Mungualimuomba Munguamuongezeee tumaisha kidogomaana bado kuna mambo hajamalizia malizia kuyaweka sawaMungu anamsikia, Ana mtuma nabiii  Isaya kwamba atamuongezea maisha miaka 15, yafurahaaa Na mafanikio akamilishe kila kituAkampa Na Ishara. Kwa hio ilikuwa Done deal! 

 

Sasa ndo akaja kufanya blander la Wa BabeliNabii Yule YuleIsaya  akamletea habari zijazoKwamba mambo yatakuwa siosio.


Anacho uliza ni JE HUO UVAMIZI WA HAO WA BABELI UTAKUWA KWENYE ILE MIAKA YAKE 15 YA DONE DEAL AMA? MAANA WANA MAKUBALIANO MIAKA 15 YA AMANI SASA ITAKUWAJEEEE? MAKUBALIANO SI YAPO VILE VILE? ANAAMBIWA YAKE 15 KAMA KAWAIDA PEACE AND LOVE TU! NI DONE DEAL! ILA WAKATI WA UTAWALA WA WANAO DAMU YAKO KABISAA WATAPELEKWA BABELI UTUMWANI. AKASEMA KAMA NI HIVO BASI NENO HILO NI JEMAAAAAA!!! MAADAMU 15 YANGU BARIDAAA! FRESH TU! 


Isaya 39:8 Ndipo Hezekia akamwambia IsayaNeno la BWANA ulilolinena ni jema. Tena akamwambiaMaanaalifikirikutakuwapo na amani na usalama katika siku zangumimi.

WAISRAEL WANAKAAA UTUMWANI BABELI MIAKA 400 KWA KOSA LA HEZEKIA KUJISHAUA NA HAZINA


Hamna rangi hawakuona BABELI. Mwanae Hezekia anawekaagerezani BABELI miaka 37. Kosa la muhenga

Kuna BABELI unapita wewe kwa kosa la wahenga wakoUsipogundua ukajikomboa inaku cost


Yeremia 52:31-34 Mnamo mwaka wa thelathini na saba tanguYehoyakini mfalme wa Yuda alipopelekwa uhamishoni, siku yaishirini na tano ya mwezi wa kumi na mbili, Evil-merodakimfalme wa Babulonimwaka uleule alipofanywa mfalmealimsamehe Yehoyakini mfalme wa Yudaakamtoa gerezani.


LEO TUNAOMBA UKUMBUKWE KAMA YEHOYAKINI UTOLEWE KWENY HILO GEREZANI YAMKINI UMETUMIKIA MIAKA 10, 15,20,30 LA KUTOKUOLEWA KATIKA UJANA WAKOMUNGU AINUE MTU AKUKUMBUKE NA KUKUTOA KWENYE HIO BABELI IN THE MIGHTY NAME OF JESUS


Yeremia 52:32-34 Aliongea naye vizuri na kumpa nafasi yaheshima kuliko wafalme wengine waliokuwa pamoja nayeuhamishoni huko BabuloniBasiYehoyakini alibadili mavaziyake ya kifungoniakawa anapata chakula chake daima mezanikwa mfalme. Daima alipewa posho na mfalme wa Babulonikulingana na mahitaji yake ya kila siku, mpaka alipofariki.


HILI NDO TUNALOPAMBANIA LEO! SAWA MUHENGA ALIFANYA BLANDER KAMA HEZEKIA ILA USHAKAA SANA GEREZANI NA CHUNGU YA BABELI UMEIONA YA KUTOSHA, SASA MUNGU AKUFANYIE MANUVAAA UTOKE GEREZANI NA UKAKETI KWENYE MEZA YA WATEULE TENAAA KAMA WATEULE WENGINE NA UPATE SITAHIKI ZAKO KAMA MTEULE MPAKA KUFA KWAKO


Wagalatia 3:13-14 Kristo alitukomboa kutoka katika laana yasheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetumaanaMaandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabaniamelaaniwa.” Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewaAbrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia yaKristona ili kwa imanitumpokee yule Roho ambaye Mungualituahidia.


Ezekieli 18:20 Atakayetenda dhambi ndiye atakayekufaMtotohatawajibika kwa uovu wa baba yakewala baba hatawajibikakwa uovu wa mtoto wake. Uadilifu wa mwadilifu utamfaa yeyemwenyewe: Na uovu wa mwovu ataubeba yeye mwenyewe.

Huu mstariii Leo na kesho komaaaa naoooo mpaka Mfalme ajekukutoa Gerezani BabeliYaaani rudia hamna hamna Mara 30 kwa kumaanisha ukimsihi Mungu Kama ni makosa ya wahengahili neno likuweke huru

Maana IMEANDIKWA HIVO sasa kwanini unalipia dhambi za mababu zako


MAOMBI

Baba ulie mbinguni ninaomba huruma yako napochukua hatuaza ndoa yangunisiwe muhanga wa makosa na uharibifu wafamilia yangu katika Jina la Yesu.

Nasimama kwenye pengo la familia yangu Na kuomba toba kwaniaba ya mstari mzimaaa wa familiakuanzia vizazi vya nyumampaka vya sasakatika uovu wote waliotekeleza kuanziamaagano yote ya kishetani, Na dhambi zote zinazoleta vikwazovya kiroho kwa wanafamilia.

Baba naomba rehemu familia yangu Leo hii katika Jina la Yesu.


Baba najua dhambi inafungua mlango wa mapepo kufanya kazikila mahalilakini sa hii hii baba kwa Damu ya Yesu napokeamsamaha wa familia yangu. Na funga milango yote mapepowanayopitia kufanya kinyume Na Mimi na familia yangu katikaJina la Yesu.

Leo naililia damu ya Yesujuu yangu Na familia yangu nzima,  nafunga mapepo yote yanayofanya kazi kinyume Na familiayangu kwa misingi ya makosa ya nyuma ya familia yangu.  Naamuru mapepo hayo yatokeee Leo Na kurudi kuzimu katikJina la Yesu.


Naziamuru ngome zote Na mambo yote ya giza yalio rithiwakizazi Na kizazi ndani ya familia yangu viwake moto leo kwaJina la Yesu.

Mapepo ya kunichanganyakucheleweshaumaskiniwogamatesondoa kuvunjikauzinziyanayofanya kazi kinyume Na familia yangu nawafunga Na kuwatupa kuzimu kwa Jina la Yesu.

Leo na vunja kabisaaa uhalali wowote wa ADUI kunishikiliamaisha yangu Na familia yangu kwa Jina la Yesu.


Naamuru kila muovu mwenye nguvu mwanaume au mwanamkewanaotekeleza maagano ya nguvu za giza  Namaamuzi ya vizazi vilivopita kwenye maisha  yangu Na shikamoto Na utoke kwenye familia yangu kwa Jina la Yesu.

Navunja kila kiini cha kuchelewa Na kukatishwa tamaaa yakuolewa kwa Jina la Yesu.


Na decree uponyaji na urejesho kamilikutoka kwenye kilauonevu katika maisha yangu, Na familia yanguvinavotokanaNa mababu kwa Jina la Yesu

Kila laana ya ukoo, Na maagano ya ukoo yanayosimamakinyume Na ndoa yangu haribika Leo kwa Jina la Yesukilanadhiriahadi au kiapo kilichoandiwa kupingana na kuzuia ndoayangu nafuta vyote kwa Jina la Yesu.Nafunga roho zote za kuoaNa kuolewa wake wengitalaka,uasherati Na uzinzikukosamaadili nazingoa kutoka kwenye familia yangu Na kuzitupakuzimu kwa Jina la Yesu.


Na decree hizi dhambi hazitajirudia kwenye familia yangu walamaisha yangu kwa Jina la Yesu.

 

Baba namuachilia mwenza wangu toka kwenye kila uchawi, au kifungo cha nguvu za giza sasa katika Jina la Yesu.

Naamuru mwenza wangu aachiwe huru kutoka kwenye laana za ukoo wao Na maagano yanayo zuia tusikutane Na kuanzishamahusiano katika Jina la Yesu.

Leo hii natangaza sababu nipo ndani ya Kristo mimi ni uumbajimpya, Sipo tena kwenye laana za ukoo Na vizaziNipo chini yaagano jipya lililo anzishwa kwa damu ya Yesu.


Nimewekwa huru Na laana zote.

Natembea katika baraka za Mungu baba kila siku 

Nakataaa msingi ya urithi wa familia juu ya maisha yangu katikaJina la Yesu.


Asante Yesu.


DAY 4 – SAA 9 ALASIRI


Neno la Leo ni fupi sana ila zito sanaaaaNdo moja ya password ilipo Tofauti Na Siku hizi 3 za nyuma, session ambapo unafanyamaombi mengi mazito ya mapambano. Leo unafanya maombiya utulivukutafakari, Na kuzamaaa kwenye uwepoooMtu 2 tuwewe n Mbingu. Una wasilisha jambo lako.


KUMBUKUMBU LA TORATI 2:1-3 Ndipo tukageukatukashika maisha ya jangwani kwa njia ya Bahari ya Shamu, kama alivyoniambia BWANA; tukaizunguka milima ya Seirisiku nyingi. 2BWANA akasemaakaniambia, 3Mmeuzunguka mlima huu vya kutoshageukeni upande wa kaskazini.


UNA WASILISHA HOJA YAKO KWAMBA UMEZUNGUKA HUO MLIMA WA KUTAFUTA MUME VYA KUTOSHAAAA JAMANIIII! AU SIO! MIAKA NA MIAKA, MTUMISHI KWA MTUMISHI, PAGE KWA PAGE, PROGRAM KWA PROGRAM, MAOMBI KWA MAOMBI, ANDIKO KWA ANDIKO! IMETOSHAAAAA! 


MSIHI MUNGU SAWASAWA NA ANDIKO HILI MARA HII TU MOJA MARA HII TU AKWAMBIE KASKAZINI YAKO NI IPI UKAFANIKISHE KUVAAA SHELA, KUPATA NYUMBA YAKO NA WATOTO WAKO! 


KAMA NI WATUMISHI UMEMALIZA WANAOJULIKANA MPAKA KINA BINTI MLOKOLE WASIOJULIKANA WALA NINI WEWE KWAKO FRESH TU MAADAMU MAANDIKO NI YA MUNGU. SAFARI HII UNAOMBA KUSIKIA KWAKE BABA AKETIE MAHALI PA JUU KASKAZINI YAKO NI WAPI?


KAMA VILE MUNGU ALIVOANGALIA KUZUNGUKA KWA WAISRAEL JANGWANI NA KUONA IMETOSHA UNASIAMAMA KWELIKWELI NA HILI ANDIKO KWAMBA HATA KWAKO AONE IMETOSHAAAAAA NA AKWAMBIE KASKAZINI YAKO NI ILE NENDA UKAFIKE NCHI YA AHADI IN THE MIGHTY NAME OF JESUS.


Usipanic wala nini maanaNajua inatia uchungu Na kuwezakusababisha uwe emotional. Nimewaambia vita haitaki hisiaInataka strategy! Ukiwa calm utazungumza Na Mungu Na mtaelewana.


Anza kuzungumza Na Mungu wakosaa 12 nitakuongozamaombi

Ukishaomba na kumuliza. Tulia umsikilize kwa mdaKaskaziniyako inaweza kuwa Mtu , akawambia nenda kwa Rhoda kamsalimie huko ukakutana na kaka Roda mambo yakabakiastory. Anaweza kuwa Ex , ukamkunbuka tuna baadaeakakupigia the rest ni historiaInaweza kuwa location ukaambiwa nenda Dodoma kesho au ukatokea uhutaji uweDodoma kesho maybe interview Na huko ukaikutaKASKAZINI. Mungu Ana njia nyingi Sanaa. Unaweza itwaharusini Leo Na kaskazini yako ukaikuta huko harusini. OMBA KWA KUMAANISHA TEGEMEA KUSIKIA JIBU USIWEKE WALAKINI KWAMBA HIO NORTH IKO WAPI AMBAPO WEWE UTAOLEWA. MUNGU ATAKUONGOZA


DAY 4 – SAA12 JION


MAOMBI

Mungu baba nakuja mbele zako leo hii kuleta suala langu la ndoa mbele yakonaingia kupitia sifa Na kuabudu kwenyembingu zako tukufunikijifunika kwa damu takatifu ya YesuNajibatiza kwa moto wa roho mtakatifunafunika anga lote Na moto wa Mungu


Nateka kila mamlaka , nguvu za gizanguvu zinazotawala eneo, Na kila falme na tawala zisizo zako MunguNaziangusha chiniNa kuazizuia zisiinuke tena dhidi yangu wala dhidi yamahusiano yangu wala Safari yangu ya ndoa in the mighty name of Jesus Christ. Nina maisha ya Kiungu ndani yangu kwa Jina la Yesu.


Kwa jina la Yesu lipitalo majina yote natubu dhambi zangu zoteLeo hii, Na ninaomba rehema Na msamaha wako baba. Kwa moyo wangu wote nawasamehe Na kuwaachilia wale wotewalionikosea kwa jina la Yesu sitaweka kinyongo dhidi Yao. Naililia damu ya Yesu juu ya dhambi zangu za mababu zangu.


Navunja maagano yote ya kipepomakibalianobiasharamikataba yote isiyo ya Mungu iliofanyika juu ya maisha yangu ,roho yangu , mwili wangu Na mazingira yangu kwa Damu yaYesuKatika jina la Yesu nafutaaaa yoteee sasaNamiminadamu ya Yesu kubatilisha hayo yote in the mighty name of Jesus.

Navunja kila uhalali wa shetani kunishikilia kwa damu ya Yesu, Yule mshitaki wa wenye haki asiwe Na lolote dhidi yanguninapokuja mbele zako baba katika Jina la Yesu


Shetani hatoweza kukwamisha wala kuchelewesha maombiyangu sababu najua mimi ni Nani. Mimi ni mtoto wa Munguaketie mahali pa juu. Mimi ni mtoto wa ufalme. Mimi nimtumishi wa bwana nilie okolewa toka makucha ya shetani kwadamu ya Yesu.


Na declare madhabahu zote za shetanifalme za giza,  milki za kipepomamlaka ya kipeponguvu za giza, wat swala wait gizanimalkia wa bahariwachawi Na washirikinawagangamajinimizimuvibwengo Na washirika wote wa shetaniHAMTAKUWA NA NGUVU TENA JUU YA MAISHA YANGU! MAHUSIANO YANGU, WALA SAFARI YANGU YA NDOA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS! NATANGAZAAA SHETANI WALA WASHIRIKA WAKO HAMTANINYANYASA TENAAAAA!


DAY 6 – KUINUKA DHIDI YA VIKWAZO VYA KIROHO(SAA SITA USIKU)


Wathesalonike 2:18 

Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, nilitaka kujamara kwa mara, lakini Shetani akatuzuia.

Paulo alikuwa anataka kwenda kwenye kanisa la TesalonikeMara nyingi tu lakini INASHINDIKANA! Kumbuka Paulo nimtume A list!  Aliomba gereza likafunguka ila kufikaTesalonike ilishindikana Mara kadhaaa Na maombi yakemnayajuaaa sio ya mchezo mchezo. Alivo jemedari na Kamandawa Kristo hasemi basi bwana ishashindikana Kama vipiAnaandika barua 2 kwenda kwenye Hilo kanisaWathesonike 1 Na 2

HATA WEWE UMEJARIBU KUOLEWA AU KUPAMBANA MTU AKUOE MARA KADHAAA ILA HAIKUWA RIZIKI


Ukisoma Utaona Paul Mtume anajaribu analipambania sanakanisa la Thesalonike. Pamoja Na kutimuliwa hakati tamaaa.Mpaka linakuwa moja ya makanisa makubwa sanaShetanialimpiga pini pini haasaaaaaLakini hakati tamaaa Na watesalonike.

Hata wewe shetani kukupiga pini issue yako ya ndoa haponyumaisimanishe do mwishouzeeke peke yako Na upweke. No way no day! Shetani ashashindwa huko nyuma Sanaa tu. Wakwanza Mtume Paul Na wengine wengi.


Wakorintho 10:3-5 Kweli tunaishi dunianilakini hatupiganivita kiduniaMaanasilaha tunazotumia katika vita vyetu sisilaha za kiduniaila ni nguvu ya Mungu yenye kuharibu ngomezoteTunaharibu hoja zote za uongo na kubomoa kila kizuizicha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya Mungutunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii Kristo.


Luka 10:19 Tazamanimewapa amri ya kukanyaga nyoka nangena nguvu zote za yule aduiwala hakuna kitukitakachowadhuru


Luke 10:19 I have given you authority to trample on snakes(A) and scorpions and to overcome all the power of the enemy; nothing will harm you.


Waefeso 6:10-18 Hatimayenawatakeni muwe imara katikakuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuuVaenisilaha anazowapeni Mungu mpate kuzipinga mbinu mbaya za IbilisiMaana vita vyetu si vita kati yetu na binadamubali nivita dhidi ya jeshi ovu la ulimwengu wa rohotunapigana nawatawalawakuu na wenye nguvuwanaomiliki ulimwengu huuwa giza. Kwa sababu hiyovaeni silaha za Mungu ili siku ileitakapofika mweze kuyapinga mashambulio ya aduina mkishapigana mpaka mwishomtakuwa bado imaraBasikaeni tayari.


Yakobo 4:7 Basi mtiini MunguMpingeni Shetaninayeatawakimbia


Warumi 8:31 Basituseme nini juu ya hayoMungu akiwapoupande wetuni nani awezaye kutupinga?


1 Yohana 4:4 Lakini ninyi watoto wapendwani wa Mungunanyi mmekwisha kuwashindakwa maana yeye aliye ndaniyenu ni mkuu kuliko yule aliyeko duniani.


Isaya 54:15 Tazamahakika ikiwa utashambuliwa na yeyotehaitakuwa kwa shauri languYeyote atakayekushambuliaataanguka kwa ajili yako.


Isaya 54:17 Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwana kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumukuwa mkosaHuu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, nahaki yao inayotoka kwangu mimiasema BWANA.


MAOMBI

Baba katika Jina la Yesunashukuru kwa kunipa mamlaka yakunyaga nge Na nyoka, Na mamlaka dhidi ya aduina hamnakitu kwa namna yoyote ile kitanidhuru.

Ninakushukuru kwa kuwa chochote nitakachofunga dunianikimefungwa Mbinguni, Na chochote nitakacho ruhusu kitakuwakimeruhusiwa Mbinguni.

 

Baba Leo hii nasimama Na Kristo Na kujivika ngao yote yaMungunajifunga Kiuno changu Na ukwelinavaa ukandaa Na utii beganinavaaa ngao ya imanina helmet ya wokovu Na viatu vya injili ya Kristo.

Nanyanyuka Leo Na kupambana Na mishale yote ya adui dhidiya ndoa yangu Na maisha yangu.

Leo hii natangaza hukumu juu ya mamlaka zote Na nguvu za gizawatawala wa gizani Na wamiliki wa kiroho wa uovu katikanafasi za juu.

Nateka nakuhukumu kila viashiria viovu dhidi ya ndoa yanguNa nyumba yangu kushuka kuzimu kwa Jina la Yesu.


Na declare kuachiwa kwa upepo wa Ki Mbingu kufatilia kikaochochote  kilichokaliwa au kitakacho kaliwa dhidi yangukuzuiaharusi yangufamilia yangu Na hatma yangu Na kuvisambaratisha kwa Jina la Yesu.

Sababu Mungu yupo Na Mimi hakuna kitu wala mtu anawezakupingana Na Mimi katika Jina la Yesu.

Mipango yote ya wale wanao niwazia uovu mimi Na ndoayangu iharibikeUovu wao ugeuzwe Kwako wenyewe.

Naamuru kila kikwazo Na kizuizi cha ndoa yangu kiondoleweLeo Na hata milele katika Jina la Yesu.

Leo kwa Jina la Yesu nawafunga waangalizi wote wa kipepowanaofatilia ndoa yangu kwa Jina la Yesu.

Navunja kila roho za kukaribia kupata Na kuishia kuaibika.


Na declare ndoa yangu itafanyika Na itadumu Na kushangazamategemeo ya binadamu.

Navunja kiini cha kutokufanikiwa Na kufa mapema kwa ndoayanguNavunja kila mpango wa kiroho wa kudhoofisha ndoayangu.

Nageuza Na kurudisha kwa mtumaji mishale yote miovu dhidiya ndoa yangu.

Na declare hakutakuwa Na bahatimbaya tenaaa kwa habari yandoa yangu Na nyumba yangu kwa Jina la Yesu.


Na declare yote haya Leo hii kwa Jina la Yesu

Mwenza wangu aliepangwa Na Mungu atajitokezatutakutanaNa mioyo yetu utajua.

Nitaolewa kwa utukufu na ndoa yangu itavuta neema kubwa Na baraka toka kwa Mungu

Ndoa yangu itafungua milango mipya ya mafaniko Na neema kwa wote watakao Shikamana Na Mimi.

Ndo yangu haitarithi uovu wa familia zetuUchumi wanguhautaporomoka baada ya ndoa


Ndoa yangu itakuwa habari ya ushindiWakwe zanguwatafanyika baraka kwanguUchumi utakuwa mwingiMipangoya harusi yangu itakuwa mororo katika Jina la Yesu.

Vazi za aibukucheleweshwakuonekana mjinga,  kuchanganyikiwa liondolewe juu yangundoa yangu Na maishayangu kwa Jina la Yesu. Disappointments zote zigeuke baraka kwa Jina la Yesu.

 

Malaika wa Mungu wanitambulishe kwa mchumba wangu nakutukutanisha katika njia ya ajabu kwa Jina la Yesu.

Leo na declare Mungu amebeba vita yanguni kiongozi wamipango ya ndoa yangu Na maandalizi.

Ndoa yangu itafanyika, Na utukufu utakuwa kwa Mungu peke yake katika Jina la Yesu.

Nainuka dhidi ya kila shambulio la kiroho Na mwili dhidi yandoa yanguNavunja agano lolote linalojulikana Na lisilojulikana linalo  pinga hatma ya ndoa yangu kwa Jina la Yesu.


Najitenga na connection yoyote ovu ya kiroho au kimwiliinayohusika kuchelewa na kukawia kwa ndoa yangu kwa Jina la Yesu.

Nateka kila wazo kuanzia leo kuendelea kufanya kazikunifanikisha katika Jina la Yesu.

Baba naomba huruma zako na rehema zinene kwa habari ya past yangu


Makosa yangu ya nyuma yasisimame kunihukumu dhidi ya ndoayanguKumbuka Rehema baba.

Alama yoyote niliyowekewa juu ya maisha yangu Na ndoayangu kutokana Na makosa ya nyumaMungu baba naombaDamu ya Yesu iondoe Leo kwa Jina la Yesu.

Kila habar mbaya zinazo enezwa nisiolewe Na kunitenga Na watu zibadiishe kuwa favor kwangu kwa Jina la Yesu.

Na declare kuanzia hapa hakutakuwa na uhalali dhidi yangu Na hatma ya ndoa yangu kwa Jina la Yesu.

Mungu anafanya jambo jipya maishani mwangu Na ya kale yamepita.


Mimi ni mpya kimawazo, bora kwenye subira Na utiiimwenyehekima kwenye kuamua, Na tayari kwa matokeo halisi yamwenza wangu katika Jina la Yesu.

 

AMEN


Day 5 – Somo la mchana

Jamani wale wa Delay spirit ndo vikwazo vya kiroho

Kama unaota ndoto za shulemitihani hujajiandaaahujuimaswaliuko kijijini au nyumba ya zamani ushatoka huko mdaSanaa. Zote hizo ni delay spirit.

Simama Na vifungu vya Jana, Na maombi ya Jana kweli kweli.


Na usipokuwa makini panakushilia kweli kweli Kama maanakuna ile roho ya almost! Unakaribiaaa kabisaaa process za ndoa. Au mnaenda vizuriii mpaka mnazaaa mtoto familia zinajuana ilandoa ndo kigongo kilipoUnapoteza mda mwingi kuona hunatatizoBado kidogo tuuuWewe unakuwa nae miaka 4,5 mpaka10, na watoto umezaaa mkipishana kidogo tu anaoaaaa mwakahuooo au 2 haipiti. Na huko anatupa will you marry me hovyohovyo ni vile zingine zinakataliwa lakini kwako shetani 24/5 yuko nyuma yako kuhakikisha hapenyi mtuNa utashangaaa siomwanaume mmoja woteeee unaokuwa nao kabla wanakuwa big catch kila mtu anakupongezakila mtu anaona Wivu baadaeanakufujaaaa Na kukunyanyasa kweli kweliukimuacha Anaoafasta Na huko anakuwa bonge ya mumeTatizo sio wanaume. Ni weweMaana wote mwisho wanakuwa Kama ndugu kwakukutenda yale yaleMtu kabadilika kuzimu ile ile. Ni shetanianawatumia kukuumiza wakiwa Na wewe. SO ONCE AND FOR ALL DEAL NA SHETANI MUWEKANE SAWA AACHANE NA WEWE!


Anakuacha wewe anaenda kuoa mwanamke wa ajabu ajabumpaka mwenyewe anashangaaa imekuwajeeeMbona wewehuna tatizo. Ni mwema. Na akiulizwa flani alikufanya niniHAKUNA!! HAKUNA SABABU ZA MSINGI! Ila ndomshakosa wote.

SASA UMEKUBALI HIO HALI TANGU UNA 25 MPAKA LEO! IMETOSHAAA! NA KINACHOKUUMA YOU ARE TRYING YOUR BEST ALWAYS KUWA MWEMA! NAKUELEWA! NDO MAANA MUNGU KANITUMA NIJE NIKUPE PASSWORD! INATAKIWA MKABANE NA SHETTANI LEO MPAKA UMFURUSHE TOKA KWENYE MAISHA YAKO NA TAKA TAKA ZOTE ILI ASITHUBUTU KUKUWEKEA VIKWAZO VYA KIROHO TENAAAA!!!


Yakobo 4:7 Basi mtiini MunguMpingeni Shetaninayeatawakimbia.

Leo ndo umpinge kweli kweli mazoea mazoea Na mahusianoyako Full Stop!

ZAMA KWENYE MAOMBI LIKE NEVER BEFORE! MPAKA AKIMBIE! UWE HURU!

Kwa hio tumeelewana lakini ukiamua kwa dhatiii kabisaaa kuwajasiri unaeleweka ulimwengu wa rohoWazungu wanasemaCOURAGE IS THE BIGGEST MAGIC OF THEM ALL!  Ukiwa jasiri kuthubutu Na kuweka nia ni zaidi ya ugangaHakunaaa wa kukuzuiaaaHata wakuu wa anga watabakiakukuangalia unavoondoka gerezani.


DAY 5 saa 9 Alasiri


MAOMBI

Leo ni Siku ya wokovu wangu, Leo Mungu wa Mbinguniataharibu kila roho ya ucheleweshaji , mitego ya kiroho navizuizi vya kiroho katika Jina la YesuKuchelewa kunakatishasana tamaamaandiko yako yanasema  


Mithali 13:12 Kilichotarajiwa kikikawia kujamoyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikanani mti wa uzima. Baba hatmayangu ya ndoa imechelewamoyo wangu unaugua,  kwa nguvuya ufufuo wa Kristo nateketeza kila aina ya vikwazo vya kirohoinayonishikilia in the mighty name of Jesus. Kila roho yakuchelewa Na kuzuiwa kufika hatma yangu naitupa kuzimu kwaJina la Yesu.

Kila nguvu inayorefusha safari yangu ya kufukia hatma yanguya ndoa anguka chini Na ufe kwa Jina la Yesu.

Kila tatizo niliojiletea maishani kuruhusu vikwazo vya kiroho navizuizi vya kiroho yeyuka sasa kwa Damu ya YesuNavunjaharakati zozote Na nguvu zozote za vikwazo vya kiroho kwenyemaisha yangu kwa Jina la Yesu.


Navunja Na kufuta maagano Na laana zote za roho za kucheleweshwa katika Jina la Yesu. Matokeo yoyote ya vikwakoNa vizuizi vya kiroho futika sasa kwa Jina la Yesu.

Roho zote za kunirudisha nyuma Na kuzuia matokeo yangushika moto wa Mungu sasa Na teketea kwa Jina la Yesu.

Mungu baba nakataaaa roho ya kukataliwa. Kwa neema za Mungu sitokula makombo ya baraka kwa Jina la Yesu.Nakataaaa baraka zisizo Na mifupa kwa Jina la Yesu. NKilaroho ya kunikeraa Na kuninyongonyeza safishika sasa kwa Jinala Yesu. Kila maelekezo maovuunabiii muovu ulio achiliwa juuya hatma yangu kwamba nitaenda kwa speed ya Konokonofutika sasa kwa Damu ya Yesu.


Nakataaa roho ya kushika Mkianadai roho ya kuwa kichwa Na sio mkia kwa Jina la YesuRoho zote za mimi kuwa wa mwishokuolewa Leo hii zishike moto ulao Na kuteketea kwa Jina la Yesu.

Napokea usafiri wa malaika kufika Mungu aliponikusudia hatmayangu kufika.

Mungu baba nirushe kwenye juuu wako kama ulivomvushaDaniel ndani ya Babeli.

Nakataaa baraka za msimu nakusihiii unibariki baraka za kudumu kwa Jina la Yesu


Nakataaa roho ya kukata tamaa kwa Jina la Yesu. Mungu baba sambaratisha adui zangu wote wanaoniwekea vikwazo vyakiroho Na ngome zao zote  vipande vipande kwa radi yako kwaJina la Yesu.

Napokea uhuru wangu sasa Na utakuwa wa kudumu in the mighty name of Jesus.


AMEN

 

DAY 5 Saa 12 jioni

Kama tulivokubaliana kutokana na unyeti wa hiki kipengele, Tu focus sanaaa kumsihi Mungu.

So mda huu utasimama Na huu mstari Na kuzama kwenyemaombi ya saa 9 tenaaaOmba kadri uwezavyoOmba Kama ambavo hujawahi omba maishani mwako.


Danieli 9:19  Ee Bwana, usikieEe Bwana, usameheEeBwana, usikilizeukatendeusikawiekwa ajili yako weweEeMungu wangukwa sababu mji wako na watu wako wanaitwakwa jina lako.

 

DAY 6 – Midnight prayers


Zaburi 32:8-9 Nitakufundisha na kukuonyesha njiautakayoiendeaNitakushaurijicho langu likikutazamaMsiwekama farasi wala nyumbuWalio hawana akili. Kwa matandikoya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.


NAWAPONGEZA LEO TUMEMALIZANA NA VITA RASMILEO TUNAANZA MAOMBI YA KUMSIHI TU MUNGU NA KUJADILIANA NAE JINSI GANI ANATUKABIDHI HILO TAJI!


HIZI SIKU 5 NI MAOMBI TU YA KUTENGENEZA NA MUNGU ADUI TUSHAMALIZANA NAE, TUSHAMKATAAA HADHARANI. THEN ZILE 4 ZA MWISHO TUTAKUA TUNA PROVOKE DEVINE INTERVENTION SIKU HIO HIO! LIKE MKESHA! MAJIBU YA WAKATI HUO HUO, ISHARA, MAAGANO, NADHIRI VILE VITU MNAPENDA TO SEE ACTION


LEO TUNAOMBA DIRECTION/ UELEKEO NA BUSARA TOKA KWA MUNGU!  Uelekeo taji liko wapi la 💍💍💍Sawa umeshatoka shimoni unashangaa shangaaaaUnaombamuongozo toka juu Wapi nielekeeee nikachukue taji langu.


Lile swali lenuuu pendwaaaa! The milliondollar question IS HE THE ONE? Leo ndo mahali pale

Niwe muwazi direction ina gharama zake. Kuna milango Munguataifunga ghafla sanaaa! Na Kuna milango ataifungua ghaflasana vile vileNdo uelekeo huoUsifadhaike Kama lango lako la Dear Ex litavopigwa kufuli aina ya Solexndo lango la dear Hubby litafunguliwa waaaaah! Kama Lango la gereza la Paulo na SilaKuwa tayari. Wale drama queen sijui itakuwaje? Ila mtafika tu!


Isaya 30:21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yakolikisemaNjia ni hiiifuatenimgeukapo kwenda mkono wakuliana mgeukapo kwenda mkono wa kushoto.


Mithali 16:9-10 Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali BWANA huziongoza hatua zake.

Mithali 2:6 Kwa kuwa BWANA huwapa watu hekimaKinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu


MAOMBI

Baba yetu ulie mbinguni Leo hii nadeclare kwamba nakuaminikwa moyo wangu wote sitaki kutegemea uelewa wangu binafsi

Naji commit kutambua uweza wako kwenye mambo yangu yote, Na nakuamini kuninyooshea njia zangu za kupata mwenzasahihi w kufikia hatma yangu ya ndoa katika Jina la Yesu.


Baba nakumbushia ahadi yako ya kuniongozakunifundisha njiaya kuelekea, Na kunishauri kwa jicho lako juu yanguNakushukuru kwa ahadi hii ya kuniongoza katika Jina la Yesu.

Mungu naweza kuona njia zote ni sahihi mbele zangu, Na Mara nyingi sishauriki Na nina udhaifu wa kutoona makosa yangu, Leo hii najikabidhi kwakouondoe mawazo yote mabayayatayonipoteza Na kuniumbia mawazo mapya ya kukupendezapale napotafuta mwenza sahihi katika Jina la Yesu.


Bwana Yesu katika swala la hatma yangu ya ndoanina saliKama ulivo sali ukiwa dunianihutafuti mapenzi yako Bali mapenzi ya alie kutuma yatimizwe, Bwana nataka kutimizamapenzi yakoNijulishe mapenzi yako kwa Jina la Yesu.

Bwana ulisema ombeni nanyi mtapewatafuteni nanyi mtapatabisheni nanyi mtafunguliwa. Leo hii naomba muongozo wakonatafuta kujua mapenzi yako juu ya hili Na nagonga mlangowako.

Bwana nisaidie kupokeakupata Na kunifungulia mlango kwaJina la Yesu.


Baba ulisema utawafundisha wanyenyekevu njia zako, Na kuwaongoza njia sahihi.

Wewe ni Mungu wa wokovu wangu. Nifundishe njia zako Na kweli yako. Bwana nijulishe mwenza wangu tutaefikia hatua yandoa

Ongoza hatua zangu kukutana Na mtu sahihi ulimteua kwa ajiliyangu. Na nitapo muona Huyo mtu nipe uwezo wa kutambuaHilo katika Jina la Yesu.


Baba kuna matamanio mengi moyoni mwangunayakabidhiyote Na kukuachia uniongoze.

Hata nikiwa napanga mandingo ndingo yangu bila kujijua nirehemu Na ongoza njia zangu katika Jina la Yesu. Leo naharibunguvu zozote zitakazo kwamisha Mimi kutambua na kuolewa namume mteule toka kwa Mungu kwa Jina la Yesu.

Kila roho ya ulaghai Na udanganyifu iliyo elekezwa kuzuiahatma yangu ya ndoa nainuka dhidi yako Leo hiiNakufunga Na kukutupa kuzimu kwa Jina la Yesu.

Bwana, fichua kila kilichofichwa kitakachonisaidia kufanyamaamuzi sahihi kwenye mahusiano yangu katika Jina la Yesu.Nafunga kila roho ya makosa, Na nadecree makosa yangu yanyuma hayatasimama dhidi yangu kuzuia hatma yangu ya ndoakatika Jina la YesuNafunga roho ya wogamashakawasiwasikiburikujiona sifai Na sistahili kwa Jina la Yesu.


Nadecree Leo hii sitadanganywa Na washauri wabaya walaunabiii wa uongondoto feki Na maono ya kuni poteza katikaJina la Yesu.

Nikimuona mume wangu mtarajiwa nijalie niwe na amanimoyoni mwangu na unipe uhakikakwamba hii ndo njiaunayoniongoza Bwana.

Na declare ndoa yangu itamtukuza Mungu katika Jina la Yesu.

AMEN!

 

 

DAY 6 – saa 9 Alasiri


SOMO & MAOMBI


Isaya 34:16 Someni katika kitabu cha Mwenyezi-Mungu: “Hakuna hata kiumbe kimoja kitakachokosekanakila kimojakitakuwako na mwenzake.” Maana Mwenyezi-Mungumwenyewe ametamka hivyoroho yake itawakusanya hao wote.

Si mama na neno Hilo na tumia maombi ya Jana usikukumsihi Mungu akupe uelekeo Na busara

 

DAY 6 – Saa 12 Jioni


MAOMBI 

Kadri navotayarisha akili yangu kwa ajili kwa ajili ya ndoa, baba naomba roho wako aniongoze kutambua ukweli Na uongo. Bwana niwezeshe kuangalia mbali na muonekano wa nje, Na nisikie Sauti yako moyoni mwangu kwa Jina la Yesu.

Baba naomba Mbingu ziingilie Kati, kunikitanisha Na mtu maalumu ulie niandalia. Niokoe na vyote vingaavo ila sio vyaki Mungu maana najua vingaavyo vyote sio dhahabu.  Nisidanganyike Na maneno matupu kwa Jina la Yesu.


Baba nibatize Na namna yako ya Kufikiria,  kuongea, Na hekima zako katika safari ya kutimia ndoa yangu kwa Jina la Yesu

Neno lako linasema 2 Timotheüs 1:7 Mungu hajatupa roho yawoga Bali upendonguvu na akili timamuHivo basi na declare katika Jina la Yesu Nina akili timamu, Na Nina jitambua.

Nafuta aina yoyote ya kuchanganyikiwa kwenye akili yangukwa Damu ya Yesu. Na naik ataaaa roho ya wogakatika Jina la Yesu.


Nina akili na ulimi wa mtu mwenye wokovu.

Najua cha kunongea mbele ya mtarajiwa.

Najua chakuongea mbele ya wakwe.

Najua cha kuongea mbele ya Marafiki.

Najua cha kusema mda wowote kuanzia nakutana Na muhusikampaka ndoa yetu. Sita ropoka lolote la kuharibu katika Jina la Yesu.

Mungu amenipa ulimi wa wakovu kwa Jina la Yesu.

Mwanga wa Mungu unaniangazia uelewa wanguhamna gizawala kivuli tena. Na hamna kuchanganyikiwa kuanzia Leo kwenda mbele katika Jina la Yesu.

Nimeumbwa kwa mfano wa Mungunimepokea hekima yaMungusitachanganyikiwa tena. Na sito kwama tena katika Jinala Yesu.

 

Kama ambavo Mungu ambavo kamwe hatokuwa mpweke Na alietengwa hata mimi sita tengwa Na kutelekezwa katika Jina la Yesu.

Sitakosa mwenza kwa Jina la Yesu.


AMINA


Sasa maombi ya leo wengi mmenishirkisha Mungukuwasemesha mnapokosea

➢ Kuna aliesemeshwa kwa habari ya UKALI! Ni mtuanajitahidi kuwa perfect lakini sasa ana demand standards za juu Sana. Amezunguka sana kujua tatizo nini sadakainaliwa tu! Anaambiwa Hana tatizo lolote. Na ni mtu waibada Sanaa. Ila ukali na kisiraniii sasa mzitooo kusamehe.
➢ Take note ya Sautimawazo au vitu mtu anavokujakukwambia flani unakosea hapa. Ni direction. Munguanapokusemesha kitu kina kwamisha hakusemeshi basi tu! Ana kusemesha anataka commitment yako kwenye HikokituMfano UKALI! Anataka assurance kwamba umkubalini tabia chafuinazuia mahusiano Na kuleta utenganoAnataka commitment yako kwamba umedhamiria kuachakabisaaaUtafanya kadri uwezavyo to be better and do better. Na kupambana kubadilika toka ndani ya moyowako!
➢ Kuna watu baada ya maombi ya Jana Mmeota mnafanyamapenzi

Wengi ni wazinziWatu wa mechi za ugenini Sanaa, mixer kuchepuka. Mixer mafiga matatu. Mungu anataka hiocommitment UTAACHA au wembe ule ule? Kama ukimshawishi Siku zako za kuwa waziri wa mambo ya njezimeishaAtakupa mtu wakoKumbuka Mungu anaonampaka rohoni!

➢ Wale vidole vya pete vinawaka moto manake kunakikwazo juu ndoa yakoKazi buti!  Rudia maombi ya saa9 ya day 1 Na 2
➢ Na wale mnaowashwa maeneo flani flani lazima kunakipindi ulichanjwa Hilo eneo ukawekewa dawa au alamaPeleka moto wa roho Mtakatifu kutengua huu ushirikinaMimina damu ya Yesu hio eneo.
➢ Na kama uchungu ndo uko mahali pakeUnakoleaaaakweli kweliSikiliza nyimbo za kusifu au kuabudu.

 

DAY 7 – MIDNIGHT


Leo tunaendelea na Kutengeneza na MunguTutasimama Na. AYUBU 22:28


Ayubu 22:28 Nawe utakusudia neno, nalo litathibitika kwako; Na mwanga utaziangazia njia zako

Soma Pia ZABURI 91 na ujikusudie wewe na mwenza wako. Na declare ulinziuchumi Na afya tele

UTAKUSUDIA / DECREE NDOA YAKO!


Tshafuta futa mambo mabaya uliyokuwa umekusudiwatumevunja vunja kila kituKupo kweupeeeeNi sasa muda wakupitisha jambo lako

SASA USIJE KUKUSUDIA MAMBO MADOGO KUTOKANA NA KUKAA SHIMONI MDA WENZIO WAKAKUSUDIA DUBAI WEDDINGS BAADAE UKAANZA KUINAMA MOYONAWAELEWA BY NOW MTU UNASEMA MUME YOYOTE TU MRADI ANAZALISHA MI FRESH TU! Hapanaaa hapaanaaa hatwendi hivo Ndoa Ni kitucha milele so kusudia vizuri kweli kweli

 

MAOMBI

Mungu baba, nasimama Na zaburi ya 91 na kudeclare Devine protection kwa mwenza wanguUwalinde watokapo nawaingiapo kwa Jina la Yesu.

Nadecree mwenza wangu hatakuwa victim wa strange men and strange women. Nawatenga Na mahusiano yote waliopo hukoyasiyo ya KiMungu yanayo wazuia tusikutane Na kukamilishahatma Yetu kwa Jina la Yesu.

Nainuka dhidi ya magonjwamashambulio, Na vifo vyamapema ambavo anaweza kuwa amekusudiwa katika Jina la Yesu


Nadeclare Mwenza wangu atabarikiwa uchumi Na hatutahangaika Na uchumi kwa Jina la Yesu.

Baba nasali kwamba nitakuwa mtu sahihi kwa mwenza wanguna atanikubali na kunipenda kwa Jina la Yesu. Baba nioneshekila nachokosea kwenye vitu navo fanya au kuongea vinavochelewesha ndoa yangu katika Jina la Yesu.


Ng’oa kila pando linalosababisha mawazo hasi,  hisia, drama, power games, kibridharau ambavo vina muogopesha au kumkatisha tamaa  mume wangu mtarajiwa kimwili Na kirohokwa Jina la Yesu.

Leo nahitomisha madhara ya maneno mabaya dhidi ya ndoayangu kwa Jina la Yesu.


Nadeclare Mwanga wa Mungu kwenye maisha yangu, Na nadeclare kwa usaidizi wa Kimbingu nitakutana Na ku connect Na mwenza wangu kwa Jina la Yesu.

Imeandikwa nitakusudia jambo litathibitika na Mwanga utaangazia njia zangu Ayubu 22:8

MIMI .............(TAJA JINA LAKO) NAKUSUDIA MBELE ZA MBINGU NA DUNIA KWAMBA UPENDO UTANIFUATA!  NA NITAFUNGA NDOA NA MUME MTEULE TOKA KWA MUNGU NA TUTAJENGA NDOA NA FAMILIA YA MFANO.

NA DECLARE HAKUTAKUWA NA KUKATALIWA TENAAAA! DISAPPINTMENTS NA DELAY HAZITAKUWEPO TENAAAA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS.


KWA KUWA IMEANDIKWA kwenye Waebrania 10:37 Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu, “Yeye ajaye atakuja walahatakawia.

NDOA YANGU HAITAKAWIAAA TENAAAA KATIKA JINA LA YESU! 

MIMI NA MTARAJIWA WANGU TUNAPOKEA USAIDIZI WA KIMUNGU KATIKA YOTE YATAYO FANIKISHA NDOA YANGU.

MIMI NA MTARAJIWA WANGU TUTAKUWA MWILI MMOJA TUMEUNGANISHWA KATIKA KUSUDI BILA UTENGANO, TUKIINUANA, SABABU WAWILI NI BORA KULIKO MMOJA KWA JINA LA YESU.

AMEN


DAY 7 – SAA 9 ALASIRI


Jana niliwaongoza sala ya kukusudiaUlikuwa unafatisha script! Mchana huu kusudia vya kwakoTamanio la moyo wako! Vile vyako personal sasa

Mfano nakusudia nipate mtu tajiri au mpoleee niwenamuendesha 😩! Au HB! Awe Na Jokeri libeberu la kueleweka🤭 Asiwe mfupi!  Asiwe bahili!  Iwe kabla ya december mahariunelipiwaWewe weka zile personal touch zakoAmbazo ndohaswaaa haja ya moyo wakoYaani details flani extra extraunazohitaji Mungu azizingatie pia. Huwezi juaOmbi lakolinaweza pa juu kama ubani likatua mezani kwa bwana, akaamua kuku bless kukushangaza


TUMIA STARI ULE ULE WA JANA

 

DAY 7 – SAA 12 JIONI


MAOMBI YA KU DECLARE FAVOR


Zaburi 5:12 Maana wewe Mwenyezi-Mungu wawabarikiwaadilifuwawakinga kwa fadhili zako kama kwa ngao.


Psalm 5:12 Surely, Lord, you bless the righteous; you surround them with your favor as with a shield.


MAOMBI

Eeeh Mungu nifunike Na fadhili zako Kama ngaonisababisheniwe sehemu sahihi,  kwa wakati sahihi nikiwa najiandaa Na harusi yangu.

Nioneshe kila nachojitaji kuwa tayari kwa ndoa yangunijaliehekima Na neema ya kuvikamilisha kwa Jina la Yesu.

Leo na decree na kudeclare nina fadhili/ favor toka kwa MunguNitapata fadhili Na kila mtu ataefanikisha ndoa yanguNitapatafadhili kwa mchumba wangu kwa Jina la Yesu


Nadeclare kwamba Mungu atainuka Na kunirehemu  kwa kuwamda wa kunifadhili  ndoa yangu umewadia katika Jina la Yesu.

Nadeclare kwa Fadhili za Mungunapokea majibu yangu ya kilamaombi niliyo omba nyuma, Na napokea mavuno ya kimuujizakwa kila mbegu niliopanda kwenye ufalme wake katika Jina la Yesu.


Na decree Leo kwamba nitapata fadhili kwa wakwe zangunafamilia ya ukweni. Kama Mungu alivokuwa na Yusufu ndoatavokuwa na mimini Yule Yule juzi, Jana Na Leo katika Jinala Yesu.

Leo naitokomeza roho ya uchunguukatiliwivu, Na husda dhidiyangu in the mighty name of Jesus Christ.

Kuanzia leo najitangaza mshindi Na sio mhanga wa mahusianokwenda mbele toka utukufu hadi utukufuKazi ya Mungu ipojuu ya maisha yangu. Mimi sio mvivusiko idle Na sitakuwaidle, mimi ni mwenye thamani katika Jina la Yesu.

 

Nafanya mambo yatokeeeNapokea neema ya Mungu kutimizayote alionikusudia kutumiza katika Jina la Yesu.

Kila attitude adui alio ipanda ndani yangu Na kusababishanisifanikiwe ku fadhilika ingoke kwa Jina la Yesu.


Kuanzia Leo kwenda mbelefadhili zitazungumza juu yanguasubuhimchana Na jioni katika Jina la Yesu.

Kila mtu ambae sio sahihi kwenye maisha yanguanaezuiahatma yangu kutimia, Na mtu sahihi kuja maishani mwangunawafukuza kwa Jina la Yesu.

Kuanzia leo nitavutia watu sahihi na breakthrough kwa Jina la Yesu.

 

DAY 8 – MIDNIGHT


Tutaombea UREJESHO! RESTORATION!!! CHOCHOTE ALICHOKUIBIA ADUI MUNGU AREJESHE

SASA KWA KESI YA UREJESHO SITAWAONGOZA NENO KWA NENO KWA KUWA CASES ZINATOFAUTINA SANA!

CHOCHOTE CHA KWAKO KILICHOPOTEA AU KUIBIWA NA ADUI MUNGU AKUREJESHEEE! UKILIA NA MUNGU VIZURIII HAPAAAAAAA! AAAAAAH SIO MWENZETU! YAAANI IKIWEZEKANA KAAA KWENYE MAJIVU KABISAAAA!


MAANA KAMA KIBALI CHA NDOA WAMEKIZIKA HUKO KIJIJNI KWENU ULIKIGALAGALA MASAA 24 TU HAYA VIZURIII! MUNGU ANATUMA MALAIKA WANAENDA KUKIFUKUA NA KUKUKABIDHI!  GHAFLA TUUU YAANI GHAFLAAA MTOTO WA MAMA MKWE ANGANGANIA, ANALIAAAA ANAKOMAAA ANATAKA KUKUOA KESHO KESHO HATAKI KUSUBIRI! RAHA YA UREJESHO ANAFANYA MUNGU! 


ILI UREJESHO UFANYIKE LAZIMA UWE NA IMANI YA KUHAMISHA MILIMA! UKISOMA BIBLE MUNGU HATA SIKU MOJA HAFANYI UREJESHO AT YOUR LOWEST POINT

UREJESHO HAUJI UKIWA UMEKATA TAMAAA! 

KILA AINA YA DEVINE INTERVATION INA MAZINGIRA YAKE KUI ACTIVATE! 


UKIWA UMEKATA TAMAA USIHANGAIKE NA UREJESHO MAZINGIRA YATAKUANGUSHA OMBA REHEMA NA HURUMA! SABABU HATA UKISOMA BIBLE AKAMPIGA GOLIAT SHETANI ANAKWAMBIA HUYO NI DAUDI KUNIPIGA MIMI SAHAU! UMESHINDWA MARA NGAPI? SAHAU! UNAYEYUKA KAMA BARAFU!  KWA STYLE HIO UTAFIKA!


UKIWA FITI KALIKITI! IN YOUR SPIRIT YANI UKO VIBE UKOO MOTO UKO FULL CHARGE! YAANI UMEWAKAAA!  HATA UKISOMA BIBLE AKAMPIGA GOLIAT UNARUKAAA SAFIIII SANAA! VERY GOOD! MUNGU AKAWAPIGA WAFILISTI UNAITIKIA GOOD! THATS MY LORD! HATA UKISEMA AREJESHEEEEEE CHOCHOTE ALICHONIIBIA UNAAMINI NA KUKIONA KINARUDIIII LIVE! YOU FEEL IT COMMING BACK! HATA SHETANI MWENYEWE ANAJUA YOU MEAN BUSINESS! ANASEMA CHUKUA MAMA!


KUKATA TAMAA HAIJAWAHI KUWA SILAHA YA USHINDI SIKU ZOTE NI NGAO YA SHETANI KUKUSHINDA! ANAJUA AKIKUSHINDA HAPO HUWEZI KUINUKA KISAWASAWA DHIDI YAKE!

MUNGU ANA NGUVU NA NENO LAKE LINA NGUVU SANAAA! ILA PASSWORD YA KU ACTIVATE HIO NGUVU NI IMANI YAKO!

IMANI YAKO INATAKIWA ISHINDE DOUBTS ZOZOTE ULIZONAZO NA FOR ONCE UIAMINI NGUVU YA NGUVU BILA MASHAKA YOYOTE! NDO ITAFANYA KAZI KWENYE JAMBO LAKO!

SASA HAPA KAMA UPO KWENYE PITY PARTY NA KUKATA TAMAAA ITAKUWA NGUMU! BORA UJIZIME DATA TAMAA UTAKA KESHO KUTWA! KWANI UMEKATA MARA NGAPI?  FOR ONCE KUWA SERIOUS BASI, MEAN BUSNIESS KUDAI VYAKO!


MAANDIKO YA KUSIMAMIA


Wakorintho 5:17 Hata imekuwamtu akiwa ndani ya Kristoamekuwa kiumbe kipyaya kale yamepitatazamaYamekuwamapya.


Yohana 10:10 Mwizi huja tu kuibakuua na kuharibumiminilikuja ili wawe na uzimatena wawe nao tele.


Ezekieli 36:26 Nami nitawapa ninyi moyo mpyanami nitatiaroho mpya ndani yenunami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndaniya mwili wenunami nitawapa moyo wa nyama.


Yeremia 30:17 Maana nitakurudishia afyanami nitakuponyamajeraha yakoasema BWANA, kwa sababu wamekuitamwenye kutupwawakisema, Ni Sayunimji ambao hakuna mtuautakaye.


Isaya 61:7 Badala ya aibu yenu mtapata maradufuna badala yafedheha wataifurahia sehemu yaobasi katika nchi yaowatamiliki maradufufuraha yao itakuwa ya milele.


Yoeli 2:25-27 Nitawarudishia miaka ile iliyoliwa na nzigekilakitu kilicholiwa na tunutuparare na matumatuhilo jeshi kubwanililowaleteaMtapata chakula kingi na kutoshekamtalisifujina la Mwenyezi-MunguMungu wenualiyewatendea mambo ya ajabuWatu wangukamwe hawatadharauliwa tenaMtatambua kwamba mimi nimo miongoni mwenuenyiWaisraelikwamba mimi Mwenyezi-Mungundimi Munguwenu wala hakuna mwingineWatu wangukamwehawatadharauliwa tena.


Maandiko yote hayo Mungu anaongea jambo moja tu!!! KUMREJESHEA MTU KITU MARA DUFU KULIKO ALICHOIBIWA KWAKE NI JAMBO DOGO SANAA!


Amezungumza Hilo swala tena Na tena. Kama Hana nia yakukurejeshea asingerudia rudiaMungu sio mtu adanganyekwamba anaweza kurejesha afu awe Hana mpango huoKuhisihatorejesha ni dhambi kubwa sanaKwanini uhisi Munguataenda kinyume Na maandiko yakeSio nature yake.


MAOMBI!

Baba nakuja mbele zako kukurudishia sifa Na utukufunapoenda kuomba urejesho wa vyote nilivoibiwa Na adui, baba naomba encounter yakonaomba nioneshe kwamba restoration imefanyika

Baba neno lako linasema adui huja ili kuibakuua, Na kuharibu. Baba adui ameniibia mahusiano yangundoa yangunyumbayangufamilia yangumume wa ujana wangu Na malengoyanguAdui ameua furaha yanguimani yangumatumainiyangu, Na malengo yangu Na ameharibu majira za maishayangu

 


Baba neno lako linasema Yesu alikuja ili tuwe Na uzimatenatuwe nao tele. Leo hii nasimama mbele yako kwa habari za urejesho wangu. Baba kwa Jina la Yesu Na mamlaka yaliopokwenye ufufuko wake naomba kila alichoniibia adui maishanimwangu Devine intervention inisaidie arudishe Mara dufu sawasawa na neno lako katika Yeremia 30:17 kwamba utatibumajeraha yangu. Baba mahusniano yangu yamejeruhiwa tena Na tena. Leo hiii nakomesha kabisaaa roho za kuvunjwa moyo kwaJina la YesuSitajeruhiwa tena kwa Jina la Yesu. Na Furahayangu ilio Ibiwa na adui na kuniachia majerehaaa kwa nguvu za ufufuo wa Bwana wetu Yesu Kristo nairejesha Leo hii Mara dufu kwa Jina la Yesu.

Mungu baba nirejesheee mahusiano yangu Na kibali changu cha kukubalika Na kupendwamiaka yangu ilioliwa Na nzige kwakukaa bila mahusiano au kwenye mahusiano mabovu irudi Mara dufu kwa Jina la Yesu.


Baba nakusihi unirejesheee heshima yangu Na kibalikilichoibiwa Mara dufu sawa sawa na neno lako kwenye Isaya61:7 in the mighty name of Jesus. Baba heshima yangu itarudiNa itarudi maradufu Na nitaheshimishwa kwa kuolewa ndoaTakatifu kwa Jina la Yesu.

Baba wewe ni Alfa na Omega ni Mungu urejeshaenakusihi Leo hiii nikapokeeee urejesho wa kila alichoiba adui kuzuia au kuchelewesha ndoa yangu kwa Jina la YesuArejeshe leo hiimaa dufu nikakamilishe hatma yangu ya kufunga ndoa in the mighty name of Jesus.

Bwana Yesu Kama ulivomfufua Lazaro, kwa nguvu ile ilenakusihi ufufue vyote adui alivoua kwenye mahusiano Na maisha yangu kuzuia au kuchelewesha ndoa yangu. Leo hiiichochote alichoua adui kifufuke Na kurejeshwa kwangu kwaJina lako Yesu.


Natumia funguo ya Daudi kufungua kifungo chochotekinachozuia hatma yangu ya ndoa kwa moto in the mighty name of Jesus.

Kwa Damu ya Yesu nalipa madeni yoteeee Na kuvunja uhalaliwa kushikilia vitu vyangu. Kwa Damu ya Yesu vyotevinavoshikiliwa Na maagano Na uhalali kwa nguvu za gizavitarejeshwa kwangu Leo hiii kwa Jina la Yesu.

Narejesha mpango wa Mungu juu yangu ulio ibiwa Na shetanikwa Jina la Yesu.

Kila kilicho changu ambacho Mungu amenikusudia Na kipomkononi mwa adui nakirudisha sasa kwa Jina la Yesu.


Napokea upako wa Restoration kwa Jina la Yesu

Mungu rejesha juhudi Na jitihada zangu zilizo potea kwa Jina la Yesu.

Neno lako linasema kwako Mungu vyote vinawezekana, Na Urejesho wangu unawezekana kwa Jina la Yesu.

Baba achilia urejesho kamili juu ya maisha yangu sasamaanawewe ni Mungu urejeshae Na unaenda kunirejesha Mara dufukwa Jina la Yesu ninaomba huku nikiamini.


Kila Mlango uliofunga mbele zangu unaenda kufunguka kwaJina la Yesu Na ninaenda kupita.

 

AMEN


DAY 8 – mid day yote


SOMO & MAOMBI


Sasa Mchana huu mpaka saa 12 kuna process za urejesho zinatuhusu sisi Na zingine Mungu


MWANAN MPOTEVU

Mpaka adui amefanikiwa kuiba maana alikushinda nguvu. Kuna mahali ulienda sivo ukampa uhalali

Zinaaaa kuogopa kuonekana mshambausuriaudangajimitaaala kuwa na mafiga ma 3, waume za watukulala nawanaume hovyo hovyo , kwenda kwa waganga, abortion navyote ulivofanya kwenye hustle zakoKidunia uliona you need to do what you gotta do! Kiroho ulimsinya Mungu.


Marko 3:27 Hawezi mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtumwenye nguvuna kuviteka vitu vyakeasipomfunga kwanza yule mwenye nguvundipo atakapoiteka nyumba yake.


LUKA 15:11-32 MWANA MPOTEVU Soma yote)

REFLECT JINSI CHOICE ZAKO ZA MAISHA ZILIVOMKOSEA MUNGU NA KUKUSABABISHIA KICHAPOOO KITAKATIFU! UMEKOSA HESHIMA YA NDOA UNABAKIA KUISHI NA MINGURUE TU YA KIUME, INAKUTUMIA TU KUKUOA HAITAKIIII, MARA IKUONE WEWE WA KUIZALIA TU ILA UBAKI HUKO HUKO KWENU, HESHIMA KWAKO NI NO NO!


UMEWASINYA WAZAZI WAKO, WANABAKIA KUJIKAZA TU, UMEJISINYA MWENYEWE SABABU SIO KUSUDI LAKO KABISAAA MAMBO KUISHIA HIVI! HAIKUWA LENGO HATA KIDOGO!

TAKE TIME KUTAFAKARI KWA KINA SAFARI YAKO! KAMA YULE MWANA MPOTEVU! SIJASEMA ULIE ULIEWAKATI UNATENDA ULIKUWA MTOTO MDO ILA JASIRI KWELI KWELI! SAHIVI NAPO INABIDI UWE MTU MZIMA KILEJA ILA JASIRI PIA!


KWAMBA KIUKWELI NILIKOSEA SANAAAA! ILA SIWEZI KUENDELEA KUISHI NA NGURUE! BABA YANGU ALIE MBINGUNI ANA KILA LILILO JEMA!  NITARUDO KWA BABA NA KUMWAMBIA NIMEKOSA MBELE ZAKE NA MBELE ZA HII DUNIA! BORA NIWE HATA MTUMISHI WA MUNGU KULIKO KUBAKI HAPA!


NENDA NA MOYO ULIOVUNJIKA NA KUPONDEKA MBELE ZA MUNGU! USIJIHESABIE HAKI! KWELI POMBE ULITEKETEZA, ZINAAA NDO USISEME NA VINGINE SASA HAKI GANI UNAYO JIHESABIA? MWAMBIE BABA KWELI NIMEZINGUA NIREHEMU TU MAANA KULE NIMESHATESEKA KULIPIA! NIREHEMU!!!!


MUNGU AKIKUREHEMU NA KUKUREJESHA UPANDE WAKE RESTORATION NI AUTOMATIC

Roho Mtakatifu amenisemesha mambo kadhaaaKuhusuRestoration kwanini wengi mnakwama


UZEMBE NA KUTUPA MANENO HOVYO HOVYO! SHETANI ANAYATUMIA KUKUSHTAKI!


Bora nizae tu wananguSina shida ya ndoa mimi najimudu. Maneno hayooo umeyatupaa.

Na focus kwenye career yangu mume wa kazi gani nini?

Mimi sitakuja kuolewa niteseke thubutuuuu

Mimi Sina dhiki ya ndoaaaaaUnajimalizaaaa mwenyewe kwaraha zako out of emotions.

Kiukweli watu wakukuzonga zonga about marriage inaboaaaSanaa tusio kwa ubayaaa unatupa tupa mineno Kama self-defense. Sasa Yule muovu anakushtaki nayo.

Hajaishi Kama ulimaanisha au uliropoka tu Ila maneno yanaumba na yaliumba li chatu limekumeza


Ukisoma Maandiko

Waamuzi 11:30-40 Ni habari ya Jefta yupo vitani midadiimempandaaa Kama yote, Ana vibe la Mungu hatariii. Ana tupamaneno kwa kujiapiza Kama Mungu akiwasaidia wakashindabasi chochote cha kwanza kitakacho toka ndani kwakeatakaporudi anakitoa sadaka kwa MunguMungu akafanyayakewakashindaAnarudi nyumbani ambako Ana binti mmojatu ndo roho yake, Na ndo wa kwanza KumlakiYaaaaaniiii! We acha tu. Soma mwenyewe ujioneee.


Waamuzi 11:36 Binti yake akamwambia, Baba yanguweweumemfunulia BWANA kinywa chakobasi unifanyie sawasawana hayo yaliyotoka kinywani mwakokwa kuwa yeye BWANA amekulipia kisasi juu ya adui zakohao wana wa Amoni.


Mathayo 14:6-16

Binti herode Ana nengua kweli kweli katika birthday ya baba yake. Kila mtu anakubali show. Out of emotions Na vibe Herodeanamwambia omba lolote mwanangu Na Mimi nitakupatia. ANAYATUPA MANENO! Hovyo hovyo. Na mvinyoumemkolea. Binti anaenda kwa mama yake ana muuliza niombenini? Mama anamwambia OMBA KICHWA CHA YOHANA MBATIZAJI KWENYE SINIAAAA!!! Binti anaomba mbele yaumatiHerodeeer Ana umiaaaa sanaaa snaaaaa. Ila ndoalishayatupa maneno tena hadharani. Soma uone ili ilivo kuwa. Binti MWANAHIZAYA KWELI YULE MJAA LAAN!


Wengi mmeyatupa meneno kwa vibwana vyenu vya usichanawenu kwa kurudiaaa rudiaaa Shetty anayo nukuu kwenye diary!

Mimiiii usiponioa weweee nitakufa bila kuolewaaaaNaaapaaaUnajiapiza mwenyewe Kama Jinga

Mimi ukiniacha wewe sitaki tena wanaumeeeeMahusiano mimibaaas

Mimi sitakaaa kuja kukutoa moyoni mwanguWewe tenaaaaaunatupa maneno kwa raha zako.


OMBA TOBA YA UZEMBE WA KUTUPA MANENO NA VIAPO HOVYO HOVYO! NA HAKIKISHA HATA UWE EMITIONAL VIPI HATA AKUCHOKOE VIPI HUTUPI MANENO!

PLAN B BADO MNAZO!!! BADO MNA PLAN B ZENU JAPO MNAENDELEA NA MAOMBI MAMBO YENU YA 50/50


Roho Mtakatifu kanisemesha kwamba wengi bado mna plan B Na bado mpo kwenye state ya 50/50 yaaani 50% mnaamini this time uwezekano ni mkubwaaa baadhi mmefika 80/20 😔Lakini bado suala la kuwa na matumaini huko nyuma afu vi Puto vya matumaini vikakutana Na bikari ya Shetty bado trauma ipo kichwaniMwingine unajisemea Siku nikivaaa shela ndoNita Amini!


Unfortunately imani ni kitu ambacho inakubidi upambanemwenyewe Na kudhamiria kufika level za juuHata mtumishihawezi kukuongezea imaniMsiniangusheee jamaniii.

 

We mpaka umri huo umefanya Plan A uko Z Na bila bilaSasakweli huu mda ni wa wewe kucheza karata ya plan kweli??? Sasa hizo plan zote zimefeli what make you think hio ulio nayosahivi itafanya kazi? Embu kemea roho yako iwe serious for once!


FOR RESTORATION MUNGU ANAHITAJI UWE LEVEL YA MOYO ULIOVUNJIKA NA KUPONDEKA NDO AREJESHE!

MOYO ULIOVUNJIKA NI MOYO AMBAO UMESALIMU AMRI NA UMEKUBALIIII PLAN ZOTE ZOTEEE ZIMEFELIIIII! MUNGU TU AINGILIE KATI KUKUOKOA YEYE!


HATA WATU WA NJE WAKIKUONA WANAONA KWELI HUYU MTU AMEFIKA MWISHOOO WA UJANJA WAKE! HUNA TEGEMEO WALA TUMAINI NI MUNGU TU NDO WA KUKUOKOA!


HUTEGEMEI PESA YAKO BANK, NAFASI YAKO OFISINI, UWEZEKANO WA KUFANYA IVF KUPANDIKIZA, KUTAFUTA MWANAUME UMUOE, HUTEGEMEI CHOCHOTE WALA HUNA MPANGO WOWOTE! NI MUNGU TU NA AKIKUKALIA KIMYA IMEKULA KWAKO MAAN KWA HAKIKA UMEFELI NA UMEFELI KABISAAA! HUNA LA KUFANYA UNANGOJA TU MSAADA WA MUNGU!


BE REAL WITH GOD, HUNA HAJA YA KUJITUTUMUA MBELE ZA MUNGU! MWAMBIE TU MUNGU WANGU INGILIA KATI, NIMEKWISHAAA, UMRI UMENITUPA MKONO, FAMILIA IMENIGEUKA, JAMIII INANIDHARAU NA KUNIONA KITUKO, NIMEOMBA KILA AINA YA MAOMBI, NIMEFANYA KILA KILICHOPO KWENYE UWEZO WANGU, NIMETOA KILA NILIVHOJALIWA NA NIMEPITA MAPITO BABA, BADO NIPO KWENYE MAPITO, 

USIPOINGILIA KATI BABA KWELI MIMI NITAKUFA HIVI?  NIMEJARIBU KUKUTAFUTA BABA KWA UWEZO WANGU WOTE NA USICHANA WANGU WOTE! NINI BADO SIJAFANYA? MTUMISHI GANI SIJAENDA? MFUNGO GANI SIJAFUNGA? LEO BABA NIKUMBUKE NA MIMI! 


USIPONISIKIA BABA NIMEISHAAA SINA TEGEMEOOO, SINA PA KUKIMBULIA, SHETANI NISHAMTUKANA, NI WEWE TU BABA SINA MWINGINEEE! 


NENO LAKO LINASEMA MOYO ULIOVUNJIKA NA KUPONDEKA EE MUNGU HUTAUDHARAUUU USIDHARAU MOYO WANGU LEO HII NA UNIFANYIE UREJESHO


Isaya 42:22 Lakini hawa ni watu walioibiwa mali na kuporwaWote wamenaswa mashimoniwamefungwa gerezaniWamekuwa kama mawindo bila mtu wa kuwaokoawamekuwanyara na hakuna asemaye, “Waokolewe!”


Isaiah 42:22 But this is a people robbed and spoiled; they are all of them snared in holes, and they are hid in prison houses: they are for a prey, and none delivereth; for a spoil, and none saith, Restore.

Ukisoma kwa kingereza unapata maana vizuri zaidi.


So kupata RESTORATION LAZIMA UOMBE NA UMAANISHE! 


Nabii Isaya anasema kabisaaa kuna watu  wameibiwa Mali Na kuporwawako shimoni Na gerezaniWamekuwa nyara. LAKINI HAKUNA YAAANI HAKUNAAA ANAESEMA REJESHA!


Ndio nyinnyi sasa ambao bado mna plan zenuuu mnazo zijuawenyewe B mpaka Z! Hamsemi wala ham maanishi kupokeaurejesho


Leo session ya saa 12 Kuna maombi ya kinabiii Sasa inabidiwatu wote muwe sehemu tulivu ili muweze kuzingatiaa.


Kama utainua sadaka nwishonijapo sadaka sio lazima huu nimda muafaka kuiandaaHata kwenye maandiko watuwaliokuwa wanatoa sadaka walikuwa wa ajiandaaa siokukurupuka.


Jitahidi kutoa sadaka ya kuuma Na ya kupendeza MunguMpeMungu the best Kama huwezi bora usitoe utatoa utakapo kuatayari.


Kaini asingeenda kutoa sadaka Siku ile aka mute tuyasingemkuta yaliyo Mkuta.


Kutoa sadaka bila maandalizi kuli Mcost Na Mimi ndo maananasisitiza SADAKA SIO LAZIMA! KAMA HAUPO TAYARI USTITOE WALA NINI UKAHARIBU MCHAKATO WAKO MZIMA! UTAWEKA TU NADHIRI NIKIWA TAYARI NITATOA AU MUTE TU! SADAKA NI HIARI! MUNGU HAJAWAHI LAZIMISHA MTU AU WATU WAMTOLEEE SADAKA! KWA HIARI YAO WALITOA! NA SABABU NI HIARI NDO MAANA HATEGEMEI MIYEYUSHO


Tunahitimisha RestorationKuna parts ulisimama weweKuna parts za mimi sasa kusimama! Kama nilivokwambia nimeshavaaa nivera.


Part ya mwisho ni NENO LA MTUMISHI / NABII LA KUKUVUSHAKuna situation hutoboi bila neno la unabiii.Unabiii ndo unakupa push


2 WAFALME 6 Muujiza wa shoka

1 Kisha, wana wa manabii wakamwambia Elisha, Angalia basimahali tukaapo mbele yako ni padogo kwetu. 2Basi twendempaka Yordanitwakuombatutwae huko kila mtu mti mmojaili tujifanyie huko mahali pa kukaaAkajibu, Haya! Nendeni. 3Mmoja wao akasema, Uwe radhibasi nakusihiuende pamojana watumishi wakoAkajibuNitakwenda. 4Basi, akaendapamoja naoNao walipofika Yordaniwakakata miti. 5Lakini mmojawapo alipokuwa katika kukata boritichuma cha shokakikaanguka majiniakaliaakasema, Ole wangu! Bwana wangukwani kiliazimiwa kile. 6 Mtu wa Mungu akasemaKiliangukawapiAkamwonesha mahaliAkakata kijitiakakitupa pale palechuma kikaelea. 7Akasema, KiokoteBasi akanyosha mkonoakakitwaa.


Umepoteza mambo ma 3! umepoteza watuvitu Na mda


Sasa Kama wanafunzi wa Elisha Shoka limezama ndani ya majiUkisema ulizamie kuna kufaaakuna mamba kuna vikwazo tele Kama vyote.

Wewe Kama wewe huoni njiamaombo tight kweli kweli mdaunaenda kila unalofanya halileti nafuuuNdo maana Kuna usemikila nabiii na zama zake


Kuna zama unahitaji mtu anae jua njiaanaejua strategy na plan la kuweza kukuvusha. Na kutatua jambo.

Ndo maana wale watumishi wanakimbilia kwa Nabii Elisha. Maana wanajua Elisha atajua la kufanyaWanamwambia bwana lile shoka tulio liazima limezamaSasa itakuwaje


Nabiii alijua cha kufanyaAkawauliza tu limeanguka wapiakatupa kijitilikapanda juu!  Akamwambia liokote.

 

Yamkini wewe umehangaika kusaka ndoa yako iliozama miakaNa miakamkakati kwa mkakati! Kama Mungu aishivo Leo neno la kinabiii linaenda kuipandisha juuu kokoteilikozamishwa na kokote ilipo fichwa au kufukiwa itatoka in the Mighty Name of Jesus Na kuelea kuja ulipo Na utaichukua kwaurahisi kabisa.


Kama shoka lilivorejea kwa kuelea juu kinyume na laws of Physics, Na principles za dunia hiiikwa neno la kinabiiii Ndoayako Na chochote adui alichokuibia kina enda kurejea kwakuelea juuu maji mpaka ulipoChenyeweeeee in Jesus name.

 

Nehemia 5:11-13 11Naomba, warudishieni hivi leo mashambayaomashamba yao ya mizabibumashamba yao ya mizeituninyumba zaolile fungu la mia la fedha, la ngano, la divaina la mafutamnalowatoza. 12 Ndipo wakasemaTutawarudishiawala hatutataka kitu kwaotutafanya hivyokama ulivyosema. Kisha nikawaita makuhaninikawaapishaya kwambawatafanya kama walivyoahidi. 13 Tena nikakung'uta nguoyangunikasemaMungu na amkung'ute vivyo hivyo kila mtunyumbani mwakena kazini mwakeasiyeitimiza ahadi hiyo; naam, na akung'utwe vivyo hivyona kuwa hana kituMkutanowote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA. Nao watuwakafanya kama walivyoahidi.


Eeee baba ulie Mbinguniulisema utarejeshaa baba! Uliesemautarejesha sawasawa Na neno lako la Yoel 2:25-27! Baba warejesheee watu waliondoka maishani mwaovituvilivoondoka Na mda uliopotea  Leo hii kwa Jina la Yesu.

Neno lako lako linasema


Hosea 12:13 Na kwa nabii BWANA alimtoa Israeli katika Misri, Na kwa mkono wa nabii alihifadhiwa.

Baba Leo hiii sawasawa Na neno la  Nabii Elisha wavushe watuwako kutoka katika changamoto zao Na wafanyie urejeshokamili in the Mighty Name of Jesus Christ. Warejesheee ndoazaomahusiano yaonyumba zaofamilia zao  Na muda wao Na sawasawa Na neno la nabiii Elisha lile shoka lilielea kuwafata. Na vitu vyao vilivoibiwa na adui vieleeee kuwafata Walipo in Jesus name.


Baba katika Jina la Yesu warudishie furaha zaomatumaini Yao Na imani zaoWarejesheee watu waovitu vyao Na mda wao


Baba nakuja mbele zako kukusihiii uwaabariki NEEMA YAKO YA DEVINE SPEED KWENYE MAHUSIANO YAO!

Mambo yao yanaenda kwa kuchelewana umri wao umekwenda tayari.


Baba yetu ulie Mbingunikatika ulimwengu wa rohokwa nenola kinabiii na decree Na kudeclare DEVINE SPEED KATIKA HATMA ZAO ZA NDOA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS!!! SPEEED! DEVINE SPEED! TAKE THAT SPEED!  DEVINE SPEEN BE UPON YOUR RELATIONSHIP! DEVINE SPEED YA NABII ELIJAH JUU YA MLIMA IWE JUU YA MAHUSIANO YAKO NA HATAMA YA NDOA YAKO KWA JINA LA YESU! DEVINE GRACE FOR SPEEED BE UPON YOU TODAY! MAHUSIANO YAKO NA HATMA YAKO YA NDOA VIKASHIKE KASI NA KUSIWE NA CHA KUKUZUIA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS!


YEYOTE ULIYE KWENYE GROUP HILI LEO HII SIKIA NENO LA KINABIII NA UPOKEEE NEEMA YA DEVINE SPEED KWENYE MAHUSIANO YAKO KWA JINA LA YESU!

 

HATMA YAKO YA NDO IKASHIKE KASI YA 4G! MBINGU ZIKAKUSAIDIE KUTIMIZA UNABIII HUUI NA KUKUFIKIA HATMA YAKO YA NDOA!

MKONO WA MUNGU UTOAO SPEED UWE JUU YAKO LEO HII KWA JINA LA YESU! KATIKA JINA LA YESU NAKUJA NA NENO LA KINABIII SIKIA NENO LA MUNGU NA POKEA NEEMA YA DEVINE SPEED NA MINYORORO YOYOTE INAYOZUIA KUSHIKA HII SPEED KATIKA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS!


KWA NENO LA KITUME NA KINABIII NA DECREE NA KUDECLARE DEVINE SPEED JUU YAKO, MAHUSIANO YAKO NA MAISHA YAKO KWA UJUMLA! 


KILA KIKWAZO KINACHOKUZUIA SIKIA NEEMA YA MUNGU INAYOLETA DEVINE SPEED NA UACHIE SASA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS

MILANGO YOTE ILIOGOMA KUFUNGUKA KWAKO! MILANGO YA NDOA! MILANGO YA KAZI, MILANGO YA AFYA MILANGO YA KINABIII! MILANGO YA KITUME IN THE MIGHTY NAME OF JESUS EPHATAAAAA!!! FUNGUKA SASAAAAA! EPHATAAAA! FUNGUKA IN THE MIGHTY NAME OF JESUS! 


KILA KILICHOPOTEA KWAKO NA HAKIKUTAKIWA KUPOTEA KWA NGUVU ZA KINABIII NA KITUMEE, NAMUITA MUNGU WANGU ALIE HAIIII JUU YA JAMBO LAKO! KUANZIA SASA MPAKA DECEMBER KWA DEVINE GRACE UWE UNEREJESHEWA KILA ULICHOIBIWA NA ADUI MARA DUFU IN THE MIGHTY NAME OF JESUS! REJESHEWAAAAA! REJESHEWAAA!


NA YEYOTE MWENYE KITU CHAKO NA AMEGOMA KUKIACHIA NAMUITA MUNGU WA YESHURUNI SAWASAWA NA NENO LAKO


Kumbukumbu la Torati 33:26 Hapana aliyefanana na MunguEe YeshuruniAjaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie. Na juu ya mawingu katika utukufu wake. Akufanyie urejesho Mara dufu in the mighty name of Jesus.


Kila mahusiano ulioanza Na yanagoma kufikia hatama ya ndoasikia neno la Mungu sasa

Zekaria 4:9 Mikono yake Zerubabeli imeiweka misingi yanyumba hiina mikono yake ndiyo itakayoimalizanawe utajuaya kuwa Bwana wa majeshi amenituma kwenu

In the mighty name of Jesus.


Ninatamka mwaka 2022 ndo mwaka wa mambo yakokukamilika Na ndo mwaka wa wewe kupokea.

Kila destiny helper anaetakiwa kuja maishani mwako kukusaidiakufikia hatama yako atakuja kwa msaada wa Devine favor of Grace.


IN THE MIGHTY NAME OF JESUS I SPEAK AND DECLARE MWAKA HUU UTAREJESHEWA MARADUFU NA UTAINULIWA! 

I DECREE AND DECLARE BY THE POWER OF THE HOLLY SPIRIT IN THE NAME OF JESUS CHRIST YOU WILL BE RESTORED IN FULL!  AND THE GOD OF ISRAEL WILL GIVE YOU AN ENCOUNTER! 

AMEN!

 

 

Day 9 – SOMO LA SADAKA NA MAOMBI YAKE

SADAKA INAYOLETA MATOKEO!   (MSIE MPENDA KAJA) 


JAMANI SADAKA SIO LAZIMA YA PESA! ALAFU NDO FASTEST NA EASIEST WAY OUT! UNATEKEKETEZA ASUBUHI UNASUBIRI MUUJIZA WAKO! STAY TUNED!


Sauli aliambiwa na Samweli Nabii kuwa watatoa wote sadakakwa MunguWalikubaliana vizuri kama sisiSasa Saul kafikakule Nabii akachelewa hakuja mda walio kibalianaWatuwakaanza KuchongaSauli bado mgeni kwenye ufalme kijanamdogo akaona si sadaka tuakitoa Nabii aunikitoa mimi siimefika tu


WeeeeeeeAkatoa bwana Yule! YALIYOMKUTA SOMA MWENYWE UONE.

MTUMISHI SADAKA ZANGU HAZIJIBIWINATOA SANAA SIPOKEIIIISAULI MWENYEWE ALIVUNA HASARA KWA KUKOSEA MAELEKEZO YA KUTOA SADAKA


Samweli 13:13 Naye Samweli akamwambia SauliUmefanyaupumbavuhukuishika amri ya BWANA, Mungu wakoaliyokuamurukwa maana BWANA angaliufanya ufalme wakokuwa imara juu ya Israeli milele.


Samweli 13:14 Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababuwewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru.


SADAKA ILE ILE, MUNGU YULE YULE, MFALME YULE YULE SAULI! KILICHOKOSEWA NI MAELEKEZO JINSI BWANA ALIVOTAKA ITOLEWE! ALITAKA NABII WAKE MTEULE SAMWELI NDO AMTOLEEE!


MAELEKEZO MADOGO YANAMGHARIMU UFALME

NA YANASABABISHA MUNGU ASIPOKEEE ILE SADAKA KABISAAA NA KUCHIA ADHABU JUUU

TOKA NITOE MTUMISHI MAMBO NDO MABAYAAA MABAYAAA! SADAKA NI HIARI SAWA ILA INATAKA UMAKINI SANAAA!  KAMA HAUPO TAYARI BIRA USITOE KABISAA MPAKA UWE TAYARI


KUNA SADAKA NA SADAKA INAYOLETA MATOKEO!


Sasa ili sadaka ilete matokeo lazima MAELEKEZO YOTE YAFATWE!  Nimewapa mfano wa Saul alikosea maelekezo


Ibrahim pia alielekezwa kichaka cha kutoa sadaka ambachoMbuzi alikuwa amenasaAsingafatiza Na kwenda kichakakingine unadhani ingevuruga kwa kiasi gani mipango ya MunguSiku ile.


KUNA SADAKA MUNGU ANATOA MAELEKEZO KABISA WATU WANGU WANITOLEEE ALAFU WEWE MTUMISHI PELEKA SEHEMU FLANI! 

KAMA HAPA MUNGU KANIELEKEZA KABISA KUNA WATU WAPO MAHOSPITALINI MDA MREFU WANATAKIWA KUFANYIWA OPERATION LAKINI PESA HAWANA! WAKALIPIWE WATIBIWE WARUDI KWENYE FAMILIA ZAO WAKATI WAO WA KUTOKA HOSPITALI UMEFIKA!


BASI HAPO WENGINE MLIJUA PASTOR ANAJIBAMBA NA SADAKA YANGU! WAPIIIII!!! 

 

SASA WENGINE MSHAANZA NATAKA NIPELEKE HUKU SADAKA, NATAKA NIPELEKE KULE! MAOMBI UMETOA HUKO? USIPOJIBIWA UNAKUJA KUULIZA HUKU HUKU


BORA KAMA UNAONA MAELEKEZO HUJARIDHIA JIBAMBEEE TU NA SADAKA YAKO MAANA USIPOFATA MAELEKEZO NDO HATARI ZAIDI.


WENGI HAPA NDO MNAKOSEA! HUFATI MAELEKEZO! SAWA SABABU SADAKA YAKO NDO UKURUPUKE NA KITU UNACHOAMUA NA KWENDA KUPELEKA UNAKOTAKA, MDA UNAOTAKA ALAFU BAADAE UNAMUULIZA MUNGU MBONA HUNIJIBU? 


AU UNAALIKWA MAOMBI UNASHIRIKI MPAKA MWISHO AFU SADAKA UNAENDA KUTOA KANISANI KWAKO AMBAKO HAWAJUI HATA KAMA KUNA SADAKA YA KUTOA! WE UNAVODHANIA MUNGU ATABARIKI SADAKA YA DESIGN HIO? JIBAMBE TU NA SADAKA YAKO SABABU UMESHA INAJISI.


UNATAKIWA HATA KAMA SADAKA NI YAKO UMSIKILIZE MUNGU AKUELEKEZE NINI CHA KUTOA NA WAPI PA KUTOA NA MDA GANI WA KUTOA, NA. ANI ATOE, NANI APOKEE!  


Mungu alimjaribu Abraham anaweza kuku Jaribu hata wewe!  Nitoleeee kitu flaniManake ukitoa chochote kuzunguka Hikokitu ushafeli

Mungu anajua balance yako bank! Anajua Kama unacho au hunaSasa Yale mazoea ya kutoa kidogo ka punje tundo iliomcost Kaini. Bora usitoe.


Kutoka sadaka Ni kuingia agano Na MunguSasa Munguhapendi anae jaribu kumtapeliUnajaribu kumdanganya yaaaniutoe 10k wakati bank una balance ya 17,000,000 afu upo serious kabisaaa unataka Mume wa mfano . Balance yako unatakakununua Crown mwenyeweUnadhani Mungu anawezakujicommit katika Hilo agano. Crown utapata new model sababu ndipo hazina yapo ilipo. Ila mume sio kwa agano la sadaka. Hakuna agano.


Lakini kama una 20k kwenye kibubuUkawaza kweli hazinayangu iko kwenye ndoaNatoa 10k hii Mungu anibariki Mumemwakani mda Kama huu niwe nafanya ibada Na mume wanguAgano Kama hili Mungu Ana Ingia


MAZINGIRA YANAPISHANA MTU NA MTU ILA NAJARIBU KUWAELEWESHA GENERALLY! ILI UJIPIME MAZINGIRA YAKO! NA UTENDE SAWA SAWA


TWENDE KWENYE MAANDIKO


Warumi 8:32 Yeye ambaye hakumhurumia Mwana wake mwenyewebali alimtoa kwa ajili yetu sisi soteatakosaje pia kutupa chochote kingine pamoja naye?

Mungu Kama Mungu jinsi alivo serious na mambo ya Sadakaanaonesha mfano kwa kumtoa mwanae wa Pekee! Kwa ajili yawokovu wetu


Kumbuka sisi ni waovu na uovu ulikuwa mwingi kweli kweliMungu kwa kuupenda ulimwengu anamtoa mwanaeMaanamanabiiii ilikuwa hawasikilizwi. Na mnaona tunachomfanyamwanae pale Calvary! 

Sasa kwa ajili yetu na wokuvu wetu God offered his best ilikufanyike agano la ukombozi.

 

Sasa Na wewe ili uingize agano la ukombozi wako na Munguakupiganie, awe upande wakoutumie rasilimali za mbinguniKama zako kuwateketeza adui yako elewa nature ya maaganoanayoingia Mungu. Nothing but the absolute best.  Utaonaukuuu wake.


Hakuna Mtu yoyote aliewahi kuingia agano la kimagumashi Na Mungu. Hakuna.

Na AGANO ni makibaliano rasmiSio tena 50/50! Ni uhakika! UKIFANYA PART YAKO ABC MUNGU KWA UPANDE WAKE ATAFANYA DEF! 

Na Mungu Kama mnavojua anaaminika 100/100! Ila hatosogeampaka wewe umefanya part yako.  Na Kama offer yakoulioweka mezani ni TAKATIFU! Hujachakachua chakachuamambo! Kujaribu kumtapeli. La sivo Pia hasogei.


Mimi nashukuru Mungu nimejifunza principles za sadaka Na namuonaaa Mungu Sanaa express kupitia sadaka

Hata wewe ukirekebisha mfumo wako utafanikiwa Sanaa katikasadaka. Na maandiko yako wazi.


KWENYE SADAKA MANENO UNAYOTAMKA HAYANA NGUVU SANAAA KAMA MAANDALZI, UTARATIBU WA KUTOA NA DHIMA YA KUTOA VISIPONYWA INAVOTAKIWA!


NDO MAANA LEO NIMETUMIA MDA MWINGI KUFUNDISHA MISINGI KESHO TUTA BASE KWENYE ANDIKO MOJA MOJA NA TUTAKUWA NA CASE STUDY 3 ZA SADAKA ZILE MAARUFU ZILIZO PITA NA ZILIZO KWAMA! TUTAZAMA NDANI KUONA WALIPATIA WAPI NA WALIKWAMA WAPI!


IBADA YA SADAKA HAINA MAOMBI YALE YA KUONGOZWA NENO KWA NENO IPO KWENYE TECHNICAL HIZI ZA MAANDALIZI, UTOAJI NA MAANDALIZI YA NAFSI!


Kwanza kabisaa wengi hambarikiwi sababu mnahisi ukitoamaybe unasupport huduma ya Mungu, Like Mungu anahitajimsaada wako. HAKUNA KITU KAMA HIKO!

Mungu ndo original creator wa UTAJIRI Na HESHIMA! 


Mithali 3:16 Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuliaUtajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.


Sasa wewe unamsaidia vipi kwa mfano? HUDUMA HAIKUTEGEMEI WEWE WALA MIMI! UTOE USITOE HUDUMA ITAENDELEA TU AS LONG AS MUNGU NDO YUPO NYUMA YAKE!  Futa wazo kwamba una changiahuduma Na inaku hitaji.


Namtunza Mtumishianajitoa sanaaa. Ni jambo la heri ilahumsaidiiiUsipontunza wewe Mungu atainua mwingine Ata mtunzaMungu anatunza watumishi wake vizuriii sanaaaa! Kama ni mtumishi wa kweli wa Mungu lazima UfaidiSiosadaka lakiniUko jikoni kabisaaa unashindaje njaa? Password zote zinapita kwako unaacha vipi kuzitumia?  Yaani ukiwamtumishi unaengoja sadaka hujafika viwango badoYesu Rabi na Mwalimu wetu alikuwa anachukua chochote Na popotesababu alikuwa na Siri za umiliki so automatically hata chakokilikuwa chake. Kuna Siku alidaiwa kodi , akawaambia tupeninyavu. Samaki Kama woteeee! Waka wauza Na kulipa kodi. Simple yaniSasa Mtumishi wa Teacher unaazaje kukosamaarifaYesu mwenyewe kuna Siku alibanwa kwenye angle akasema sio kesiAkazidisha Mikate na Samaki live!

 

Hivo basi hutoi sadaka kwa ajili ya KUMSAIDIA MUNGU, WALA HUDUMA YA MUNGU, WALA MTUMISHI, WALA HUSAIDIII CHOCHOTE!  Je kwanini unatoa?


UNATOA KWA AJILI YAKO MWENYEWE KUTENGENEZA UHUSIANO WAKO NA MUNGU! Kama hutoi kwa sababu hii kupokea ni ngumu Sanaa. 

SADAKA YAKO MTOLEE MUNGU WAKO KUTENGENEZA UHUSIANO WENU! Details Nani kapokeakapeleka wapi haikuhusuuu


Kama umempa Mungu  agano lako na yeye lipo intact na hikindo tunapigania na Ana mda wake kudeal Na ufedhuli wa ndaniya Nyumba yake. Wale Vijana wa Kuhani Eli kina Fineasiwalikuwa fedhuli haswaaa! Na baba Yao aka angalia pembeniNini kiliwakutaWalikufa Siku moja, Na baba Yao akavunjikashingo Siku hio hio. 1 Samweli 2:12- 36! Mimi napenda Sanaa kutoa lakini watumishi wananikatisha tamaaWewe toa tengeneza Na Mungu Siku ya kuvunjika shingo huku kwetu ndotutajua.


Kunatabia unatoa ili mtumishi akuone, au kumhadaaa mtumishiuwe nae karibu si mnajua tena church politics. Yeye yupoKaribu na Mungu na wewe upo nae sambambaHapo unampaBINADAMU.  Utavuna tunu ndogo ndogo kwa kiasi kile kileambacho ungempa Mungu ingekuwa breakthrough ya maanaNasisitiza MTOLEE MUNGU SADAKA YAKO! NA IKIWEZEKANA MTUMISHI ASIJUE NI WEWE UNAE TOA AKAWA INFLUNCED! 


Kama unamtolea Mungu kwa faida yakokutengeneza mambo yako kwanini utoe makapi?  Mungu alimfanya Kaini mfanooomwanzooo kabisaaa wa bibilia

Mungu ni Mungu wa haki Siku zote. Kama unataka vikubwa, toa vikubwaSio swala la kubembelezana na mtuNeno la Mungu lipo waziiiii kabisaa


Mathayo 6:21 Maana pale ilipo hazina yakondipo pia utakapokuwa moyo wako.

Kama moyo wako ukiwa kwa Mungu basi hata hazina yako kwaMungu utaweka kubwaMoyo wako ukiwa kwenye Crown ndohivo Crown 17m kwa Mungu 10k. Ni maamuzi tu mbonaKumbuka Mungu ni Mungu wa haki atakupa haki yako yenyethamani hio.


WAISRAEL walikuwa very smart! Walikuwa wanajua chochotewanachotaka Mungu anacho. CHOCHOTE! Wakionawamezingua amekaaa kimya wanakimbilia  kutoa sadaka za aganoMradi tu wapate commitment yake. Na walikuwawanateketeza kweli kweli.


2 Mambo ya Nyakati 7:5 Naye Solomoni alimtolea Bwana ng'ombe 22,000 na kondoo 120,000. Hivyo ndivyo Solomoni nawatu wote walivyoiweka wakfu nyumba ya Mungu.

Suleiman alikuwa mtoajiii mnooo kwa Mungu na aliishi kwafahari kuliko wafalme wote.


Malaki 3​:10 leteni zaka kamili ghalaniili kiwemo chakulakatika nyumba yangumkanijaribu kwa njia hiyoasemaBWANA wa majeshimjue kama sitawafungulia madirisha yambingunina kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi yakutosha, au la.

Madirisha ya mbinguni!!!! Kumiminiwa baraka! Sadaka hio nazaak kamiliMungu aseme nini tena?


 

SADAKA YA UKOMBOZI /DELIVERANCE SACRIFICE 


Kuna aina nyingi sadaka, soma kwa mda wakouzijueuzitumiena ule mema ya nchi.

Leo kwa jambo letu hili la Divine Intervention tutafocus Na ainamoja tu ya  sadaka nayo ni SADAKA YA UKOMBOZI Siokwamba sadaka zingine zisinge faaa hili jambo. La hasha sadakazote ni njema mnoo!


Kutokana Na aina ya matokeo tunayotegemea hii SADAKA YA UKOMBOZI ndo yenyewe kabisaaaMathubuti kukamilishajambo letu kwa kishindoHii ni sadaka ambayo usha haribumambo so unatoa kutengeneza mambo. Yaani inafahamikaKabisa ukisha ya vagaa basi hii sadaka ndo Kimbilo. Kina sadaka Kama Sadaka ya malimbuko ni za kutoa mwanzo bilalengo. Kuna Sadaka za kujiongeza Kama Sadaka ya MbeguSadaka za shukrani. Kwa hali yetu wenyewe mtakubaliana Na Mimi best fit ni Deliverance Sacrifice.

 

Zaburi 50:5 Nikusanyieni wacha Mungu wangu Waliofanyaagano nami kwa dhabihu.


Psalms 50:5 Bring my faithful people to me those who made a covenant with me by giving sacrifices


Hili suala la sadaka za ukombozi lipo tangu Enzi Na enzi. Na Lina nguvu mnoooo


SITAKI KUWAFUNDISHA COMPLEX MATERIALS KAMA MNASOMEA U PASTOR!! NAWAFUNDISHA BASIC MTAZO ZITUMIA KILA SIKU MAMBO YENU YAPITE. HATA CHOICE YA MAANDIKO NIMEZINGATIA SIMPLE IS SMART! 


LA MUHIMU UELEWE NA KUWEZA KU APPLY!  NA SIO TU KUAPPLY NA KUPOKEA MATOKEO! UVUKE NA KUWEZA KUJIKOMBOA KWA SADAKA KILA UNAPOHITAJI.


SADAKA YA UKOMBOZI SIO LAZIMA UINGIE AGANO LA KUTOA PESA! Unaweza toa chochote cha thamani kwaMungu Kama muda wako. Sometimes Muda una thamani kulikopesaUnaweza toa vyote muda Na pesa. Kama Mimi. Unawezatoa Ujuzi wako kumfanyia Mungu jambo lake. Unaweza kujitoawewe kwenda hospitali kuwaombea Na kuwafariji wagonjwaUnaweza kujitolea utumishi wako madhabauni. Kama mtumishiwanguanajitoa Sanaa binti yule. Mungu ambarikiMchangowake kwenye hii huduma ni zaidi ya pesa. La msingi toa ulichonacho na utoe the best of what you have.


SADAKA YA UKOMBOZI INAKUWAJE? 


Agano Kama agano ni makubaliano ya pande 2 juu ya jamboflani yanayoweka wazi kila upande utahusika vipi Na utapatanini kwenye hayo makubaliano


SADAKA YA UKOMBOZI ni agano Kati yako Na Mungu juuya kitu ambacho wewe unakihitaji toka kwa Mungu na Mbinguzikusaidie kukipatalakini na wewe utawajibika kuweka kitumezani Kama sehemu ya agano. SADAKA INAANZA KUTOKA ALAFU MUNGU NDO ANAFANYA. ISIPOTOKA SADAKA MUNGU NAE ANATULIA. SADAKA YAKO NDO INA ACTIVATE HILI AGANO.


Pande 2 zote lazima zitoeHuwezi Kufanya ukombozi wasadaka bila sadakaFanya tu aina nyingine ya deliverance. Je Kama Sina inakuwaje?

Kuna option ya kuweka NADHIRI! Kwamba Munguakikufanyia kitu  flani kwa kiasi flani basi utamtolea kitu flaniAu utafanya kitu flani. HII UNATOA PALE TU UNAPOPOKEA MAJIBU YAKO!

 

Ipo ina nguvu zaidi

Zote zina nguvu ila nadhiri Mungu atazingatia uaminifu wakokwanza. So Kama huaminiki imekula kwakoLakini Sadaka yaukombozi hata kama huaminiki ukiwek shekeli zako mezaniumetimiza agano mambo yanaanza chaaap


Waisrael zilikuwa zao kutoa kutoa hizi sadaka mnoooWakiharibu tu wanakimbilia msamaha Na kuambatanishamatoleo

Mwanzo 22:13, Mungu mwenyewe alimjaribu Ibrahimuamtoleee Mwanae IsakaBaadae akauona uaminifu wale nakughairi basi usitoe mtoto wakoLakini ila sadaka ikamilikeMungu hamwambii nenda nyumbani , anamuonesha mnyamaalienasa kwenye kichaka na Ibadahim akamfanya sadaka. SO BILA SADAKA IBADA YA SADAKA HAIWEZI KUKAMILIKA.


SADAKA YA UKOMBOZI INAFANYA KAZI GANI


1. INAGEUZA MATOKEO YA TUKIO! MFANO ILIKUWA UKOSE SADAKA YAKO INABADILI MATOKEO. IN ACTUAL SENSE MUNGU SI ANA MOVE IN YOUR FAVOR KWENYE HILO JAMBO UNAKOSAJE SASA? 


2. INABATILISHA ZA GIZANI!! KUFUNGA NA KUKUIBIA AU KUKUTEKA LAZIMA WABAYA WAKO WALIACHILIA SADAKA KUPATA UHALALI. SASA WEWE USIPOACHILIA SADAKA KUJIKOMBOA NI HATARI SANAA. UKIACHILIA SADAKA INAKUWA VITA YA MADHABAU YA MUNGU NA MADHABAU YA ADUI. Ukisoma 2Wafalme 3:24-27 utagundua Israel walishawapiga wamoabu Na walikuwa bado kidogo tu washinde hio vita. LakiniMfalme wa Moabu fedhuli Yule akachilia sadaka Nono la kumchinja mwanae kipenzi wa kwanza kwa mungu wake Kemosh. Na huyu kemosh anaipokea ile sadaka na kuwapaushindi mnonoSasa kupambana vita Na mtu anae teketezamasadaka wakati wewe huteketezi mamboz ukombozi wakoutakuwa mgumu Sanaa.


3. INAMUITA MUNGU HARAKA LIKE EXPRESS CALL AKUPE ATTENTION YAKE! Kuna watu wana uhusiano naMungu 24hrs wapo uweponi Kama sisi watumishi. So tukimuitaMungu ni kawaida maana ni part of day to day. Lakini weweuna misimu ya kuwa uweponi Na kutokaSasa ghafla tuunaanza kuita hamna mazoea hayoInabidi utumie Sadaka. Mara zote Mungu alipoitwa kwa sadaka alikuja upesiUkisoma1SAMWEL 6,7! Utaona jinsi ambavo wasirael wanapigwa Na wafilist Na kuporwa Mpaka Sanduku la AganoMungu Ana fight mwenyewe huko kwa Wafilist ana muangusha Dagon nakumvunja vipande vipande anawatandika na magonjwa namikosi mpaka wafilist wanaamua kurudisha Sanduku la Agano.


Waisrael wanafadhaika kuhani kafa Na wanae siku mojasanduku limeondoka Na kurejeshwa Na adui zao Na sadaka juuya upatanishoWalikuwa Na hali mbaya kuliko yakoSamwelianajitolea kuwapatanisha na Mungu katikati ya Upatanishowafilist wanaibuka tena. SAMWELI ANAINUA SADAKA YA KUTEKETEZWA NZIMA! ANAMLILIA MUNGU! MUNGU ANAWAPIGA RADI HILO SIO LA NCHI HII WAFILIST HAWAWASUMBUI WAISRAEL TENAAAA MPAKA SAMWELI ANAMALIZA UAMUZI. UKISOMA UFUNUO 14 HILI RADI LIMEJADILIWA MULE!  


1Samweli 7:6-12 Wakakusanyika huko Mispawakateka majina kuyamimina mbele za BWANA; wakafunga siku ilewakasema hukoTumemfanyia BWANA dhambiSamweliakawaamua wana wa Israeli huko Mispa. 7Hata Wafilistiwaliposikia ya kuwa wana wa Israeli wamekusanyika hukoMispawakuu wa Wafilisti walipanda juu ili kupigana na Israeli. Nao wana wa Israeli waliposikiawakawaogopa Wafilisti. 8 Wana wa Israeli wakamwambia SamweliUsiache kumliliaBWANA, Mungu wetukwa ajili yetukwamba atuokoe namikono ya Wafilisti. 9 Ndipo Samweli akatwaa mwana-kondoomchangaakamtolea BWANA sadaka ya kuteketezwa nzimaSamweli akamlilia BWANA kwa ajili ya Israeli; BWANA akamwitikia. 10 Hata Samweli alipokuwa akiitoa hiyo sadaka yakuteketezwaWafilisti wakakaribia ili kupigana na Israeli; lakiniBWANA akapiga ngurumomshindo mkubwa sanajuu yaWafilisti siku ileakawafadhaishanao wakaangamizwa mbeleya Israeli. 11Nao watu wa Israeli wakatoka Mispawakawafuatia Wafilistiwakawapigahadi walipofika chini yaBeth-kari. 12  Ndipo Samweli akatwaa jiwena kulisimamishakati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake EbenezeriakisemaHata sasa BWANA ametusaidia. 13 Hivyo Wafilistiwalishindwawasiingie tena ndani ya mipaka ya Israeli; namkono wa BWANA ulikuwa juu ya Wafilisti siku zote za Samweli.


SASA SISI TOKA DAY 1, TUMETUBU, TUMEMKATAAA SHETANI NA MAMBO YAKE YOTEEE, TUMEZIWASHA MOTO MADHABAU ZA KWETU HUKO, TUMEJITENGA NA MAMNDINGO NDINGO YA UKOO! 


KAMA TU WAISREAL WALITUPA MIUNGU YAO, NA KUJINYENYEKEZA KWA MUNGU WA ISRAEL!

Samweli 7:4 Ndipo wana wa Israeli wakayaondoa Mabaali naMaashtorethiwakamtumikia BWANA peke yake.


KUVUKA UMEVUKA MPAKA HAPA!  SHIDA NI KUWA KAMA WAFILIST CHANGAMOTO ZINA TABIA YA KUJIRUDIAAA! NDO MAANA UNAPAMBANA UNAVUKA KIDOGO UNAKUTA UMERUDI. LAZIMA ZITAINUKA TENA DHIDI YAKO KAMA WAFILIST! 


NDO MAANA KUHAKIKISHA HAZIINUKI TENAAA NA HURUDIII HAYA MAOMBI TENA ( NI MAOMBI YANGU MTU YEYOTE ASILAZIMIKE KURUDIA HII PROGRAM TENAA MAANA KUTOBOA HII MARA YA KWANZA TU KUDRA ZA MUNGU) LAZIMA TUACHILIE SADAKA YA KUTEKETEZA NZIMA ILI MUNGU APIGE TU HUO MRADI WAKE WA UHAKIKAAA  ATOKOMEZE KABISAAAA KABISAAAA MPAKA VYANZO VILIVOSHINDIKANA VINAVOSABABISHi TATIZO KUJIRUDIA!


YAANI INATAKIWA HAPA KWENYE SADAKA TUSIMPE SHETANI NAFASI KABISAAA! UNAACHILIA SADAKA YA UKOMBOZI WA RADI!  KAMA WAFILISTI WALIVOPOA NA KUSHIKA ADABU KUTOSHA THUBUTU KUWAGUSA WAISRAEL TENAAAA NA WEWE INATAKIWA MAMBO YA NDOA NA MAHUSIANO YASIWE CHANGAMOTO YAKO TENAAAA! HILO ENEO IPIGWE RADI MOJAAAA MATATA NA KUKUWEKA HURU MAISHA YAKO YOTE!

KAMA NI CHANGAMOTO ZIWE ZA ISSUE NYINGINE SIO MUME WALA FAMILIA WALA WATOTO! 


NDO MAANA UKOMBOZI WA NAMNA HIII SADAKA YAKE INATAKIWA KUJIPANGA!

KUKUBALIANA NA MUNGU NIKO TAYARI KUPOTEZA PESA AU MUDA AU CHOCHOTE CHA THAMANI ILI NIPOKEEE MUME NA FAMILIA ! NA NIMEPIMA NACHOTAKA KUPOKEA NAONA NIKO RADHI KUTOKA HIKI JE OFA YANGU BABA NI HALALI AU BATILI! ( ATAKUJIBU MUNGU KAMA SAWA TOA AU HAPANA ACHA CHUPLI CHUPLI WE BINTI, AU ONGEZA, AU PUNGUZA MWANANGU KIASI FLANI TU NDO NATAKA, AU SITAKI PESA NATAKA UMSAIDIE MTU FLANI KITU FLANI, AU NIFANYIE KITU FLANI)


WENGI HUWA MNAJIPANGIA NATAKA HIKI NATOA HIKI NA KATIKA OFA ZENU MNAHAKIKISHA MME MLOWBALL MUNGU KWELI KWELI NDO ILE UNA MAMILIONI UNATOA 10K HATA UKIULIZA MUNGU NITOE WAPI HAJIBU! ANASEMA WEWE KAAA NAYO KULA CHIPS KUKU SHUSHIA PEPSI BARIDI UONGEZE KILO! UKIWA SERIOUS MUNGU NAE ANAKUWA SERIOUS. HATA KAMA HUMSIKIAGI AU KUMUELEWA UKIWA SERIOS ATASHUKA LEVEL YAKO YA KUMUELEWA. ILA UKILETA MZAHA NDO BASI TENA!


MSIMAMO WANGU NI ULE ULE SIO LAZIMA UJIKOMBOE KWA SADAKA, LAKINI UKIAMUA KUJIKOMBOA KWA SADAKA FANYA INAVOTAKIWA!  UMESHINDWA ACHA! SIO LAZIMA KUNA AINA NYINGI ZA UKOMBOZI FANYA HIZO! 


KWA UMRI WAKO NA MAWE UNAYOTUPIWA NA KIU ILIOPO NDANI YAKO YA KUFIT KWENYE VIPIMO VYA JAMIIII MIMI SIONI KWANINI USIJIKOMBOE NA SADAKA!


MIMI SIONI KITU CHENYE THAMANI KULIKO FURAHA NA AMANI YAKO!  HATA UWE NA MIGARI 10, MIGHOROFA KAMA HUNA FURAHA NI UZEMBEKWA KWELI! NA UPUUZI! YAANI WOKOVU WAKO UKO NAO MKONONI SHETANI ANAUTUMIA KAMA KAMBA KUKUFUNGA NAO?  YOU SHOULD DO BETTER!


KAMA HUNA PIA NI UZEMBE! UMEPEWA OPTION YA KUWEKA NADHIRI! KAMA UNACHO UNAWEKA NADHIRI MUNGU ATASIKITIKA! ILA SINAAAA! YAANI NITAJIMALIZA KWENYE HIO NADHIRIIII! UWIIII! HATA MUNGU AKINISACHI SINAAAA! NDO TIKETI YANGU YA KUPATA NITIMIZE NADHIRI!


MIMI NAWAPA LIVE HII NDO EASIEST PLUG YA KUPATA UNACHOTAKA! IMAGINE KUTOA TU ULICHO NACHO NA KUKUBALIANA NA MUNGU MWAKANI MDA KAMA HUU NIWE KWA MUME WANGU WA NDOA NA NYUMBANI KWANGU! NA MUNGU ANAKAMILISHA!!!! 😳😳😳!  LABDA KAMA HAUPO SERIOUS! ILA KAMA UPO SERIOUS JAMBO DOGO SANAA HILI!


JITAFAKARI KWELI KWA ULIYOPITIA NI HALALI WEWE KUENDELEA KUKAZA UZIDI KUZAMA KWENYE UPWEKE, AU FOR ONCEUJIFANYIE KITU SAHIHI? UCHUKUE HATUA KUIPATA FURAHA YAKO? CHAGUO NI LAKO!

KWA MTAKAO CHAGUA KUENDELEA KUTOA HIO SADAKA YA UKOMBOZI NITAREJEA NA MAANDALIZI YAKE!


KWA SASA ANZA KUMUULIZA MUNGU NIKUTOLEEE NINI UNIVUSHEEEE? SITAKI KUKUYEYUSHA SAFARI HIII! SEMA WEWE BABA OFA YAKO KAMA ULIVOMPA IBRAHIM NA MIMI NITAIFIKIA (UWE TAYARI KWELI KUIFIKIA)


MKUMBUKE PIA JEPHTA ALIJIMALIZA KWA VIBE LA KUTAKA KUOMOLEWA! TULIA TAFAKARI. UKIONA OFA YA MUNGU NAWEZA NIKAZINGUA TOA YAKO KWA MAKINI NA UWE MAKINI KUITIMIZA. 


KAMA NADHIRI USIWEKE KWANZA BADO SOMO HALIJAKAMILIKA ANZA TU KUWAZA NIWEKE NINI MIE MWANA WA ADAMU!

SADAKA TUTATOA SIKU YA 14ILA KUANZIA LEO TUTAANZA KUIANDAAA NA KUWA UNAIOMBEA KILA SIKU!


MAANDALIZI


1. Kuwa clear kwanini unatoa hio sadaka. UNAHITAJI UKOMBOZI. Usiwe mnafiki! Baba nakushukuru kwa yote najua utafanya. Baba natoa sadaka kwa sababu Mtumishi wakoyule mlokole anajitoa sanaNitueeeekuwa muwazi Baba akoakusaidie. BABA NAINUA SADAKA HII NAHITAJI NDOA MPEMA NIMEPANIC, NIMECHOKA, NIMEKATA TAMAAA!  KUWA SPECIFIC!

 

2. kuwa clear unatoa nini Na unatarijia kupata niniNatoa kituflani nikikusihiii unifanikishie kitu flani mfano mwakani mudaKama huu niwe nyumbani kwangu Na Mume wangu. Au niwenimelipiwa mahariWewe tu. Hapa muulize roho Mtakatifu utoenini Na utoe  wapiHata ukipanga muulize ni sawa au nimejimaliza Sanaa? Au nimepunja sanaNimwekea Siku 5 za maandalizi ili usipate sababuInamaana una Siku 5 za kutafakarikwa kina.


3. SPECIFY MUDA WA AGANO! Ndani ya mda flani uweumeona matokeoUsiweke infinity. Na usiweke unrealistic timelines. Like niwe nimeolewa in a week! 😳Ndani ya hiimiezi mi 3 nikutane Na mtu sahihi Kama hatujakutana, Kama tayari azungumze kunihutaji na mwakani mda Kama Huu niwenimelipiwa mahari maybe mwakani  Niwe November bride. Jipemda wa kuziona hatua za Hilo jambo likikamilika.


4 MDA WA KUTOA NI SIKU YA 14 NA SIKU YA MWISHO YA PROGRAM 


5. JENGA IMANI YAKO MUNGU ATAFANYA. Ondoa doubts Kama Mungu hakutapeli sadaka ya Suleiman ilivo nono ajeatapeli yako kweli? Do better Na jitie moyo he must come through for you. TOA KWA IMANI.


6. UKISHAIJUA ISEMESHE! IOMBEEE KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI HIZI SIKU 5. NAKUPA MISTARI! MAOMBI YA SIKU 1 SIO SAWA NA SIKU 5! USILETE MAZOEA UKAWA HUIOMBEI UKAZIMA MOTO! Hata zilesession zako za kulia usiku unashika bahasha unaliaaaa weeee.  Afu unarudisha kabatini


MAOMBI YA KUOMBEA SADAKA YAKO KILA SIKU! 


Hagai 2:8-10 Fedha ni mali yanguna dhahabu ni mali yanguasema BWANA wa majeshi. 9 Utukufu wa mwisho wa nyumbahii utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa kwanza, asemaBwana wa majeshinami nitawapa amani mahali hapaasemaBwana wa majeshi.


Zaburi 50:14 Mtolee Mungu dhabihu za kushukuruMtimizieAliye juu nadhiri zakoUkaniite siku ya matesoNitakuokoanawewe utanitukuza.


Mengine ya kwako jazia jazia.

SADAKA NI IBADA BINAFSI KATI YA WATU WA 2 TU WEWE NA MUNGU! KWENYE AGANO LENU MIMI SIPO!

MIMI NAINGIA SIKU YA UTOAJI KUKUONGOZA KUTOA NA KUPOKEA KWA NIABA YA MUNGU KILE UTAKACHO KIINUA.

KAMA USIPO SIMAMA PART YAKO VIZURI PART YANGU HAITAKUWA YA MAAJABU!

UBORA WA MATOKEO UNATEGEMEA UBORA WA SADAKA, NA UBORA WA MAANDALIZI, NA UBORA WA UTOAJI. ITS A FULL PACKAGE!

NDO MAANA NIMEFUNDISHA MAPEMA NA KUKUPA MDA MWINGI WA KUJIANDAAA NA KUONGEZA UBORA! SIO KUKUPA NOTICE FUPI UFANYE BORA LIENDE.

SIKU YA 14 NDO TUTAFANYA MAOMBI YA PAMOJA NA TUTATOA SADAKA KWA WALE WALE WATAO KUWA WAMEJIANDAAA NA WAPO TAYARI KUTOA!

 

DAY 10- Mid night


PROVOKING FAVOR - DIVINE FAVOR/ FADHILI / UPENDELO


Zaburi 90:17 Na fadhili za BWANA, Mungu wetuziwe juuyetu, Na kazi ya mikono yetu uifanye thabiti, Naam, kazi yamikono yetu uifanikishe.


Psalm 90:17 May the favor[a] of the Lord our God rest on us; establish the work of our hands for us yes, establish the work of our hands.


Mithali 8:35 Maana yeye anionaye mimi aona uzimaNayeatapata kibali kwa BWANA.

Proverbs 8:35 (NIV) For those who find me find life and receive favor from the Lord.

Yaani FAVOR kwenye kiswahili imetafsiriwa Kama Fadhili Kama Kibali. Ina tafsiri nyingi kidogo. Ila kwenye English bible favor is favor! Sasa maishangae mbona kibalimbona fadhilimbona upendeleoMaana ni ile ile Favor

DIVINE FAVOR NI KIBALI AU UPENDELEO WA WAKIMUNGU UNAOKUSABABISHA UPATE ZAIDI YA WENZIO BILA SABABU. MUNGU TU ANAAMUA KUKUFEVA!  ANAKUINUA JUU YA WENZIO NA KUKUPENDELEA!

Esta 2:17, Esther found favor in the eyes of the king. Kwa Kiswahili Esta alipata kibali mbele za mfalme. Na akapendwakuliko wanawake wote wa mfalme. Na walikuwa wengi kwelikweli.

Sometimes kwenye safari yako unakuwa umekosa kibaliUnampata mfale ila FAVOR /KIBALI sasaMnaishi Na kuishiLakini wapiiii. KIBALI CHA KUWA MKE HAKITOKI

MUNGU AKIAMUA KUACHILIA FAVOR/ KIBALI CHAKE MAMBO YANAKUWA BAM BAM! HUTOSUMBUKAAAAA!!! WATAINUKA WATU KUPIGANIA KUFANIKISHA JAMBO LAKO! DIVINE FAVOR!

Leviticus 26:9-10 “‘I will look on you with favor and make you fruitful and increase your numbers, (A) and I will keep my covenant(B) with you. 10 You will still be eating last year’s harvest when you will have to move it out to make room for the new. (C)

Walawi 26:9-10 Nami nitawaelekezea uso wanguna kuwapauzazi mwingina kuwaongezanami nitalithibitisha agano langupamoja nanyi. 10Nanyi mtakula akiba ya zamani mliyoiwekasiku nyingitena hayo ya zamani mtayatoaili myaweke yaliyomapya

GOD CAN FAVOR YOU MY FRIEND!!! Yaaani vya zamanihavijaishaaa utavitoa nje iingie hazina mpya. FAVOR! UnaombaMume tu yoyoteMungu anaweza kukufeva Mume kijana dada, mume tajiriiimume mpoleeemume HB, Mume mume kweliiiiMpaka watu wanauliza namba ya mtaalamu. DIVINE FAVOR!  INAKUWA KAMA NDIMU! INAKATA SHOMBO SHOMBOZOTEEE KWENYE UKOO! KILA MTU ANAKAA KWA KUTULIA.

Mzeeehatopata mtuamezalia nyumbaniamechelewaamechagua Sanaa, labda asitirike tuwatu wa maana wameishaoa atapata wapilabda apate Ben 10. FAVOR INATAKATISHA SHOMBO SHOMBO ZOTE HIII NA KUWEKA FULL STOP!

Situation zenu zinahitaji FAVOR sana maaana Kama watuwameungana vile Na kupitisha unabiii flani wa kipuuzi kwambakiukweli bwana UMECHELEWA Na matumaini yashafifiakubali kutoa jokeri Hilo mchezo unaisha mda wowoteUtalalanalo.  REDUCE EXPECTATIONS AND STANDARDS. Ndugu, jamaa Na marafikiUKisema mama hata wewe si uliniambianijitunzeKweli mwanangu lakini nataka kumuona mjukuuukabla sijafa. Au unangoja Nife mwanangu ndo uzaeUsipokuwamakini unakubaliana nao.

Mungu bado ni MunguNdo maana sababu wamekuandamasanaaa sanaaa  inatakiwa umuombe FAVOR kuwa prove wrong Na kwamba Mpango wa Mungu haunaga dosari. Na Wakati waMungu ndo wakati sahihiUombe kwa moyo sanaa MUNGU AKUINUE JUU YAO MPAKA WAJUTIE VITU WALIVOKUSEMA AU KUKWAMBIA.

Mwanzo 26:12-13 Mwaka huo Isaka alipanda mbegu katikanchi ileakavuna mara mia zaidimaana Mwenyezi-Mungualimbariki, 13naye akatajirikaAlizidi kupata mali hadi akawatajiri sana.

Genesis 26:12-13 Then Isaac sowed in that land, and received in the same year an hundredfold: and the Lord blessed him. 13 And the man waxed great, and went forward, and grew until he became very great:

UKISOMA ENGLISH VERSION UTAONA ISAC ALIPANDA MBEGU NA AKAVUNA MWAKA ULE ULE (IZINGATIA MDA) MARA MIA (ZINGATIA IDADI)

Nataka Na wewe ukavune Ndoa mwaka huu huu unaosali in Jesus Name. Kama ni kukutana mkutane mwaka huu huu. Kama unakaaa nae hajatamka Atamke mwaka huu huu. December isipindue. Kama haeleweki mwaka huu huu aeleweke in the name of Jesus Christ

Psalm 102:13 Thou shalt arise, and have mercy upon Zion: for the time to favour her, yea, the set time, is come.

Zaburi 102:13 Wewe mwenyewe utasimama, Na kuirehemuSayuni, Kwa maana ndio wakati wa kuihurumia, Naam, majirayaliyoamriwa yamewadia.

MAJIRA YA MUNGU KUKUSIMAMA NA KUKUFAVOR UFIKIE HATMA YAKO YA NDOA YAMEFIKA MAJIRA YALIO AMRIWA WEW KUPATA NDOA YAKO, NYUMBA YAKO NA FAMILIA YAKO YAMEWADIA.

MAOMBI

Baba fungua mlango wa rehemamlango wa fevamlango waupenyo/ breakthrough.

Baba yetu uketie Mbinguni ambae huwaonesha watu wako usowako nao wana pata kibali machoni Pako Na machoni pa watuLeo hii nakusiii nioneshe uso wako in the Mighty name of Jesus.

Baba achilia feva juu yangujuu ya maisha yangujuu yahatama yangu ya ndoa. Kama ulivomsaidia Esta kupata kibalimbele ya Mfalmenaomba na Mimi nikapate kibali mbele yaMwenza wangu wa maisha in the mighty name of Jesus. 

 

Baba Leo hii nafungua malango yangu kuruhusu fevazimiminike toka kwako in the mighty name of Jesus. Kama ambavo ulimfeva Isaka , alipanda mbegu mwaka ule na akavunamwaka ule ule. Baba achilia feva ya hatma yangu ya ndoaNimeomba mwaka huu , Na mwaka huu huu ukanishangazebaba. Ulimbariki Isaka Mara Mia, baba nibariki Na Mimi in the mighty name of Jesus.

Baba unajua hali yangu Na mategemeo yangu Na familia yangu. Baba nipe favor ya kurejesha nyumbani heshima iliocheleweamda mrefu. Baba yangu ulie Mbinguni, prove them wrong kwakuni favor mbele ya macho ya adui walio nisinyawalio nidoubt, walio nisema vibaya Na kuona kwamba haiwezekani. Baba kwa binadamu haiwezekani Ila Kwako yote yawezekana in the mighty name of Jesus.

Baba neno lako linasema utainuka , Na kunirehemu Sayunimdawa kunifeva umewadiandio mda wa kunifeva

Mda ndoa sasakatika Jina la Yesu achilia feva juu ya maishayangu Na juu ya ndoa yanguWakati ulioamriwa ni sasa baba kanioneshe uso wako na nipate kibali machoni pako na watuwako.

Lango linalo zuia feva katika maisha yangu EPHATAAAA! FUNGUKA SASA Na achilia feva zimiminikeNatangazaFEVAAAA! FEVAAAA juu ya maisha yangu Na hatama yangu.

Nawaita destiny helpers wote wanaotakiwa kunipa feva Na kunifanikisha wainuke sasawasikie neno la Mungu majira ilioamriwa ni sasa Na waanze kutokea maishani mwangu sasa in the Mighty name of Jesus.

Baba nadeclare open heavens juu yangu kwa habari za divine favor, Natangaza kuisha kwa msimu wa misfortunes Na kuanzamsimu mpya wa favors. Favors za kunifanikisha maisha yangu n hatama yangu ya ndoa in the Mighty name of Jesus Christ.

Ninaomba nakushukuru katika Jina la Yesu.

AMEN

DAY 10 – Eveving Prayers

Marko 7:34 Kisha akatazama juu mbinguniakapiga kite, akamwambia, “Efatha,” maana yake “Funguka.”

Sasa mchana wa Leo mtasimama na hii declaration kwa moyo

LORD OPEN DOOR OF MERCY, DOOR OF FAVOR DOOR OF BREAKTHROUGH 

MUNGU FUNGUA MLANGO WA REHEMEMA, MLANGO WA KIBALI, MLANGO WA UPENYO.

SEMA MARA NYINGI KADRI UWEZAVYO UNTIL UISIKIE AMANI

Hapa kwenye favor hamna general rule kwamba Kama sadakaimetimiza vigezo automatic inapokelewa

Hapa ni juhudi binafsi za wewe Na MunguHakuna general rules za Mungu kumvafor mtuNdo maana nimekuongoza Mara 1Wewe kwa situation yakojitihadamatoleomkumbusheMungu, MSIHI, muombemradi tu akupe favor.

Leo tumefocus na GODS FAVOR

USIKU NA KESHO TUNA FOCUS NA KUPATA FAVOR FROM PEOPLE

DAY 11 – MID NIGHT PRAYERS

UNAWEZA KUWA NA FAVOR KUBWA SANAA KUTOKA KWA MUNGU ILA USIWE NA FAVOR /KIBALI CHA KUKUBALIKA NA WATUUNFORTUNATELY NDOA INA MAANA LAZIMA WATU WA MJI MWINGINE WAKUCHUKUE NA UTAINGIA VIPI KWENYE MJI WAO WAKATI HUKUBALIKI, HAWAKUTAKI HATA KUKUSIKIA

KUNA WATU WAMEOKOKA, WANA NENA KWA LUGHA, WANA MAONO MPAKA UNABIII, UCHUMI WAO NI EXCELLENT 👌👌👌 THEY REALLY HAVE FOUND FAVOR WITH GOD! LAKINI SI OFISINI, SI MTAANI, SI MAHUSIANO HAWANA KIBALI HATA KIDOGOOO!  HAWAKUBALIKI HATAAAA!

NDO MAANA WEWE UNAWEZA KUPAMBANA UKAPAMBANA UKAMPATA MTU VIZURI MPAKA PENGINE MKAZAAA LAKINI FAVOR IN THE EYES YA UKOO WA BWANA HARUSI HIJAWAHI PATA. NO MATTER UJISHUSHE VIPIIII, HUJAWAFANYA CHOCHOTE MUNGU SHAHIDI ILA NDO TATIZO YOU DIDNT FIND FAVOR IN THEIR EYES. KIBALI NAO DADA HUNAAA!

Esta 2:15 Naye huyu Esta alikuwa amepata kibali machoni pawote waliomwona.

Esther 2:15 And Esther obtained favor in the sight of all those who looked upon her.

Ukipata favor machoni pa watuni jambo zuriiii mnoooWatuwatakupambaniaWatu watabeba issue yako Kama ya kwaoWatu wataenda mstari wa mbele kwa ajili yako. Na watu ndokila kituWakiamua halishindikani.

Unaweza kuhisi watu hawakubabaishi wajibambeee ila siokwenye NDOA! Watu ndo kila kituWakikupendawatakulazimishia kwa ndugu Yao atake a sitakiWakikukataaawatakungoa kwa gharamaaa yoyoteHiii siasa lazima uichezevizuriYES KWA HILI WATU WANA USEMI JUU YA HATAMA YAKO! TENA MKUBWA KULIKO WA KWAKO.

Unaweza kuwa mtu mzuriii Sanaa lakini unfortunately watuhawazi hivo juu yako. Na wanachowaza watu ndo kitakachosimamaNeno Lao ndo Sheria.

Wakisema Hufaiaaakila mtu akikuhitaji akiambiwa Yule HAFAI. ImeishaaaaAnakuja vizuriii anapopotea hutajuaWatuwashamuaminisha hufaiSasa Kama una vitabia unakuta watuwa 4 wote akiwauliza juu yako wote huna kibali naoHawajuanilakini msimamo wao mmoja juu yako ndio JEURI NA UNA DHARAU. BADILIKA!

Kuna mabinti hata kanisani wana vibaliii kila mtu ana muulizaumeolewaaaUmeolewaaa? Una mtu?! Yaani kila mtu anatakaamvute aingie kwenye ukoo waoYaani akiambiwa Ana mtuanasikitika.  Wa mama wanawaambia vijana wao nenda kwaflani pale kuna mke. This kind of favor should locate you in the mighty name of Jesus.

MJUMBE HAUWAWI TULIENI TU NIWAPE DOSE IWAINGIE. WENGI NI NUNDA KWELI KWELI HAKUNA ANETHUBUTU KUWAAMBIA KITU! KWANI HAJIPENDI. 👀!!! MNA MAJIBUUU NA KURARUAAA KAMA SIMBA! JAMANI SI MIMI ILA NAFASI YANGU YA KITUMISHI INANILAZIMU NIWAPE UKWELI ILI MPONE!

Sio kwa ubaya ila wengi ni WAKALI KAMA SIMBA, MISIMAMO SASA UNACHO AMUA WEWE HIKO HIKO, ATTITUDES SASA HAMPENDI KUAMBIWA UKWELI, WAJUAJI, DHARAU KAMA ZOTE UNAMSILIZA ALIE KUZIDI MAISHA TU, MSAMAHA KWENU NI MWIKO, UJASIRI WA KIPUUZI NDO SILAHA YENU, KULIKO UOMBE SAMAHANI BORA UHUSIANO UFE, UZUNGU FEKI UNATAKA UDEAL NA MWANAUME TU BILA NDUGU ZAKE, HAMJALI WALA NINI. 

SASA KWA TABIA HIZI UTAISHI NA NANI?  UTAPATA VIPI KIBALI KWA MTU. JIULIZE MTU MWENYE TABIA ZAKO WEWE UTAWEZA KUISHI NAE? 

SABABU NI MBABE WATU WATAKUOGOPA, WATU WATAFANYA UNAVOTAKA, WATU WATAKUJESHIMU ILAAAAAA HUTAPATA KIBALI KWAOOO. HAWATAKUPA CHAO HATA KIDOGO. NA UTAKUWA MPWEKE SANAAA SANAAAA. ILE STORY YA THE BEAUTY AND THE MONSTER WEWE SASA NDO KIDOGO KIDOGO BILA KUJUA UNAGEUKA MONSTER! NDANI NI MTU MZURIII SANAAA NA UNA ROHO NZURI ILA HUJUI JINSI YA KUISHI NA WATU WAKA KUELEWA.

Kuna binti alichelewa kuolewa mama yake akawa anahangaikanae kwa wachungaji mnoooHaanguki pepo Yule bintiAnaombewa masaaa Na masaaaNa mama yake alikuwa pesaipo basi watumishi wanamuonea huruma mtu ila dada jeuriiikweli kweli.

Wote wakamshindwa, Siku akaingia kwenye 18 zangu na Mimi Sikuwa mtumishi bado nilikuwa najitafutaNilimchambaaa kwaSauti ya ustaarabu na bila emotions. Kichambo cha taratibuNashushia soda.

Nilimwambia don’t be selfish, unamtesa mama yakoWatumishiwatakuombea sababu mama yako anatoa sadaka za maana. Ila Mimi na wewe tunajua huna pepo. Umelelewa hovyo hovyo tu.Kwenu wanakupa kila unachotakaLakini huwezi kufika mbalikwenye maisha.

Anajiteteasio mimi dada. Wanaume hawanitakiNikamwambiakwasababu ni jeurikiburihujielewiHuo mzigo wataubebawazazi wako nao wamechoka ndo maana wanakuburutakanisani.

Sisi wote tunakupenda ila hatuwezi kukusaidia unless wewemwenyewe kwa dhati yako uamue YOU ARE TRIED OF YOUR OWN SHIT! AND YOU WILL DO BETTER!

Hata sisi tunajisikia kujibu hovyokufanya attitude lakini we do better. Sababu hatutaki kuwa monsters. 

CHANGE FOR YOU! KWA FAIDA YAKO! Aliliaaaa Yule dada. Mpaka mama yake akaanza kunifokea umemwambia nini? Imagine dada wa miaka 35 naulizwa mimiMchungajiananiuliza umemwambia nini 😏Nikamwambia muulizemwenyewe.

Alibadilika Yule bintiAkaacha shobo zoteeeAkaacha utotoAlikuwa mropokaji hatariAkawa kimyaaaa hasemi kituAlikuwa muchknow akawa tu sawandioAnasalimia kila mtuwakati alikuwa hasalimii, Kila mtu akawa anasema yule kaponamapepo yakeNyie mapepo mabayaKumbe binti mzuri tu.

 

Mama yake aliniweka Kona wewe umemuombea maombi ganiYule mpaka kafunguliwaMchungaji nae Kama deniumemuombea maombi gani amabyo wote tumeshindwaNikawaambia muulizeniMchungaji anasema hata kazini kwaowanaulizia nini kimemfungua.

Mwaka haukuisha kazini kwao akaja kijana ambaehakumuonaga akiwa motoooooAkampenda watu wanasameheWakamwambia kwa zamani alikuwa na pepo ila tangu aombeweNa kufunguliwa ni mtu poa sanaaWalifunga ndoa Na yule kaka. 

SO WENGINE KINACHOFANYA MSIOLEWE NI TABIA ZENYUUUUUU HAZIRIDHISHIIII

ONLY YOU CAN SAVE YOU! UKIJIENDEKEZA KUFANYA BANGI ZAKO ZINAVOKUTUMA WATU WATAENDELEA KUKUKATAAAA!  UTAKUWA MPWEKE SANAAA! IFIKE MAHALI UCHOKE UPUUZI WAKO NA KUAMUA TOKA NDANI YAKO I CAN DO BETTER. I WILL DO BETTER.   UTAJISHANGAAA! NA MDA MFUPI UTAWASHANGAA WATU JINSI WATAVOBADILIKA NA KUWA WEMA KWAKO.

Tunaweza kuombakukemeaaaa mpaka shetani akakaaapembenikufungua milango,  kuinua sadaka AKAJA MTU PONTENTIAL! 

Lakini wiki 2  wewe mwenzetu una mjibu kunya, utoto mwingi, attitudes ndo usisemekiburiii. Cold hearted, Drama Kama zote.  

Sasa hapo utakuwa unarogwa Au wewe ndo mganga mwenyeweunajiroga mwenyewe?

Chunguza watu friendly, bubbly, a bit dull, watiiiwepesikusamehewatu wa kujichanganyaWana olewa hata mara 2 mpaka 3. Something about their personality inamfanyamwanaume awe comfortable kuona YES, I CAN LIVE WITH HER AND BE HAPPY!

Lakini unaweza kuta binti Ana kila kituuuuLakini hata MarioowanamuogopaWakimuangalia alivo na personality ya Osama bin Laden hata wanaume wanakuwa hawakutongozi achia ndoaUnaonekana pasua kichwa.

Hao watu wa bubbly personality, kuna mmoja alikuwa Na watoto wa 2 bwana. Akaolewa Na ndugu yangu kwanza mdogokwa mwanamke na Hana mtotoUpinzani ulikuwa mkaliWananiambia wewe si mtumishi huoni ndumba kabisaaa hizifanya mandingondigo. Kila nikiomba hamna ndumba

Wakaoana bwana, kaka alitia msimamo. Na baadae wotetulikubali alikuwa bonge moja ya mkeMtu mmoja Na rohoyake safi Sanaa. Wakawa kukwaruzanaSasa kwenye kikao Bro akashangaaa wote Tupo upande wa mkewe. Akasema nyie simlikuwa hamtaki nimuoeHio zamani bro. Mkeo haondokilabda uondoke wewe.

Mwanzo kwa macho hakupata kibali kwetulakini alijua kuishiNa sisi vizuri tukasahau Kama mzeee, Kama Ana watoto 2. None of that mattered. 

Ukiishi Na watu vizuri hata mambo yanayokuuumiza kichwawatu wanakusaidia.

TONIGHT, REFLECT TAFAKARI KWA KINA TABIA ZAKO AMBAZO ZINAFANYA USHINDWE KUISHI NA WATU. JIAMBIE UKWELI!

KAA KIKAO NA NAFSI YAKO. JIAMBIE UKWELI KWAMBA HAPA NA HAPA NAZINGUA. 

WEKA NADHIRI YA KUJIWAJIBISHA! NA KUTOJIENDEKEZA! NA DHAMIRIA KWA DHATI MIMI SIKU ZANGU ZA UGAIDI ZIMEFIKIA KIKOMO!

SITAKI KUISHIA PEKE YANGU KWA MAMBO YA KIJINGA. NIMEJIREKEBISHA KABISAA. KUJIBU FULLSTOP! DRAMA FULL STOP, POWER GAMES FULLSTOP, UTOTO FULL STOP! 

I WILL DO BETTER! SIWEZI KUJIKOSESHA HAPPILY EVER AFTER! KAMA NIMESHINDA NJAAA KUMUWAJIBISHA SHETANI MIMI NANI NISIJIWAJIBISHE. WAO WAWEZE KUISHI NA WATU VIZURI MIMI NANI NISHINDWE. SIKIO HALIWEZI KUZIDI KICHWA! NITAJIWEKA KWENYE MSTARI ULIO NYOOKA! 

UKIKUBALI UKWELI NI RAHISI KUVUKA! SABABU UKO NUSU YA NJIA! UKIKATAAA TATIZO NI TATIZO KUBWA ZAIDI.

MAANA UTAENDELEA KUJIKWAMISHA. NA UHUJUMU BINAFSI HATA WATUMISHI HATUWEZI KUKUVUSHA! TUTAKUSIKITIKIA TU! 

SHETANI AKUSIMBUE NA WEWE MWENYEWE UJISUMBUE KWELI?

KESHO NITAKUPITISHA KWENYE MAANDIKO KWANINI USIPOKUWA TAYARI KWA NAFASI YA MKE MUNGU ATAENDELEA KUICHELEWESHA HIO NAFASI

MKE MWEMA ANATOKA KWA MUNGU!!! MwemaaaaaSio mwenye kiburisio mwenye attitude, sio stone cold, sioselfish,

HATA UJITAYARISHE KIROHO KIASI GANI USIPOKUWA TAYARI KIMWILI NAFASI ITAZIDI KUCHELEWA. NDO MAANA KUNA WATU HAWASALI SANAA LAKINI WAMEJITAYARISHA KIMWILI NA KUTOSHA HIO NAFASI MUNGU ANAWABARIKI KIROHO SAFI

TUTAPITIA NAFASI YA MKE NA JINSI GANI MUNGU ANATEGEMEA UJIKAMILISHE KWENYE HIO NAFASI KABLA HAJAKUPA.

DAY 11 – MID YA TO EVENING (SOMO)

SOMA ESTA 1:9-22 , 2:1,4,17 – ni habar ndefu kidogoisome yote.

Malkia Vashti alikuwa JERURI KWELI KWELIhumpati hataroboUnaambiwa alikuwa MZURIIII PISI YA UHAKIKAAA mpaka biblia inasisitiza MZURIIII kwenye manadiko wa uso. Na mfalme akataka kuwaringishia wenzie pisi yake ya hajaaaaAkaagiza aje asalimie wageni muhimu wa kitaifaaa. Tena ajeamependeza fulll na mavazi ya kimalkiaaaaAsije sije tu.Bwana weeeee kwani alikuja sasaKiruuuuuuMbele za ugeniakagomaaaaLahaulaaaaa la KwataMfalme Ahasuero alijuakudhalilika Yule baba. 

 

KUNA MAMBO UKIMKATALIA MWENZIO YA KIPUUZI TU KAMA HAYA YA AHASUERO YANAWEKA UFA MKUBWAM MNOOO MOYONI MWA MWENZIO NA KWENYE MAHUSIANO.

SIKU ANAYO AMUA WEWE SIO MKE SIO SIKU MNAYOACHANA. SIKU TU YA KIPUUZI HUKO NYUMA ULIFANYA JAMBO LA KIPUUZI KAMA VARSHTI LIKAHARIBU KILA KITU

Mfalme ana ghadhabika kweli kweli na hasira ina waka ndaniyake.  Wanajadiliana wanaamua sasa Kama Malkia ndo hivi , je sisi wake zetu watatutiii kweli. Si itakuwa SIJI BABU WEEEEE, KAGOMA KUJA VASHTI ITAKUWA MIMI? Wakakomaliaaa mfalme achukue hatua. VASHTI OUT OF JUMBA LA KIFALME. VASHTI AKAVULIWA UMALKIA NA KAPIGWA STOOOOOOP KUINGIA KWA MFALME MAANA WALIJUA HASHINDWI KWENDA KUTUMIA UANAMKE WAKE AKAFIKA KWA MFALME BILA NGUO MAAKIDA WAKAUMBUKA! NA HIVI PISI KALI. AKAE MBALIIII KABISAAA. (Hapo kufika bila nguo nimetiachumviAliambiwa tu asifike tena)

Wakapitisha Na sheria kila mwanaume asikubali ubwege Na atawale nyumba yake.

Ukisoma Esta 2:1 Mfalme hasira zinavopoa anamkumbukaVashti maskiniAlikuwa anampenda na indut I wake hivo hivoLakini sasa ashajitutumua nchi nzima kwamba Vashti asijehukuWatamuelewa vipi?

Wapambe nao wanaweka nguvu wa shingo, Vashti harudiiiii. Kama vipi tutaleta mabikra nchi nzima utabadilisha kila Siku no sweat ila lile jeuri Vashti hapanaaa.

Huo ndo ukawa mwisho mbaya wa kiburi cha Vashti. Ndoikaishia hapoUmalkia ukaishia hapo, Na maufundi ya Mfalmeyakaishia hapo hapo.

Aliofanya Vashti Na tunayofanya sisi mbona Vashti hatukutiiiKukataaaa tu kwenda jamaniMbona dogo Sanaa Hilo 

KEY POINTS 3 ZINAZOKUHUSU KWENYE HII HABARI YA VASHTI!

1. Mungu anaweza kukupa mtu mzuri Na nafasi nzuri Sanaa. Akakupa mwanaume mzuri Sanaa, Ana kila unacho hitaji. ILA UKAHARIBU KILA KITU NA UPUUZI WAKO. UKASHINDWA KUIKALIA NAFASI VIZURI. Vashti alipatafavor ya Mungulakini aliharibu favor yake kwa watu wamumewe Na wakahakikisha anangoka mapemaaa.

2. Makosa yana gharamaUnaweza kuwa unatenda dhambi Na ubadhirifu kwenye mahusiano yako ukaona Mungu yupo kimyahakuingiliiiJua yatakugharimuMakosa yanatoa mwanya washetani kukuangamiza. Pale unapokesa tu anapanda doubts kwenye moyo wa mwenziowasiwasiKusita sita Na kuuakabisaa lengo la kukuoa wewe.

3. Makosa yako ndo yanampa nafasi mwenzioMwanzoalikuona weweUlivopwaya ndo akawaona wengineKwaniwakati anakutongoza wengine hawakuwepo???  Kwani wakatimfalme yupo Na Vashti mabikra hawakuwepoWalikuwepo. Ila nafasi Vashti alipewa na MunguAlipofanya makosaakapotezanafasi yake kwa Mungukwa Mfalme na kwa Jamiii. SINGLE MOMS NA DIVORCED hii ya kwenu hiii. MTU HAONDOKI BILA SABABU! IT TAKES 2 TO TANGO! Ulianza kufanyakinyume Na matarajio yake kwakondo Na yeye nae akaanzayakeInaenda mnakuta mpo mbali mbali. WALE WA KUOMBA MZAZI MWENZIO ARUDI. Maombi peke yake hayawezikumrudisha manake kuna makosa ulifanyaAnawezakukumbuka Kama Mfalme alivomkumbuka Vashti ilaakikumbuka UPUUZI wakoAnakuwa kama anarudi Kama

AnaondokaMpaka Siku utambue makosa yako Na kumhakikishia hutarudiaaa and you will do better ndo atarudi.

Na msijidanganye Mungu akikupa mtu au mume basi ni wakowa mileleUkifanya makosa dada huna bahatiiii. MAKOSA YA VASHTI NDO YALIMPA ESTA NAFASI NA MUNGU HUYUHUYU ALIBARIKI ESTA KWELI KWELI.

UKIFANYA MAKOSA YOU ARE ON YOUR OWN MY DEAR!

SIFA ZA MKE MUNGU ANAZOTAKA

(WATU MUNGU ALIOWAPA WAKE, HAO WAKE WALIKIWA NA SIFA GANI? NDO NA WEWE UKIWA HIVI LAZIMA ATAKUPELEKA KWA MUMEO)

Wengi kiroho mko tayari mda mrefuuuu Sanaa ila kimwili badomnazinguaLakini Leo ndo mwisho wa mizinguo yenu in the mighty name of Jesus. Mtaelewa Na mtakubaliana Na ukwelimchungu Na kubadilika.

1 Petro 3:6 Sara kwa mfano alimtii Abrahamu na kumwita yeyebwana. Nyinyi mmekuwa sasa binti zake kama mkitenda memabila kuogopa tisho lolote.

Mwanzo 24 Rebeka anamtiii Yule kijakazi wa Ibrahimu bilakumjua ni Nani wala atapata faida ganiKunywesha ngamiawote wale sio mchezo Na wanavobwia maji sasa.

Kitabu cha Esta

Esta alikuwa mtiii sana akapata kibali cha mfalme na wote ndaniya lile Jim a.

Kutoka 2:25-11 Siporah alikuwa binti wa kuhani wa MidianiAlikuwa mtulivu Na mchapakaziAnalea wadogo zake 6 wakike. Wanafanya kazi zote za kiume maana hawana kaka Na baba Yao ni mzee. Wakawa wanaonewa. Musa kakimbia soolake la kuua Misri hukoakawakuta kisimani akawasaidiaBaadae baba Yao akamkaribisha nyumbani kwao na kumpaSiporah Kama mke. Na Musa anaishi nao miaka 40. MpakaMusa akiwa na 80 ndo Mungu anamuita aka deal Na Pharaoh. Je siporah angekuwa jeuri na haja enda kisimani angempata Musa?

Mwanzo 29:15-30 Rachel anapendana na YakoboLakini baba yake anakuwa gaidiii kweli kweli Na kuinua vikwazo kumpamiaka 7 angoje aolewe. Rachel ana tiiBaadae baba yakeanaongeza 7 tenaaaa lahaulaaa. Na Dada yake waolewe nae. Bado anakuwa mtiii pia. 

Mtu jeuri anapewa Mume pale tu Mungu anapokuwa Na kusudilake maalumu. Kama Gomeri alishindikana kweli kweliNabiiHosea anambiwa akamuoe Gomeri kwa kazi maalumu.

 

Ukiacha ujeuri pia Mungu anakupa mumeRahabu alishindikanakweli kwelialiupiga mwingi lakini anakuja kubadilika. Na kuwa mwema kweli kweliUkisoma

Mathayo 1:5 Nashoni alimzaa SalmoniSalmoni alimzaa Boazi(mama yake Boazi alikuwa Rahabu

Rahabu anapenya kwenye Royal Family ya ukoo wa Masiah

SO, ITS NOT TOO LATE FOR YOU! HUJACHELEWA BADO! UKIBADILIKA UKAACHA NJIA ZAKO MBOVU MBOVU MUNGU ATAKUTENDEA JAMBO

JE NENO LA MUNGU LINASEMA MKE AWE NA SIFA GANI? NA JE HIZO SIFA UNAZO?

1 PETRO 3:1-2 Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenukusudiikiwa wako wasioliamini Nenowavutwe kwamwenendo wa wake zaopasipo lile Neno; 2 wakiutazamamwenendo wenu safina wa hofu

Mtume Petro hakuoaaaAliamua tu kutokuoaLakini anatoahayo maelekezo Kama Mungu alivohitaji yatoke.

Hii ikwambie MUNGU HAWEZI KUYAKANA MAANDIKO YAKO KU ENDORSE UPUUZI WAKO. NEVER!  Amesemawanawake wa tiii waume zaoSasa Kama wewe ni Jeurijikeshupa, super woman boss lady huambiwi kitu Na mwanaumehakuendeshiMungu anakupeleka vipi kwa Mume na hizo tabia chafu?

Maana Mungu mwenyewe kasema  wanawake wa watiii waumezaoAnakuja wewe sio mtiii hata kidogoKatika utukufu wake hawezi kukusaidia akupeleke ukamlipukie mwenzio. Unless ubadilike Ngoma itakuwa ngumu upande wako.

Mithali 19:14 Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwababaye; Bali mke mwenye busaramtu hupewa na BWANA.

Mithali 18:22 Apataye mke apata kitu chemaNaye ajipatiakibali kwa BWANA.

Verse zote 2 MUNGU AMEWA AHIDI WANAUME ATAWAPA WAKE WEMAAAAAA!  NO EXCEPTIONS! NO DISCUSSION! MKE MWEMAAAA!

Unaweza kuwa unasali sanaaaunateketeza masadaka Na masadakakwa Mungu uko 👏 mda wote ila kwa binadamuwenzio wewe ni 💪 . Let’s say uko mbali kabisaaa na definition ya MKE MWEMA!

Sasa Mungu hawezi kubatilisha haya maandiko yake akufanyiemandingo ndingo na uthalimu wako akupeleke kwa mumeAtakuongezea mda wa kusubiri ujitambue Na kujipanga.

UNFORTUNATELY, WENGI HAPA NDO MMEKWAMA! HAMNA PEPO MASKINI YA MUNGU, HAMNA MIZIMU WALA MADHABAU! MMESHIKA KAMBA NA KUJIFUNGA WENYEWE.

SIO WATU WABAYA LAKINI MNAKOSA MAARIFA MADOGO TU NA KUJIKUTA UNAANGAMIA.

 

UNTILL UWE COMMITED LIKE REALLY REALLYCOMMITTED KWAMBA UTAENDA KUKAAA KWA BUSARA, UTII, HESHIMA NA MOST OF ALL KUTIMIZA KUSUDI LA MUNGU KWA MTOTO WA MAMA MKWE MUNGU HATOKUPA HIO NAFASI. ATAICHELEWESHA MPAKA BASI.

WENGI NDANI NI SELFISH, SANAAA, UNATAKA UOLEWE VILE UNASEMWA SEMWA, UNAONEKANA SECOND GRADE SO NDO UNATAKA UTOE TU NUKSI.

LAKINI NIA YA DHATI KUTIMIZA MAKUSUDI YA MUNGU YA MKE KWENYE NDOA HUNAAAA! KWANZA HUYAJIIIII KWA KUANZIA.

SASA KAMA HUJUI MAKUSUDI YENYEWE UTAYATIMIZA VIPI????

Waefeso 5:33 Hata hivyokila mmoja wenu ampende mkewekama anavyoipenda nafsi yake mwenyewenaye mke lazimaamheshimu mumewe.

LAZIMA AMUHESHIMU MUMEWE!  Sio ombi ni amriShoga angu ukute bwana mwenyewe Choka mbaya una msapotiHio heshima labda waingize mkono tumboni kuivuta njeInatokaje kwa mfano

Utazeeka nyumbani shoga angu mi nakupenda nakwambiaukweliPasipo heshima hata mwanaume Hana 100 hakuoiUtaishi na Mali zako tu. HujalogwaHeshima tu ndo huna. Na wanaume Mungu amewaumba kudemand heshima. USIPOMUHESHIMU UMEHARIBU KILA KITU. Ni jinsi tuwalivoumbwa

Wakolosai 3:18-19 Enyi wake, watiini waume zenukwanindivyo apendavyo Bwana. 

Mungu anaweka wazi ANAPENDA NINI MKE AFANYE? Unajua kusomaSasa usipofanya anavopenda unadhani itakuwavipi kwa mfano.

Waefeso 5:22-23 22 Wake, watiini waume zenu kamamnavyomtii Bwana. 23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkekama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisaambalo ni mwiliwake, naye mwe nyewe ni Mwokozi wa kanisa.

Mwanaume ni kichwahata kama una mleaaaaMaandiko dada. Kiukweli ukienda kinyume Na maandiko huwezi fika mbali.  Hizi technical ndogo ndogo zinakufelishaWanaumewameumbwa kuongozwaKutiii sio lazima ukubaliane nalo but maana yake fanya anyways. Unataka Au hutaki wewe fanya.

Wakorintho 11:3-17 Lakini napenda muelewe kwamba Kristoni kichwa cha kila mwanamumekama vile mume alivyo kichwacha mkewena Mungu ni kichwa cha Kristo.

Jitahidi uelewe hivo

Timotheo 2:12 Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale mwanamumeanapaswa kukaa kimya.

 

Wewe huyu huyu ukae kimyaaaThubutuuu! On serious note ukitia kidomo domo tenaaa baada ya hii kitchen party bilavyombo we all tried. 

MAANDIKO YANAKUPA MSIMAMO WA MUNGU JUU YA NAFASI YA MKE KWENYE NDOA NA INATAKIWA UJIPIME KAMA UTATOSHA KWENYE NAFASI HIO AU VIPI. 

MBONA UNATOSHA KABISAAA. KUKAA KIMYA TU, KUTIII, KUTOMTAWALA MUME, MBONA VINATEKELEZEKA KABISAAA

NAHITIMISHA KWA KUKUJUZA NAFASI 3 ZA MKE AMBAZO MUNGU ANATAKA UWE TAYARI NDO AKUPELEKE KWA MUMEO

Kabla sijahitimisha nakwambia kabisaaa wale wa kujifanyahujawahi kosea ila wewe tu ndo unakosewa MOYO NI MDANGANYIFU. Ukiufata moyo hutavukaaaSababuutaendelea Na mambo yako Yale YaleInabidi uuambie moyotuliaaaaHatutakiwi kwenda hivi ushaona miandiko Kama yote afu wewe unataka kunipoteza. Safari siongozwi na moyonaongozwa na kichwa

Yeremia 17:9-10 Moyo wa mtu ni mdanganyifu kuliko vituvyotehauwezi kuponywa, hakuna awezaye kuuelewa!

NAFASI 3 ZA MKE KWA MUMEWE AMBAZO MUNGU ANATAKA AKAZIKABE!

1. MZAZI 

Hii ipo direct kabisaaa. Ni mwendo wa kwenda kuijaza dunia. Wale career woman hapa ndo mnapishana Na MunguMawazoCareer yangu itakuwaje? Si ndo maana kuna maternity leave. Ambition isikufanye ukwepe hili jukumu. Na mpaka ukibalikwamba ukienda kwa mume utazaaa na kuijaza dunia Munguatakufanyia wepesi

Na kuzaaa sio tu kuleta watoto afu basi. QUALITY YA MALEZI MUNGU ANAZINGATIA SANAA! Kama utazingatia utu na ukarimu. Uta take pride kuelea familia yakoinavotakiwa Na ku give your all. Anaangalia Sanaa kama ARE REALLY PASSIONATE ABOUT FAMILLY au ndo unatakaharusi utoe nuksiii basiBado hujamaliza kula maisha na kula bata au kupambania vyeoUkijisachi na kuona ni mda sasa Na uko tayari kuacha vyoteeer ufanye hili jukumu toka ndani yamoyo wako atakufanyia njia

2. KUHANI WA FAMILIA. 

Wengi you can’t wait Uvae shella uni unfollow. Umechoshwa natoo much prayers vile basi tu. You can’t wait all this to be over urudie njia zakoUtasugua benchi la reserve. All this is LIFE! 

We unahisi Mungu anaweza kumpenyeza mfuasi wa shettykwenye ndoa alio I ordain yeye takatifuHaweziiiiMpakakutoka ndani yako uamue kwa dhati  Mungu akinipa hio ndoaforever team heavens. Nitapambana Navoweza kuhakikishafamilia anayonipa inaenda kwa misingi yake mpaka mwishosababu kanitoa misriSiwezi kuzingua. Kama upo tayarimwambie Mungu navaa naivera mwenyewe Shusha ndoa Hilo nifanye vituz vyangu.

 

4. MSHAURI WA MUME. 

Kama una u Jezebel ndani yakoyou still toxic Munguhatokupeleka kwa mume sababu unaweza usimfrustrate ila ukaMPOLUTE. Mfalme Ahazi alikuwa mtu mzuri ila Jezebel mkewe ali mpoluteMfalme Suleiman wake zake wali mpoluteakaabudu miungu ya kigeni. Na wafalme wengi walikuwawanaharibiwa na wake zaoHata Adam ali ponzwa Na Eve. Anania aliponzwa na mkewe Safira wafiche pesa za nyumbakidogomwisho wakafa.

Sasa Mungu anaijua nguvu ya mwanamke kuwaharibuwanaume. Ili Mungu akupeleke to. Godly man lazima uwe msafina umenyookaNdo maan nakuhakikishia usipo badilika safari yako itakuwa ngumu sanaaa

Lakini ukibadilika Na kuwa mwema na ukaweka nia utakuwamshauri mzuri kwa mumeoMungu akakupima na kuona kweliatakupeleka to a Godly man. Na ndoa yako itakuja haraka sanaa.

ACHANA NA UDANGANYIFU WA MOYO JIPIME ULIPO PWAYA AHIDI KUBADILIKA NA BADIILA TOKA NDANI YAKO! 

JIPIME KWENYE HIZO NAFASI 3 UNAKWAMA WAPI? OMBA TOBA NA JI COMMIT

MWAMBIE MUNGU UMEJUA LEO NA UPO TAYARI KABISAAA KWA NAFASI YA MKE! KAMA BADO KUNA ENEO UMEJIZIMA DATA ROHO MTAKATIFU AKUKUMBUSHE!


DAY 12 - Midnight

MALANGO

Doors ni authorized entry! Ili uingie sehemu lazima malangoyawe wazi ili upiteUkipita dirishani utaingia ila bila ruhusu. Au upite darini bado hujaruhusiwa kuingia

Hata misimu katika maisha yana malango yakeLazima yawewazi ili uweze kuingia msimu mpyaYakifungwa yanasababishamsimu unaotakiwa uishe uendeleee mpakaaaa. Kama msimu wausichana ukipita unatakiwa kuingia msimu wa mkemalangoyakipita unabakia msichanaa weee  mpaka mwanamke wamakamoMsimu wa mke unatakiwa ufungue malango ya msimuwa Mama Na familiaUnaweza kuwa mke ila malango ya uzaziYakafunga ukanasa hapo Mke weeee.

Malango yakichelewa kufunguka yana Leta delay, frustration, disappointments Na kukata tamaaa kupelekea mtu sasa kutumiamadirisha Na dari kuingia.

Wathesalonike 2:18 Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, nilitaka kuja mara kwa mara, lakini Shetaniakatuzuia.

Shetani anaweza kufunga malango yako kabisaa kabisaaa. Kama alivompiga pini Mtume Paul kule ThesalonikeKumbukaMtume Paul maisha yake yalikuwa kumkimbiza shetanimchakamchaka mwanzo mwishoLakini anapiga pini malangoya Thesalonike.

 

Lakini humuoni Mtume Pau akisusa, au akiziraaaa, au kujisononesha au kumkasirikia MunguSasa Shetani kukupigapini dogo tu la kuchelewa kuolewa basi unachafua hali ya hewambinguni Na kujiunga nae. 

Sometimes kumshinda shetani it takes patience.

Unaweza kuwa unaota ndoto za ndoashellamaharisherehevyote vinaashiria msimu mpya uko tayari lakini shetty kapigaSOLEX Hilo lango. Na funguo katulia nayo kuzimu.

Kukasirika Na kususaaa kufanya dhambi kubwa Na nyingi zaidihakumfanyi akuhurumie hata kidogoNdo anaongeza Solex tu

Mwanzo Ulikuwa maybe just lonely , kwa hasira unapata Mtuanaomba video call ya utupuUkiwaza Mungu akujalikwenuwanakusimanga, kwanza ulikuwa unaimba kwaya ila badohukuonekanaUnamkubaliaaa

Baadae anakwambia ili nisivujishe hizi video kwa Mange mshahara wako wote nipe mimiUnarudi tena kwa Mungu. Baba yangu nihurumie.shida kubwa zaidi inayeyusha uchunguwa shida ndogoMpige Radi Yule mbwa.

Ufunuo 3:7 “Kwa malaika wa kanisa la Filadelfia andika hivi: “Mimi niliye mtakatifu na wa kweliambaye nina ule ufunguowa Daudi na ambaye hufungua na hakuna awezaye kufungahufunga na hakuna awezaye kufungua

UFUNGUO UPO RELAX!!!

Wakorintho 16:9 kwa maana nimefunguliwa mlangomkubwa wa kufaa sanana wako wengi wanipingao.

Unaweza kufunguliwa mlango kabisaaa , tena mkubwa kwelikweli ila wakaibuka wengi kupinga entry yako.

Ndo unakuta una mtu wako mnataka kabisaaa kuoana. Ila wawapingao sasa Kama woteeee

Moja ya mbinu kubwa ya Shetani ni kujua Mungu kakuahidininialafu anaanza kupanda doubts, wasiwasimashakaMpakapamoja Na ahadi mkononina unabiii, Na maandiko still una muamini shetani.

Mathayo 7:7 Ombeninanyi mtapewatafuteninanyi mtapatabisheni mlangonanyi mtafunguliwaMaanayeyote aombayehupewaatafutaye hupatana abishaye mlango hufunguliwa.

GONGENI NA NYINYI MTAFUNGULIWA MAANA KILA AGONGAE HUFUNGULIWA. KILA AGONGAE MANAKE HATA WEWE SIO WATUMISHI TU, SIO MITUME, SIO WANA MAOMBI TU! KILA AGONGAE HUFUNGULIWA

Luka 11:5-13 Kisha akawaambia, “Tuseme mmoja wenu ana rafiki yakeAkamwendea usiku wa manane akamwambia, ‘Rafiki, nikopeshe mikate mitatu. 6 Nimefikiwa na rafiki yanguakiwa safarini nami sina chakula cha kumpa.’ 7 Yule aliyekondani akajibu, ‘UsinisumbueNimekwisha kufunga mlango. Na mimi na watoto wangu tumelalaSiwezi kuamka kukupa chochote.’ 8 “Nawaambienihata kama huyo mtu hataamka nakumpa mikate kwa sababu ni rafiki yakelakini kwa sababuameendelea kuomba bila kukata tamaa ataamka ampe kiasianachohitaji. 9 Kwa hiyo nawaambiaombeninanyi mtapewatafuteninanyi mtapatabisheninanyi mtafunguliwa mlango. 10 Kwa kuwa kila anayeomba hupewanaye atafutayehupatanakila abishayehufunguliwa mlango.

HII NDO KANUNI YA KUDEAL NA MILANGO ILIOFUNGWA!

YESU ALIJUA KUNA MILANGO YA WATU ITAFUNGWA AKATOA HII PARABLE USIKATE TAMAAA ENDELEA KUGONGA NA KUGONGA MAANA YESU MWENYEWE ALISEMA KILA AGONGAE ATAFUNGULIWA!

Yeremia 6:16 16 Bwana asema hiviSimameni katika njia kuumkaonemkaulize habari za mapito ya zamani, I wapi njia iliyonjemaMkaende katika njia hiyonanyi mtajipatia raha katikanafsi zenu.

TAFUTA NJIA SAHIHI ITAKUPELEKA KWENYE FURAHA YAKO! 

SEHEMU YENYE FURAHA YAKO IPO! NI KWAMBA TU HUIJUI NJIA BADO. SASA USIKAE BILA RAHA!!! NENDA NJIA KUU KAULIZE NA KUTAFUTA NJIA YA KWENDA KWENYE FURAHA YAKO, NA NENDA NA HIO NJIA UTAPATA FURAHA YAKO

Wakolosai 4:3 mkituombea na sisi pia, kwamba Munguatufungulie mlango kwa lile neno lake, tuinene siri ya Kristoambayo kwa ajili yake nimefungwa

Huu waraka unaandikwa na Mtume Paul akiwa gerezani. JAIL PEPOLE!  Lakini mnaona ambavo waraka wake hauna simanziNa umejaaa imani tele. 

MAIN POINT 

KUNA MILANGO AMBAYO MUNGU PEKEEE NDO ANAWEZA KUIFUNGUA KWA MAOMBI TU!

LORD OPEN DOOR OF MERCY, DOOR OF FAVOR, DOOR OF BREAKTHROUGH

Yakobo 5:17 Elia alikuwa binadamu kama sisiAliomba kwamoyo mvua isinyeshenayo haikunyesha nchini kwa muda wamiaka mitatu na miezi sita.

Elia alifunga majira za hali ya hewa kwa miaka mitatu na nusuIliendelea majira moja tuuu ya jua nonstopHamna vuli walamasika. Na likuwa Binadamu.

Kama binadamu akiomba kwa moyo anaweza kufunga majirabasi vile vile hata binadamu akiomba kwa moyo anawezakufungua majira

Yakobo 5:18 Akaomba tenambingu zikatoa mvuanayo nchiikazaa matunda yake.

Zaburi 24:7 Inueni vichwa vyenuenyi malangoInukenienyimalango ya mileleMfalme wa utukufu apate kuingia.

Yoshua 6:1 Milango ya kuingilia mjini Yeriko ilikuwaimefungwa imara kwa ndani kuwazuia Waisraeli wasiingie. Hakuna mtu aliyeweza kuingia wala kutoka katika mji huo.

Kuna malango YANAFUNGA KWELI KWELI! Mpakaushushe ukuta mzimaaa ndo uingie.

Isaya 45:2 Nitakwenda mbele yakona kupasawazisha mahalipalipoparuzanitavunja vipande vipande milango ya shabanakukata-kata mapingo ya chuma;

Anza mdogo mdogo kugongaaaa Hilo lango la ndoa,  ukionavipi tumia funguo ya David kufungua hayo malangoukionahamna kitasa tumia Andiko la kuyangoaukiona bado MuiteMungu aje avunje vipande vipande malango ya Shaba Na kukatakata mapingo ya Chuma.

It’s not a onetime thingUnakesha Nalo Hilo la kupambana nalo machana kutwaWale wa kunena kwa lugha hii ndo Siku yenyewe haswaaa

Unavopambana Na lango Hilo unalilegeza nikija kesho saa 12 kazi inakuwa imebakia ndogo tu, Na Mimi natia neno langu la kitumishiTunamaliza kazi.

Sasa Kama umeomba Siku nzima unakuwa Relim ya juu sanaanikitamka tuuu unadakaaa. Ila Kama ndo unatusindikiza mpakaSiku ya 12 tunashukuru.

Maombi ya watu wa 2 sio sawa na mmojaKazi kubwaunatakiwa umefanya wewe. Mi nakuja tu kumaliza decree Na declaration. 

Nawategemea sanaaa.  Nisameheni kuwa Brutal mchana kwakuwapa Makavu. By any means necessary ndo ileChungulakini dawa. It shall be well! 

Anza kugonga gongs hapo lango hilooo.

Day 12 – Mid day

Muendeleee kuziombea sadaka zenuUkiona unapata urahisiJua haufanyi serious enough.

Wale wa ndoto za sherehe nyumbanikus sign vyetimmevaaashella , watu wa pembeni wanakutabiriaunapewa unabiiikwamba mambo tayariiii tayariiiInaonesha majira tayariYamefikaaaaa!

Sasa be very serious Na commited kufungua Hilo langu tule ubwabwa sisi.

Kuna watu walikuwa mizimuni huko kwenye madhabauMashimonimakaburiniwame toka  huko wako serious wamekukuta mlangoni Na wakuache kweli.

 

Believe me Kama mtu kajitoa mashimoni alipokuwa matekaanalindwa hashindwi kupiga mlango teke ukashangaaa yupondaniWewe una deka deka hapo hapo mlangoni.

WALE AMBAO MUNGU HAJA WAJALIA SADAKA MSIWE NA WASIWASI HUDUMA IMEINUA SADAKA KWA AJLI YENU!

KUMGUSA MUNGU MDA MWINGINE SIO KUPIGA MAYOWE YA SHIDA ZAKO BINAFSI!  MSAIDIE MWENZIO KUMUONA MUNGU KUPITIA WEWE

YESU ALIKUWA ANAPENDA SANAAA KUOMBEA WAGONJWA! NA MIUJIZA MINGI ALIFANYA KWA WAGONJWA!

MITUME WALIJITOA SANAA KWA WAGONJWA!  HATA WALE WALIOTENGWA NA JAMII! 

HATA WEWE UNATAKIWA KUFANYIKA BARAKA KWA WAGONJWA

IBADA YA SADAKA INATAKA SADAKA! HAKUNA CHA KUSEMA SINA! UKISEMA HUNA UJUE UMEJIONDOA KWENYE IBADA. 

ELIA ANAENDA KWA MJANE ANAMWAMBIA UNA NINI? IMAGINE MJANE ANA KOZI MOJA TU YA UNGA NA MAFUTA ALE NA MWANAE WAFE. ANA MWAMBIA KAMA UNATAKA KUPONA NA UKAME SADAKA KWANZA NITENGEZEEE MIMI KWANZA NILE ALAFU KIKIBAKI NDO WEWE NA MWANAO. NA WANAVUKA KWELI UNGA HAUISHIIII. ILA HAPO MWANZO WEWE KUWEZA!

KIKUBWA SIKUTAKA MJIDANGANYE KAMA SINA NAOMBA HIVO HIVO. HAPANA. KAMA HUNA MWAMBIE TU MUNGU KWELI SINA ILA IANGALIE SADAKA YA HUDUMA MAANA IMETOLEWA KWA NIABA YA WOTE AMBAO HAMNA! 

SO KWENYE MAOMBI YAKO INUA SADAKA HII!

WALE WA NADHIRI NI KAMA HUNAAAAAA TU! SIO UNAYO AFU MPAKA MUNGU AFANYE HAIPO HIVO!

HANA ALIWEKA NADHIRI YA MTOTO SABABU MUDA ANAWEKA ILE NADHIRI ALIKUWA HANA YULE MTOTO ASINGEWEZA KUMTOA MDA ULE IKAMLAZIMU NADHIRI.

SASA HUO UTARATIBU MUNGU NDO AANZE KUKUPA NDO UTOE SIJAONAGA UKIFANYA KAZI.

DAY 12 – EVENING

MAOMBI YA KUFUNGUA MALANGO

Zaburi 44:3 Maana hawakuitwaa nchi kwa upanga wao, Wala hawakupata ushindi kwa mkono wao; Bali mkono wako wakulia, naam, mkono wako, Na nuru ya uso wakokwa kuwaulipendezwa nao.

My God, in the name of Jesus the grace for open doors rest upon you, upako wa malango yaliyo wazi uku locate sasaUpako wamalango yaliyo wazi ya ndoa uwe juu yako sasauwe juu yakosasa, In the mighty name of Jesus.

 

By the powers of prophetic and apostolic I Deeree and declare open doors for your marriage. Your marital door shoul open now for you to walk in. Malango yako ya ndoa ya yafunguke sasa Na upite in the name of Jesus.

Kila Milango ya Shaba Na Chuma , sawasawa Na neno lako la Isaya 45:3 yangoe sasa  Na kuuavunja vunja vipande in the mighty name of Jesus.

Kila gereza linalo Shikilia yeyote mateka baba, tuma Malaika wako akawaokoe Kama ulivomtuma Malaika akaendakumuokoa Petro, na akawaokoa Paulo na Sila in the mighty name of Jesus.

Bwana Yesu ulisema gongeni nanyi mtafunguliwa, baba tunagonga hio milango ya ndoa Leo hii, Tu fungu lie bwana sawa sawa na neno lako kwa hakika kila agongaye hugunguliwa.

Yesu ulisema wewe ndo ufunguo wa Daudi. Tunakusihiiiufungue hizi  eccient doors zilizoshindikana. Bwana umriumeenda , familia zinauguaUlisema tuombe chochote kwa Jinalako tutapata Tunaomba favor ya kufunguka kwa lango la ndoa.

In the might name of Jesus, I stand by the prophetic and appostolic powers and decree and declare ALL CLOSED MARIATAL DOORS EPHATA! EPHATA! 

IN JESUS NAME WE PRAY!

DAY 13 – MIDNIGHT

DIVINE HELPERS – (SOMO & MAOMBI)

Kuna sehemu ili ufike unahitaji Devine helpers kukamilishahatma yakoKuna watu wanajua njia wakikushika mkono nifatser.

Esta alikuwa hajui Kama Kuna tamko la Mfalme kuhitajimabikraModekai ndo alikuwa devine helper wake alie msanuahio issue sababu alikuwa anafanya kazi ikulu.

Unahitaji watu wataje Jina lako kwa wema sehemu wewe badohujafikaWatu watoe toe hio namba ya simu Na kukupiga debe unafaaaa kuwa mke. Mambo ya namba yangu kakupa Nani? Huyo Nani huyooo ndo Devine heleper.

Naomi alikuwa devine helper wa Ruth kwa Boaz. Anampamandingo ndingo ya kumnasa Boaz. Bila Naomi pale Ruth ngoma ishakuwa nzito

Yule mtumishi wa Ibrahim ndo devine helper wa RebbeccaAlivoona yeye Rebecca anafaaaa the deal was done. Isaka yeyehakuwa Na la kusema

Mungu akuinulie mtu mwenye influence atakae ona utafanyikabaraka kwa familia ya Mume wako.

Baraka inatoka kwa Mungu lakini inapitia kwa binadamuMungu hawezi kukushia Mume usikuMume hayupo Mbingunikule wako kina Mikaeli na Gabriel tu. Mume yupo hapa hapadunianini vile tu hamjakuna.

Sasa Devine helpers ni wale wataosaidia nyie kukutana, Na watasimama Na wewe mpaka uvae shella.

Modekai ali simama na Esta kidete mpaka akampenyeza kwenyekasri la mfalmeIsingekuwa kwa Modeki Esta asingetoboa pale.

Haggai anampa Esta mafuta apakeee mwaka mzima yakumdatisha mfalmeeeEsta kufika kwa King kitu pwani. Divine helpers.

Na wewe Kuna sehemu ulikosa Modekai wako wakukupambania.

Kuna watu ni watu zao milango wa mahaliWasipo kupendahupitiiii huo mlangowala huingiii ule mji. MAMA MKWEEEEEE!

Hawa unawahitaji wakupende ndo uvuke.

Yusufu asingeweza kuwa mkubwa Misri Kama Pharaoasingemkubali Na kuagiza aitwe mbele yake Na kupata kibalimbele yake

UNAHITAJI DESTINY HELEPER WA AINA 3

1. Watu wa kukushika mkono hapo ulipo usikate tamaaHawakupeleki mbele lakini wana hakikisha hurudi nyumaWanalia Na weweWanaomba Na weweWanakutia moyo. Kama Ruth alivokuwa kwa Naombi alivofiwa na wanae.
2. DIVINE CONNECTORS. Hawa hawana majibu yako waoKama wao ila wanajua Nani anayoNdo wale wewe follow page ya Mlokole Binti.  Nenda huku Na nenda kuleHawani maalumu kwa kukupa directions. Nenda kwa flani naflani.  Ni wa muhimu Sanaa. Maana ndo wana set mambo in motion
3. PEOPLE OF INFLUENCE. WASHIKA DAU. Hawa ndoKama mtumishi wa Ibrahim. Wapambe wa Bwana harusiWakisema wewe sio mwanamke wa kuoaImeishaaa hioooMawifiiiiWakisema No, basi kaka Yao washamuwekakwenye chupaWana influence kwenye maamuzi ya hatmayako. Ni muhimu wawe Devine Helpers wa kutimizahatama yako

Sasa Leo Utajadili Mbinguzikunyanyulie DIVINE HELPERS WA KUTIMIZA HATAMA YAKO YA NDOA

Kuna tofauti Kati ya kuomba Na kujadili.

Kujadili Na wewe unaweka input yakoKuomba nikukubaliana Na chochote utachopewaSasa Leo utajadilianana Wakubwa Mbinguni Kuna watu wewe unajua kabisaaaYule akiwa upande wanguu Yule mama baaaaas ule mjinimeingiaSasa muombe Mungu awe divine helper wako. Yule WiFi jeuriiii Kweli Kweli asietaka hata kukusikiaageuke divine helper wako. Yule Yule Goliat wakoaliekufungia mlango ageuke Divine Helper

Kama huna mtu maybe, Muombe Mungu akuinulie devinehelpers watakao kukutanisha Na Mume wako

Kama una Cruuuuuuushhhhh Leo ndo Leo muombe Munguakuinulie devine helpers wa kukufikiaha kwa Crush uliposhindwa kufika.

OMBA MUNGU AKUINULIE WATU WOTE MUHIMU WATAKAO SAIDIA WEWE KUFIKIA HATMA MAANA UMEKUWA UNAKUTANA NA UPINZANI MKALI KULIKO DIVINE HELPERS. LEO HABARI IBADILIKE UKUTANE NA DEVINE HELPERS ZAIDI.

DAY 13 – EVENING

HONGERENI KWA KUMALIZA MFUNGO SIKU 13 SIO MCHEZO

NAONA MNASTUKA KUMALIZA KIVIPI?

SIKU YA SADAKA SIO SIKU YA KUFUNGA

IBADA NYINGI ZA SADAKA WATU WANAKUWA HAWAJAFUNGA NA NI IBADA AMBAYO NA KUFUNGA TOFAUTI.

KWANZA UNATAKIWA UWE IN HIGH SPIRITS, UWE NA VIBE UWE FULL SHANGWE! UWE EXITED! SASA KUFUNGA KUNA DRAIN, UTAKUWA DOWN

KINGINE, KUFUNGA NI IBADA NA SADAKA PIA NI IBADA YA KUJITEGEMEA!  SO KESHO TUNA FOCUS NA IBADA YA SADAKA

KUHITIMISHA KABLA SIJAANZA PART YA SADAKA

KAMA CHETI CHA KUPAMBANIA NDO KINGEKUWEPO LEO UNGETUNUKIWA. UMEPAMBANAAAAA KWA UWEZOOOOO WAKO, VITA UMEVIPIGAAAA SHOGA ANGU! HIZI SIKU 13 HAZIKUWA RAHISI HATA KIDOGO. 

PROGRAM NYINGI UMEFANYA ILA SIO INTENSIVE KIASI HIKI. FOR EFFORTS TU UMEPATA A! KIKWELI KWA UPANDE WAKO UMEONESHA NIA KUBWA. KILICHOBAKI MUNGU AJIDHIHIRISHE KWAKO TU

MUNGU NI MUAMINIFU SANAA! AMEIONA IBADA YAKO! HATA SHETANI AMEION IBADA YAKO! UMEPIGA IBADA NZITO! 

SASA KIFUATACHO NI KUAMINI IBADA YAKO!

KIVIPI? 

AMINI TOKA NDANI YA MOYO WAKO KWAMBA MUNGU AMEIONA IBADA YAKO NA AMAIPOKEA! 

KAAA MKAO WA KULA! KAA KUPOKEA MAJIBU! 

HATA MOYO UKITAKA KUSITA NA KURUDI NYUMA UKUMBUSHE IBADA YOTE ILE HAIWEZEKANI MUNGU ASITUZINGATIE. TUMETIMIZA VIGEZO. MOYO TULIAAAAAA!

MIMI NAWAHAKIKISHIA DECEMBER HAITAFIKA HIVO ULIVO! WENYEWE MTAANZA KUSHUHUDIA KUSHOTO NA KULIA! HAMTA AMINI. MAMBO YANAENDA KUWA MEPESI MPAKA UNAHISI MBONA KAMA MBINGU ZINANIPENDELEA SANAA

ANZA KUFURAHI MAPEMAAAA!!!! ANZA LEO LEO!

DAY 14 - SADAKA YA UKOMBOZI

PRAYER POINTS 3

1.UTUKUFU WA MBWANA UWE JUU YANGU (UTUKUFU WA BWANA UKIWA JUU YAKO VITU VYOTE VIBAYA VINAONDOKA

2. BWANA UNIINUE NIFIKIE HATMA YANGU YA NDOA ULIO NIKUSUDIA!

3. SHOW ME BETTER DAYS (NIONESHE SIKU NJEMA ZAIDIII)

TUMIA HAYA MASAA MA 3 UIBEBESHA SADAKA YAKO MAMBO YAKO YOTE, MACHUNGU YAKO YOTE NA DEPRESSION ZOTE

1WAFALME 18:30-35 Kisha Eliya akawaambia watu woteNikaribieni mimiWatu wote wakamkaribiaAkaitengenezamadhabahu ya BWANA iliyovunjika. 31 Eliya akatwaa mawekumi na mawilikwa hesabu ya makabila ya wana wa Yakoboaliyejiliwa na neno la BWANA na kuambiwaJina lako litakuwaIsraeli. 32 Naye akaijenga madhabahu kwa mawe hayo katikajina la BWANA; akafanya mferejikama wa vipimo viwili vyambeguukiizunguka madhabahu

33 Kisha akazipanga zile kuniakamkata yule ng'ombe vipandevipandeakaviweka juu ya kuniAkasemaJazeni mapipamanne majimkayamwage juu ya sadaka ya kuteketezwana juuya kuni. 34Akasema, Fanyeni mara ya pili. Wakafanya mara yapili. AkasemaFanyeni mara ya tatu. Wakafanya mara ya tatu. 35Yale maji yakaizunguka madhabahuakaujaza mfereji maji.

HUU NDO MDA WA KUMIMINA TABU, MAJONZI, AIBU, SONONA, KILA KITU JUU YA HIO SADAKA. 

ILA MUNGU AKIJA KUONDOKA NA SADAKA ANAONDOKA NA HIZO PROBLEMS ZOTEEEE. 

TAKE YOUR TIME

SAA 6 KAMILI USIKU NAKAMILISHA NENO LA KUPOKEA THEN UTAANZA KUTOA. NAMBA HII HII0713144639 TIGO PESA FELISTER MGAYA! UNAWEZA TOA MDA WOWOTE MPAKA KESHO JIONI SAA 11 NA NUSU.

THEN TUTAINGIA AGANAO NA MUNGU KWA KUTUMIA SADAKA ULIO TOA! THEN TUTAHITUMISHA

NAWAOMBA RADHI MAPEMA KAMA MTU ATA TOA PENGINE NI VYEMA SANAA. NA MUNGU NI YULE YULE

 

LAKINI AGANO LINATAKA FACTS! SO ITANILAZIMU KATIKA AGANO HILO NI COMMIT FUNDS ZOTE ZILIZOTOLEWA SADAKA HAPA (SASA KAMA HUJATOA HAPA HAITAKUWA PART YA AGANO JAPO WEWE KAMA WEWE UTAJIUNGANISHA) NA KWA PAMOJA TUCOMMIT KWAMBA ZINAENDA SEHEMU FLANI KUTIMIZA KITU FLANI ALICHOAGIZA MUNGU MPAKA SENTI YA MWISHO (HAPO NDO MJUI SIPATI HATA SENT 5 MAANA MIAMALA YOTE ITAKUWA COMMITED KWENYE AGANO. NIDOKOE KWENYE AGANO SIJITAKII)

NDO MAANA NAKUHAKIKSIHIA UKITOA HAPA LAZIMA SADAKA ITAJIBU MAANA MIMI NDO NITASIMAMIA KUTIMIA KWA AGANO UPANDE WETU! HAKUNA WA KUCHAKACHUA HATA 100. SIKU 13 SIO MCHEZO UNAOMBA SAA 24. ZITAFIKA ZINAKOTAKIWA KUFIKA MPAKA SENTI YA MWISHO! 

NA KATIKA AGANO HILO TUTAMSIHI MUNGU ATIZAME SADAKA YA WOTE WALIOTOA MAANA WAMETIMIZA UPANDE WAO, NA KWA KUWA YEYE NI MUNGU MUAMINIFU ATIMIZE UPANDE WAKE WATU WAENDE KWA WAUME ZAO, SHELLA HIZO ZIVALIKE KUANZIA MWAKA HUU HUU!

KATIKA MAOMBI YAKO YA MAANDALIZI LAZIMA UINUE SADAKA!

NDO MAANA NIKASEMA KAMA HUNA UMEJISACHI HUNAAAA SIO, HATA MATEGEMEO YA KUPATA HUNAAA USISONONEKE WALA USIENDE KUIBA! 

HUDUMA IMEINUA SADAKA KUBWA YA KUTOSHA, ILIO NONA, NDO MAANA NIMEWEKEA EVIDENCE SIO MANENO MATUPU, USIJE KUWA UKO 50/50 HUDUMA IMEINUA SADAKA KWELI KWA AJILI YANGU, AU NDO WANANIPA MOYO 👀! KUWA NA AMANI! HUDUMA IMEINUA SADAKA NONO JAPO HAIJAFIKIA YA MFALME SUILEIMAN 😩KWA AJILI YAKO WEWE.

SO WEWE KATIKA MAOMBI YAKO UNATAKIWA KUINUA SADAKA YA UKOMBOZI USIANZA SINA SADAKA. MAANA MAOMBI YA UKOMBOZI WA SADAKA YANAYATAKA SADAKA WALA HAYATANIII. HAMNA SADAKA HAMNA UKOMBOZI.  

WITH CONFIDENCE KABISAA SEMA NAINUA SADAKA ILIOTOLEWA NA HUDUMA HII YA BINTI MLOKOLE, IKANIKOMBOE NA X,Y,Z

KAMA UNA YA KWAKO SEMA NAINUA SADAKA YANGU TAJA KIASI IKANIKOMBOE NA XYZ!

1 WAFALME 18:36-39 Ikawawakati wa kutoa dhabihu yajioniEliya nabii akakaribiaakasemaEe BWANA, Mungu waAbrahamuna wa Isakana wa Israeli, na ijulikane leo ya kuwawewe ndiwe Mungu katika Israeli, na ya kuwa mimi nimtumishi wakona ya kuwa nimefanya mambo haya yote kwaneno lako. 37 UnisikieEe BWANA, unisikieili watu hawawajue ya kuwa wewe, BWANA, ndiwe Munguna ya kuwawewe umewageuza moyo wakurudie. 38 Ndipo moto waBWANA ukashukaukaiteketeza sadaka ya kuteketezwanakunina mawena mavumbiukayaramba yale majiyaliyokuwamo katika mfereji. 39Na watu wote walipoonawakaanguka kifudifudiwakasema, BWANA ndiye Mungu, BWANA ndiye Mungu. 4

ROHO MTAKATIFU AMERUHUSU TUTOE SADAKA ZETU!

Mithali 19:17 Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.

Kukumbushana tu

Mathayo 6:3 Lakini wewe unapomsaidia maskinifanya hivyokwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo.

SADAKA YAKO MTOLEE MUNGU, UKISHATUMA MUNGU AMEONA NA JIONI TUNAFANYA AGANO!

MUITIKIO NI MKUBWA SANAA, WENGI MMENITUMIA MIAMALA SASA SMS SIJAZIFUNGUA SABABU HATA MIMI SITAKIWI KUONA UNATOA NINI NA KWANINI ILI KUHAKIKISHA UBORA WA SADAKA SITAKI YULE MUOVU AJIPENYEZE DAKIKA ZA MAJERUHI.

SO KAMA SIJIBU SMS YAKO USIJISIKIE VIBAYA, SADAKA YAKO IMEFIKA NA KWENYE AGANO IPO NA WEWE NI SEHEMU YA AGANO! 

ROHO MTAKATIFU AMENISEMESHA KWA HABARI YA UBORA WA SADAKA! HATA KAMA ULISHATUMA SMS KWANGU SABABU HUKUJUA HILI NENO HAPO KABLA HALITAKUHUKUMU.

MDOGO MDOGO TUMALIZIE MALIZIE MAOMBI YETU

Samweli 24:24 Lakini mfalme akamwambia Arauna, La, sivyolakini kweli nitavinunua kwako kwa thamani yakewalasitamtolea Bwana, Mungu wangusadaka za kuteketezwanisizozigharimiaHivyo Daudi akakinunua hicho kiwanja cha kupuria na wale ng'ombe kwa shekeli hamsini za fedha.

SALA YA AGANO

1Wafalme 8:22-23 Sala ya Solomoni

(2Nya 6:12-42)

22Kisha Solomoni alisimama mbele ya madhabahu yaMwenyezi-Mungunayeakiwa mbele ya jumuiya yote yaWaisraelialiinua mikono yake juu, 23akasema, “

Ee Mwenyezi-MunguMungu wa Israeli, hakuna Mungumwingine kama wewejuu mbinguni, ama chini dunianiWewemwaminifukwani umetimiza agano lako na kuwaoneshafadhili zako watumishi wako wanaoishi wakikutii kwa moyowao wote

SALA YETU KWA MUNGU

Na sasa baba uwatimizie watu wako Kila mmoja kusudio la moyo wake, kwa maana walisikia Sauti ya mtu aliae online, wakati uliomariwa wao kuolewa umewadiawakiacha njia zaowatafunga na kuomba haya maombi kwa moyo wao wote weweMungu utatenda jambo juu yao Na utawaokoa. Na wameinuasadaka Yao ilio njema kuomba aganoEeeh Mungu pokeasadaka yao Na ukatimize ahadi yako ya kuwaokoa kwenyemajonzi Yao Na kuwapeleka kila Mtu kwa Mume wake Na kwamkono wako wafikie ahadi ya ndoa takatifu.

Na sasa nakusihi ee Mungu ulithibitishe neno lako la

Isaya 34:16 Tafuteni katika kitabu cha BWANA mkasomehapana katika hao wote atakayekosa kuwapohapana mmojaatakayemkosa mwenzakekwa maana kinywa changukimeamuruna roho yake imewakusanya. Baba ukaitizamesadaka Yao na kuwakutanisha na wenza wao mapemaaa maanawamengoja hio ahadi muda mrefu. Na wakawe wenza wanaohitaji ndoa na watakao wapa faraja na furaha.

Baba itazame sadaka Yao ya Leo Na ukumbuke kitabu chakocha kumbukumbu sawa sawa na neno lako

Malaki 3:16 Ndipo wale waliomcha BWANA waliposemezanawao kwa waoNaye BWANA akasikilizaakasikiana kitabucha ukumbusho kikaandikwa mbele zakekwa ajili ya haowaliomcha BWANA, na kulitafakari jina lake. 17Iliandikwa hiviMwenyezi-Mungu asema: “Hao watakuwa watu wanguWatakuwa urithi wangu maalumu siku ile nitakapoinukakufanya ninalokusudia

Sitawadhuru kama vile baba asivyomdhuru mwanaweanayemtumikia

Sawa sawa na neno lako Hilo wako baba wanao kutumikia mdamrefu kwa uadilifu wakingoja hio ahadi yako ya ndoa Yao takatifu, Na uite kitabu chako cha kumbukumbuinuka nauwatendeee ulilo kusudia.

Baba tazama sadaka na ibada Yao hiii walio kuinulia naukuwalipie sadaka zote zilizoteketezwa kwenye madhabau Na kuinuliwa dhidi Yao Na kutoa uhalali wa hizo madhabaukuwashikilia Na kuzuia ndoa zao. Baba sadaka ikalipe hayomadeni na kuwaweka huru na uwafanikishe kwenda kwenyendoa zao kuanzia sasa.

Baba ukapokeee sadaka hiii na kusamehe makosa na dhambizote zenye uhalali wa kuzuia hatama Yao ya ndoa kutimiaHatapale walipo pwaya ukaitazame sadaka hiii Na kuwajazia Na kuwarehemu wapate kutimiza hatama Yao ya kufunga ndoa.

Baba tazama sadaka Yao hiii ni ukawape upendeleo wakuwafungulia lango la ndoa Na kuwawezesha kupita nakufanikiwa kufunga na kuishi katika ndoa zao.

Baba itizame sadaka hiii na kuumaliza msimu wao wa upwekeNa kutanga tanga. Leo Siku waliokuinulia sadaka iwe Siku yamwisho wao kuwa wapwekeWafungulie msimu mpya wa ndoaNa familia.

Baba hata wale waliopwaya kwenye maombitazama sadaka hiiiNa kawarehemu na pale maombi yao yaliposhindwa kufikasadaka Yao ikapige kelele Na ukaizingatie Na kuwatendeajambo waifikie hatma Yao ya Ndoa takatifu.

Baba huko Mbinguni uyasikie maombi yao Na kuzingatia kilaalie kuinulia sadaka hiii kusudio la moyo wake Na ukampesawasawa Na moyo wake wala lisipungue kwa kuwa wewe niMungu unae washangaza waja wako.

Nikisimama Kama mtumishi wao Leo hiinawakabidhi kwakobaba Na sadaka zao walio kuinulia Na makusudi ya mioyo yao

Naomba Na huku nikiamini in the Mighty Name of Jesus Christ

No comments:

Post a Comment

Divine Intervention for 30 and above people

  14 DAYS SPECIAL PROGRAM – PRAYER & FASTING FOR MARITAL BREAKTHROUGH  - @mlokolebinti Naelewa  marital delay is frustrating,  umefanya ...